Ndoa hii ni ya wake watau tayari, ila huyu wa tatu amefichwa nyumba kubwa. Matatizo yapo kwa sababu ya kufichwa huku. Inabidi aibuliwe na isemwe wazi kuwa yupo, na atambuliwe ili kuondoa hisia mbaya na huyu mume atimize wajibu wake kwa usawa!January Makamba ‏@JMakamba 10m Kilichofanyika Bungeni leo ni kuorodhesha matatizo ya ndoa (ambayo ni ya kweli) halafu kisha kusema kwamba kuongeza mke ndio jawabu lake.
This guys is coward and kwa kweli amenikera sana, iinaonekana sasa ni shabiki wala hajui hata umhimu wa tafiti zinazofanywa; nilitegemea a comparison analysis of live and dying union government, ni dhahiri zitto anafaidiaka na mfumo huu wa ccm; ni dhahiri ana mgao wa kutosha kutoka katika mfumo huu batili kabisa katika jamii yoyote duniani; zitto anatweety. Akili za aina hii sijui hatawanapataje bahati kupata hata nfasi za ubunge, zitto mtu hovyo kabisa, nilitegemea aeleze hoja then atoe uchambuzi wa kitafiti kupingana na hoja za warioba; by th way already rasmu tunayo tayari uda mrefu alitegemea wanakuja kutoa tofauti?
Maelezo ya warioba kiukweli ni opportunity kubwa sana tena yenye suluhisho
Zitto: "Tujidae kisakolojaia kuvunjika kwa muungano"
Kwa m$iofahamu juu ya huyo joka jeu$i(zitto kabwe),ni kwamba amekuwa chini ya uangalizi na hawa jamaa waTI$$ ambao wame$hirikiana na nchemba na wa$ira kuwa wamemfanyia mpango kuwa atakuwa mfanyakazi ndani ya hiyo idara nyeti ila yy akibakia kuwa mwana$ia$a na ndo maana wamempatia fedha kuanzi$ha ACT lengo ni kuvuruga watu waupinza na ndo maana hata $a$a ana$hindwa ku$imamia ukweli wa hoja.kama hii aliyoitweeti,najiuluza $wali kwanini mtu akiwa ndani ya CCM na akili yake inapungua?mara baada ya kuanza kutumiwa!!kwa$a$a hata mju$i anaakili kupita ZZK.
Kwani muungano hauvunjiki?
Serikali 3 zitavunja muungano na tanganyika yetu itarudi
mnakomalia muungano wenye matobo matobo wa nini?
Siku muungano ukivunjika nita fanya sherehe
ameonyesha matatizo ya ndoa na ameshauri wanandoa wasibanane kupita kiasi ili ndoa ipumue,ndio itadumu. Mume gani kila siku unachunguza simu ya mkeo? Haujiamini au?. Warioba ni kichwa. Nadhani kwa sasa ukitoka uwezo wa Nyerere kuchanganua mambo na kujiamini,anafuata Mzee Warioba. Wengine wote ni waoga na wanafki.
Warioba , kaenda kuwasilisha maoni ya wananchi , sasa wale wanaomlaumu mlitaka awasilishe maoni yenu ninyi viongozi pekee? Kwanini mnamsingizia Warioba ? Au haitaki mawazo ya wananchi ambao kutwa kuchwa mnadai kuwawakilisha ?
Rightly So...., una haki ya kuongelea na ku-challenge kila kitu ila kumuita mtu msaliti na coward sababu mawazo yake, yanayokukera ni kuingilia uhuru wa mawazo ya mtu
vijana wenzangu tuwe macho sana na hawa wazee hili swala usiingie kichwakichwa matokeo ya serikali mbili au tatu yatalifaidisha kundi mojawapo ndani ya ccm na sio wewe wala ndugu yako, CCM imegawanyika mara mbili kuna wa serikali 2 na tatu kwa maslahi bnafsi. cha msingi tuconcetrate na na maswala muhimu kwenye katiba yetu kama afya, miundombinu, elimu na malazi. katiba inasema nini juu ya haya, hata wao wakiamua nchi iongozwe na jaji mkuu au spika hayo ni yao wanasiasa.
Shida ya mitoto iliyokulia kwenye kuamka na kula bila kujifikirisha , hakumsikia Warioba aliposema kuwa Waasisi walituachia nchi moja yenye serikali mbili na sio nchi mbili? Hakuelewa hata hilo lilikuwa na maana gani? He is completely lost ......naona anajipa I eti watatu mia wingi wao kupitisha serikali mbili hakujua kuwa hawana 2/3 Bara na visiwani ? Au hesabu amefeli mpaka za kugawanya !Ndoa ikivurugika mnagawana mbao na kama kuna watoto mnaweka utaratibu wa custody.
Huyu January anapata wapi ujasiri wa kumkejeli Warioba? kati yake na Warioba nani anajua vema Muungano?
January Makamba ‏@JMakamba 10m Kilichofanyika Bungeni leo ni kuorodhesha matatizo ya ndoa (ambayo ni ya kweli) halafu kisha kusema kwamba kuongeza mke ndio jawabu lake.
Baba hana akili nilijua mtoto atakuwa na akili kumbe mbulula.sindiyo mtoto alisema watz wengi wana line nyingi za mitandao ya simu.kuliko matundu ya choo ya nchi nzima.!