Uamuzi wa kuwaondoa Machinga mitaa ya Dar es Salaam urejewe upya

Kila utakapochelewa kuwaondoa ndio hali inavyozidi kuwa ghali na mbaya zaidi.

Wamachinga bado wanazalishwa kila siku na maeneo ya kuwapeleka sio mengi.

Walipaswa kuondolewa juzi sio tarehe 18 October
Nimepita maeneo mengi zoezi linaendelea kwa utulivu mkubwa na ufanisi wa hali ya juu.. Wananchi wameandaliwa vema hivyo wanabomoa kwa hiari bila shuruti
 
Mkuu, ukizungumzia masuala ya kilimo na ufugaji hakuna Kijana atakayekuelewa. Wewe leta story za kubet na kushinda milioni kadhaa utaona watakavyomiminika.
Wanasiasa wamewadanganya wananchi kwa miaka mingi sana, ndio maana Sasa hivi hakuna anaewaamini kila wanachosema. Miaka 60 ya uhuru vijijini hakuna maji, umeme, barabara Wala masoko ya mazao Yao. Hadi Leo serikali inaombwa ikanunue Mahindi ya wakulima. Bidhaa za viwandani na mafuta ni ghali zaidi vijijini kuliko mijini, Kodi ni kubwa au ileile vijijini. Hii inawafanya vijana wamiminike mijini. Watu wa vijijini walipaswa kuondolewa au kutozwa Kodi ndogo ili vitu viwe nafuu kijijini kama wanavyofanya nchi zilizoendelea.
 
Ni busara kuelekeza maswali yako kwa ofisa maendeleo ya jamii na ofisa biashara wa eneo husika, Hapa tunachotaka ni taratibu na sheria kuzingatiwa
 
Reference za namna hii zinajenga sana na kusaidia kuelewa tatizo kwa marefu, kina na mapana, endelea kutuelimisha mkuu.
 
Wazo mbadala, unafikirisha sana mchango huu.
 
Zoezi la kuwaondoa machinga lazima liwe kama military operation: lazima lianze kwa Kasi na nguvu, Kisha ifuate hatua ya kuondoa mabaki ya uchafu, Kisha uboreshaji wa maeneo ili yasiwavutie machinga kurudi na mwisho ifuate hatua ya surveillance; kuhakikisha kuwa machinga hawarudi tena kwenye mazingira hayo milele. Kazi hiyo wapewe viongozi wa mitaa kuhakikisha kuwa kwenye mitaa Yao hakuna wafanyabiashara wanaoziba njia za waenda kwa miguu na njia za maji.

Baada ya vibanda kuondolewa nilishangaa sana kuona Kuna machinga ambao waliziba mtaro kwa udogo kuufukia ili wapate kujenga juu kwa mbao. Hili ni balaa
 
Kwahiyo wewe unaona chanjo ya korona ni sahihi.. Na kama ni sahihi kwanini unasaini nakuambiwa et madhara ni juu yako? Acha bangi kabisa... Chanjo ya korona haina uhakika duniani kote.. Hii ni vita ya uchumi
Acha propaganda za uongo, watu tumechanja mbona hakukuwa na hiyo concert form inayosema madhara ni juu yako.

Na Kama issue ni concert form, hata ukiwa na mgonjwa anapohitaji kufanyiwa surgical operation, huwa kuna kujaza hizo form, je hiyo humaanidha operation ni mbaya? Na je, watu wasifanyiwe surgery kwa sababu ya kuwepo concert form?? Jamani kila taaluma ina taratibu zake, hivyo si kila kitu ni siasa.

Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
 
Utatuzi wa kupata kura sio kuruhusu biashara sizizo rasmi na kuharibu uchumi wa nchi, hata hiyo ilani ya uchaguzi unaitekelezaje bila hela. Utatuzi unatakiwa uzingatie uhalisia, chanzo chake na utatuzi wa kudumu. Tusiende kwenye cheap politics.
 
Usihangaike na watu ambao kijijini kwao hawana vyoo mpaka Leo. Kama amekataa kutumia choo itakuwaje kwa chanjo ya covid-19?
 
Binafsi sioni mantiki yoyote ya kuacha watu wafanye biashara barabarani... Mbona mitaani kumejaa fremu wakakodishe wauzie huko vitu vyao.
 
Binafsi sioni mantiki yoyote ya kuacha watu wafanye biashara barabarani... Mbona mitaani kumejaa fremu wakakodishe wauzie huko vitu vyao.
Wenzao wanayafuata magulio yaliko kuuza bidhaa zao wao wanapenda kuzuia kwenye njia za waenda kwa miguu, shame upon them.
 
Binafsi sioni mantiki yoyote ya kuacha watu wafanye biashara barabarani... Mbona mitaani kumejaa fremu wakakodishe wauzie huko vitu vyao.
Kweli kabisa mkuu, ila tunapowashughulikia Wamachinga tusiache kuwashughulikia/kuzishughulikia warasimu na taasisi zinazohusika na maeneo hayo na Wamachinga ambao tangu 1985 wamekuwa hawana jipya na kuwaachia Wanasiasa ndiyo washughulikie tatizo hili kisiasa huku ushughulikiaji wake kitaasisi ukiachwa tu. Kumaliza kichuguu usiue mchwa ua malkia.
 
