Pre GE2025 Tuweke ushabiki pembeni, ukweli ni kwamba Rais Samia ameshindwa kazi ya urais

Pre GE2025 Tuweke ushabiki pembeni, ukweli ni kwamba Rais Samia ameshindwa kazi ya urais

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kashindwaje kazi wakati ameruhusu maandamano?

Kashindwaje kazi wakati hafokei watu?

Kashindwaje kazi wakati hana kauli mbaya?

Kashindwaje kazi wakati hakuna tena watu wasiojulikana?

Kashindwaje kazi wakati alimtoa Mbowe jela?

Kashindwaje kazi wakati alimwalika Mbowe ikulu na kumpa juisi?

Samia ndo Rais mwenye mafanikio sana kuliko Rais yeyote mwingine yule kupata kutokea Tanzania, Afrika, na duniani kwa ujumla.

Hakuna kama Samia.
Pengine hayo ni mazuri yake lakini mzani unaelemea upande wa kushindwa kazi.
 
Tuna Viongozi waandamizi Ndani ya Chama ambao ni Madalali wa Mapebari. Kwao kuwa na Kiongozi Mkuu ambaye anawaacha kufanya Udalali wao bila kikwazo na kujichotea Rasilimali za Nchi bila kukemewa ndio furaha yao ndio maaana wanampamba kwa kila Usemi. Lakini tukumbuke zinakuja zama za kuwafanya Nyie Panya na Madalali wa Rasilimali za Nchi muishi kama Misukule, zama zile mliishi kama Digidigi waulizeni akina Quality Plaza, Mooo, Singiii na Rugwemwalila kilichowakuta.
Ipo siku yenu msije sema hatukuwaonya
 
1. Mpaka sasa haieleweki dira yake hasa ni nini. Kila kitu ni kama kinajiendea tu. Hakuna concrete direction.

2. Nchi inakosa umeme kila mahali kwa zaidi ya miezi sita na wala hakuna kinachofanyika. Hapajawahi kutokea mgao mrefu hivi.

3. Kuna maeneo maji yanakatika hata wiki nne na hakuna anayejali. Yaani sasa hivi huduma za muhimu zimekuwa anasa.

4. Mfumuko mkubwa wa bei kwa bidhaa mbalimbali kutokana na uongezaji wa bei ya mafuta yanayoingia dar es salaam.

5. Nchi haijawezesha uzalishaji na uchakataji wa mazao na bidhaa ili angalau tuongeze mauzo ya nje.

6. Bei za magari zimeongezeka maradufu kutokana na kupandisha kodi. Mwaka 2020 nilimnunulia dogo kutoka yard IST kwa 10.8m leo hii inauzwa 17m.

7. Nauli za daladala zilikuwa shilingi 400 mwaka 2021 na sasa ni shilingi 600. Ongezeko la asilimia 50.

8. Hakuna uelekeo kwenye suala la kuongeza fursa za ajira kwa vijana wanaomaliza vyuo mbalimbali.

9. Ubadhilifu na ufisadi mkubwa katika halmashauri na mashirika ya umma. Ripoti za CAG zinapuuzwa.

10. Reli ya sgr haieleweki itaanza lini. Kuna dalili ikafika 2025 kabla haijaanza. Bwana la Mwalimu Nyerere imekuwa siasa.
Porojo za kijinga.

Hayo uliyoongea ndio Yana define dira ya Nchi au kuweza au Kushindwa Kwa Rais?

Jitokezeni hadharani mseme mnataka kushindana nae ubavu 2025 sio kujificha makoridoni kama panya 😆😆
 
Kashindwaje kazi wakati ameruhusu maandamano?

Kashindwaje kazi wakati hafokei watu?

Kashindwaje kazi wakati hana kauli mbaya?

Kashindwaje kazi wakati hakuna tena watu wasiojulikana?

Kashindwaje kazi wakati alimtoa Mbowe jela?

Kashindwaje kazi wakati alimwalika Mbowe ikulu na kumpa juisi?

