Ibilisi la chato bado linakubutua tu hata baada ya kufaMama ndio kawapa nafasi ya kupumuwa sasa hivi kinakukera nini?
Lile hibirisi la Chato ndio ulikuwa unalipenda?
Kama mtu akifungulia luninga muda huu na ukamwambia hiyo ni hafla ya utoaji wa tuzo atakukatalia.Hotuba zimekuwa nyingi kiukweli, vibe ukumbini hakuna labda wakianza kutoa Tuzo zinazohusisha wasanii wakubwa
Nipo nyuma yako hapa
Yeah walitakiwa kuweka vionjo vya kizamani katika muziki wa sasa, nachoona waandaaji wametengeneza kitu kinachoendana na enzi zao na si sasaKama mtu akifungulia luninga muda huu na ukamwambia hiyo ni hafla ya utoaji wa tuzo atakukatalia.
Sikuona mantiki ya kuunganisha hawa wazee wa chamudata na hawa wa muziki wa kizazi kipya. Kama tuzo zingetolewa kwa wanamuziki wa kizazi kipya kwa maana wao ndio wameishikilia sanaa kwa sasa.
Kama ni kuuenzi muziki wa zamani wangetafuta namna nyingine.
Tuzo zimekaa kizee sana dah [emoji1][emoji1][emoji1]Nadhani walioandaa walikosa focus maana inaendeshwa kizamani kiasi, labda huko mbeleni patachangamka lakini kwa sasa sioni vijana wamepoa ukumbini kama wameingia bakurutu [emoji1787]
Muziki anafanya kijana wa miaka 18-30+ lakini unaenda kuchujwa na mzee Kitime na jopo la Chamudata.Yeah walitakiwa kuweka vionjo vya kizamani katika muziki wa sasa, nachoona waandaaji wametengeneza kitu kinachoendana na enzi zao na si sasa
Ukumbi umepoaa, wasanii hata waliohudhuria ni kama wapo disappointed
Tumetoka kwenye njiwa, tukaingia kwenye shida na sasa tupo kwenye sea, performance kama pure bakurutu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan full vituko woiiiiiihHiyo jamaane anaepita na bango stejini la kudai haki katikati ya peformance, nimebaki nashangaa hapa [emoji1]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Namuona Barnaba kaacha mdomo wazi hata hajui nini kinaendelea.
Nipo pembeni yako hapa mlongo.Nipo nyuma yako hapa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huku miriam migomba, mtangazaji wa taarab akiinjoi [emoji1][emoji1]
Nimemuona quick racka na young lunya kama wamepigwa na shoti [emoji16][emoji16][emoji16]
Na kasema wanaotumia lugha ya matusi inaweza kuwacost kupata Tuzo, sasa na ni atapita hilo chujio 😁Muziki anafanya kijana wa miaka 18-30+ lakini unaenda kuchujwa na mzee Kitime na jopo la Chamudata.
Kama ulivyosema, huenda tuzo zilikuwa kwa ajili ya wazee ila vijana wamewekwa ili kufanya tuzo ziende.
Nakuona unajitikisa,baba na mwana[emoji3]Nipo pembeni yako hapa mlongo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwenzio nacheka hapa had najistukia.Nakuona unajitikisa,baba na mwana[emoji3]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]we Cheka tu,na mie nitakushtukia[emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwenzio nacheka hapa had najistukia.