Ubaya wa jambo hili ni kwamba hata viongozi wa serikali za mitaa, madiwani, halmashauri na Chama nao pia Wana biashara zao humo barabarani na sehemu za wazi. Hivyo hawa viongozi ndio wanaowadanganya wanasiasa kuwa hawa ndio wapiga kura wetu tusiwaondoe wasije kutunyima kura, lakini ukweli wenyewe sio huo bali conflict of interest.
 
Ngoja watoke kwanza maeneo yasio rasmi harafu tuone hiyo adhari itatoka wapi ?
 
Mkuu, this is very great point of all, tumekuwa tukisikia across the nation vizimba katika masoko na maeneo ya wazi ya biashara vikimilikiwa kwa siri na warasimu ambao ndiyo wanawakodishia Wamachinga, hata baadhi ya DEDs waliogundulika kushindwa kuwasimamia watendaji wao wenye tabia hii kupoteza nafasi zao za U-DED, so hii inathibitisha point yako hiyo kubwa sana.
 
Ulipaswa kufanywa kwa awamu taratibu WAMEKURUPUKA na italigharimu Taifa huo ndio ukweli wenyewe time will tell😊

Ni kweli mkuu, tatizo uliloishi nalo kwa miaka 36 tangu 1985 huwezi kuliita la dharura wala kulipa ufumbuzi wa dharura. Watu idadi yao huenda inazidi idadi ya watu wa nchi za Shelisheli, Lestho, Eswatini na Zanzibar ulione la kawaida lisilo na madhara kushughulikiwa kwa pupa. Baada ya Wamachinga tuna tatizo la bodaboda ambao nao idadi yao itaanza kuwa kubwa kwa sababu Wamachinga wengi sasa nao wanaenda kujiajiri kwenye bodaboda baada ya kuona karaha za Umachinga za kupoteza mitaji kila mara baada ya uchaguzi mkuu kukamilika. Hata bodaboda wanahitaji uratibu wa makini sana kabla hawajaielemea nchi. Yafuatayo ni madhara yatokanayo na biashara ya bodaboda ambayo hatuyaoni kwa sasa:-

1. Noise pollution (hii sasa hivi ni agenda ya dunia).

2. Emission of gases from the tailpipe of an internal combustion engine e.g. carbon monoxide (CO), hydrocarbons (HC), carbon dioxide (CO2), oxides of nitrogen (NOx). Carbon monoxide results from burned fuel. It’s an odorless, colorless, tasteless poisonous gas. Tunajuwa mafuta mengi sasa hivi ni unleaded lakini soko huria huja na uhuru wa uharibifu.

3. Security challenges. Baadhi ya waendesha bodaboda kwa wakati mmoja au mwingine wamejihusisha na uhalifu wa aina takriban zote hadi wa mauaji.

4. Mobbing. Baadhi ya waendesha bodaboda wameshiriki kwenye matukio ya uvamizi kwa njia ya Mob na kuleta taharuki kubwa na hujuma isiyofaa hiyo biashara.

5. Road accidents.

NB.
What if leo mtu akisema bodaboda zinaleta changamoto nyingi kwenye jamii hivyo kwa kuwa tuna mbadala wao kama madaladala, UBA, Taxi Fire, Borch, Taxi, Rickshaw (Bajaj), Toyo, Kirikuu, Guta, Treni za Mwakyembe, BRT, kwamba hizi zinatosha kuondoa adha zinazotokana na biashara ya bodaboda kwamba kuanzia sasa marufuku bodaboda, unadhani mapokeo yatakuwaje? Ni vivyo hivyo kwa Wamachinga ambao ni injini ya wafanyabiashara wakubwa, wa kati na wadogo na Mama na Baba Lishe.
 
Jambo lililomshinda Rais Magufuli HAKUNA. Narudia HAKUNA kiongozi yeyote wa wakati huu anayeweza kuliweza.
 
Mnadekeza wachuuzi wasiokuwa na faida kuja mjini huku mkiimiza kilimo ni uti wa ngono mkiwaacha utitiri wa vijana kuja kuleta uchafu wa mji kwa kujaza mambao mitaani na kuharibu miundo mbinu. Wafukuzeni warudi kwao wakulima wakina mjini waje kama wafanyabiashara walipe kodi sitahiki wachangie maendeleo ya taifa. Hasara za kuzoa taka wanazozizalisha hazilingani na faida tunayopata kutokana na kuwepo kwao. Wafanyabiashara waliozibiwa njia , zuio la parking huenda vikapandisha mapato ya mikoa iliyoathirika na zoezi la machinga
 
Siyo tu bodaboda, bali bado magereji bubu yaliyojaa mitaani, bado vituo holela vya mafuta hadi kwenye makazi ya watu bado waliowekeza kwenye hifadhi za barabara nchi nzima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…