Tuwekeze kwa wanawake wanaotupenda zaidi

Ngoja wanafunzi tuchukue daftari na peni
 
Sasa kwanini vijana mna fall kwa malaya na kuacha wanawake wanaojielewa? Why utumie pesa kumfanya mwanamke akupende? Thats Cowardness
Kwa Malaya tunafata ngono,
Ayo mapenzi mapenzi wapeleke uko kwa kina Extrovert

Pesa inatumika kurahisisha mahitaji yako, maana hata ngono nayo inahitaji mwanamke awe sawa kisaikolojia.

Sidhan Kama kuna mwanamke atakubali umtomb akiwa na njaa, Hana uhakika na pa kulala , Wala Ela ya sabuni[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Endelea kuamini hivyo namie nitaamini vingine sababu mapenzi ni hisia basi kila mtu atashinda mechi zake.

Money cant buy love but it can surely buy you sex! Ukinunua ngono kwa pesa usichanganye ngono na upendo.
Maelezo yako uku kwnyw comments, yanajikanganya sana maelezo yako kwenye mada yako[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maelezo yako uku kwnyw comments, yanajikanganya sana maelezo yako kwenye mada yako[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiambiwa penda unapopendwa maana yake unatakiwa ubalansi shobo! Sehemu ambayo mwanamke hana interest achana napo usilazimishe kwa hongo za kitapeli!

Matokeo yake utaenda kuandikisha kesi za uongo ili mgoni alipe million 5 😅😅😅
 
Umeongea vyema... Halafu bhn nilichapia kuandika jina badala ya kidot nikaty kudot😊..
 
nauachia soon japo umenikuna pahali

maana tunapenda halafu hatupewi ile hadhi yetu

muanze kutupenda tu hakuna namna,,,mkuu ametuwakilisha

Mnapendwa sanaaa wanawake na sisi hatuna baya ila sasa shida akili yenu mmeigawa katika mahitaji mengi, mnataka vitu vingi sana kwa wakati mmoja na hakila vitu vyote hivyo kamwe hamuwezi kuvipata kwa MWANAUME MMOJA sasa shida inaanzia hapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…