Samia ndo Rais mwenye mafanikio sana kuliko Rais yeyote mwingine yule kupata kutokea Tanzania, Afrika, na duniani kwa ujumla.

Hakuna kama Samia.
Duuh,hizo sababu zako ni za kipuuzi sana.

Zisome na zitafakari tena.
 
1. Mpaka sasa haieleweki dira yake hasa ni nini. Kila kitu ni kama kinajiendea tu. Hakuna concrete direction.

2. Nchi inakosa umeme kila mahali kwa zaidi ya miezi sita na wala hakuna kinachofanyika. Hapajawahi kutokea mgao mrefu hivi.

3. Kuna maeneo maji yanakatika hata wiki nne na hakuna anayejali. Yaani sasa hivi huduma za muhimu zimekuwa anasa.

4. Mfumuko mkubwa wa bei kwa bidhaa mbalimbali kutokana na uongezaji wa bei ya mafuta yanayoingia dar es salaam.

5. Nchi haijawezesha uzalishaji na uchakataji wa mazao na bidhaa ili angalau tuongeze mauzo ya nje.

6. Bei za magari zimeongezeka maradufu kutokana na kupandisha kodi. Mwaka 2020 nilimnunulia dogo kutoka yard IST kwa 10.8m leo hii inauzwa 17m.

7. Nauli za daladala zilikuwa shilingi 400 mwaka 2021 na sasa ni shilingi 600. Ongezeko la asilimia 50.

8. Hakuna uelekeo kwenye suala la kuongeza fursa za ajira kwa vijana wanaomaliza vyuo mbalimbali.

9. Ubadhilifu na ufisadi mkubwa katika halmashauri na mashirika ya umma. Ripoti za CAG zinapuuzwa.

10. Reli ya sgr haieleweki itaanza lini. Kuna dalili ikafika 2025 kabla haijaanza. Bwana la Mwalimu Nyerere imekuwa siasa.
Nchi ni kama inaongozwa na walevi, inapepesuka
 
1. Mpaka sasa haieleweki dira yake hasa ni nini. Kila kitu ni kama kinajiendea tu. Hakuna concrete direction.

2. Nchi inakosa umeme kila mahali kwa zaidi ya miezi sita na wala hakuna kinachofanyika. Hapajawahi kutokea mgao mrefu hivi.

3. Kuna maeneo maji yanakatika hata wiki nne na hakuna anayejali. Yaani sasa hivi huduma za muhimu zimekuwa anasa.

4. Mfumuko mkubwa wa bei kwa bidhaa mbalimbali kutokana na uongezaji wa bei ya mafuta yanayoingia dar es salaam.

5. Nchi haijawezesha uzalishaji na uchakataji wa mazao na bidhaa ili angalau tuongeze mauzo ya nje.

6. Bei za magari zimeongezeka maradufu kutokana na kupandisha kodi. Mwaka 2020 nilimnunulia dogo kutoka yard IST kwa 10.8m leo hii inauzwa 17m.

7. Nauli za daladala zilikuwa shilingi 400 mwaka 2021 na sasa ni shilingi 600. Ongezeko la asilimia 50.

8. Hakuna uelekeo kwenye suala la kuongeza fursa za ajira kwa vijana wanaomaliza vyuo mbalimbali.

9. Ubadhilifu na ufisadi mkubwa katika halmashauri na mashirika ya umma. Ripoti za CAG zinapuuzwa.

10. Reli ya sgr haieleweki itaanza lini. Kuna dalili ikafika 2025 kabla haijaanza. Bwana la Mwalimu Nyerere imekuwa siasa.
Tumemiss hotuba za Jembe Rais John Pombe Magufuli zilizokuwa na mweleko wa matumaini zikiambatana na:

** istilahi maalumu,
** nafsi ya kwanza wingi na umoja,
** misemo,
**uradidi wa maneno,
** lugha ya matumaini,
** takwimu za kuonesha tulipokuwa, tulipo na tunapoelekea,
** Balagha,
** Mzaha,
** lugha yenye mshikamano na lafudhi za lugha za makabila.

Ulikuwa unalala unajua reli ya SGR ipo asilimia ngapi, Bwawa la mwalimu Nyerere lipo hatua gani, Vituo vya afya vimefika vingapi, eneo gani na lipi kilomita za barabra zinatandazwa lami, Meli ngapi zinajengwa, Ndege ngapi zipo katika mpango wa kukamilishwa na kuja nchini, Viwanda vingapi na vya nini na nini vinajengwa.

Tumemiss sanaaa sanaaa sanaa haya mambo, kwa sasa watu hawatakiwi kuyaongelea maama hayaendi yatawavua nguo.

Call me Magaaaala. Am out
 
Mawazo yako ni mazuri mtoa mada,mama ana Nia Njema Kwa kias kikubwa wasaidizi wake wanamwangusha baadhi Yao,ila mama ni msikivu anasikia na kuyafanyia kazi
Sio kweli, familia lege sio watoto ni kuanzia wazazi
 
1. Mpaka sasa haieleweki dira yake hasa ni nini. Kila kitu ni kama kinajiendea tu. Hakuna concrete direction.

2. Nchi inakosa umeme kila mahali kwa zaidi ya miezi sita na wala hakuna kinachofanyika. Hapajawahi kutokea mgao mrefu hivi.

3. Kuna maeneo maji yanakatika hata wiki nne na hakuna anayejali. Yaani sasa hivi huduma za muhimu zimekuwa anasa.

4. Mfumuko mkubwa wa bei kwa bidhaa mbalimbali kutokana na uongezaji wa bei ya mafuta yanayoingia dar es salaam.

5. Nchi haijawezesha uzalishaji na uchakataji wa mazao na bidhaa ili angalau tuongeze mauzo ya nje.

6. Bei za magari zimeongezeka maradufu kutokana na kupandisha kodi. Mwaka 2020 nilimnunulia dogo kutoka yard IST kwa 10.8m leo hii inauzwa 17m.

7. Nauli za daladala zilikuwa shilingi 400 mwaka 2021 na sasa ni shilingi 600. Ongezeko la asilimia 50.

8. Hakuna uelekeo kwenye suala la kuongeza fursa za ajira kwa vijana wanaomaliza vyuo mbalimbali.

9. Ubadhilifu na ufisadi mkubwa katika halmashauri na mashirika ya umma. Ripoti za CAG zinapuuzwa.

10. Reli ya sgr haieleweki itaanza lini. Kuna dalili ikafika 2025 kabla haijaanza. Bwana la Mwalimu Nyerere imekuwa siasa.
Yeye anawaza uchaguzi tu hadi anakwenda kuomba msaada wa JW kuishughuikìa Chadema. CDF anatoa alert juu wahamiaji haramu waliojichomeka hadi kwenye ngazi ya maamuzi yeye anawashtaki Chadema kuwa wataleta vurugu kwenye chaguzi zijazo yaani ni ardhi na mbingu kabisa.
 
Kashindwaje kazi wakati ameruhusu maandamano?

Kashindwaje kazi wakati hafokei watu?

Kashindwaje kazi wakati hana kauli mbaya?

Kashindwaje kazi wakati hakuna tena watu wasiojulikana?

Kashindwaje kazi wakati alimtoa Mbowe jela?

Kashindwaje kazi wakati alimwalika Mbowe ikulu na kumpa juisi?

Samia ndo Rais mwenye mafanikio sana kuliko Rais yeyote mwingine yule kupata kutokea Tanzania, Afrika, na duniani kwa ujumla.

Hakuna kama Samia.
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Na hili Mkalitazame
 
1. Mpaka sasa haieleweki dira yake hasa ni nini. Kila kitu ni kama kinajiendea tu. Hakuna concrete direction.

2. Nchi inakosa umeme kila mahali kwa zaidi ya miezi sita na wala hakuna kinachofanyika. Hapajawahi kutokea mgao mrefu hivi...
Nchimbi anadai amefanya makubwa bila kujigamba .naonga na ww .saa 100 anataka chip popularity ya kununua magoli
 
Back
Top Bottom