Ni kweli mkuu, tatizo uliloishi nalo kwa miaka 36 tangu 1985 huwezi kuliita la dharura wala kulipa ufumbuzi wa dharura. Watu idadi yao huenda inazidi idadi ya watu wa nchi za Shelisheli, Lestho, Eswatini na Zanzibar ulione la kawaida lisilo na madhara kushughulikiwa kwa pupa. Baada ya Wamachinga tuna tatizo la bodaboda ambao nao idadi yao itaanza kuwa kubwa kwa sababu Wamachinga wengi sasa nao wanaenda kujiajiri kwenye bodaboda baada ya kuona karaha za Umachinga za kupoteza mitaji kila mara baada ya uchaguzi mkuu kukamilika. Hata bodaboda wanahitaji uratibu wa makini sana kabla hawajaielemea nchi. Yafuatayo ni madhara yatokanayo na biashara ya bodaboda ambayo hatuyaoni kwa sasa:-
1. Noise pollution (hii sasa hivi ni agenda ya dunia).
2. Emission of gases from the tailpipe of an internal combustion engine e.g. carbon monoxide (CO), hydrocarbons (HC), carbon dioxide (CO2), oxides of nitrogen (NOx). Carbon monoxide results from burned fuel. It’s an odorless, colorless, tasteless poisonous gas. Tunajuwa mafuta mengi sasa hivi ni unleaded lakini soko huria huja na uhuru wa uharibifu.
3. Security challenges. Baadhi ya waendesha bodaboda kwa wakati mmoja au mwingine wamejihusisha na uhalifu wa aina takriban zote hadi wa mauaji.
4. Mobbing. Baadhi ya waendesha bodaboda wameshiriki kwenye matukio ya uvamizi kwa njia ya Mob na kuleta taharuki kubwa na hujuma isiyofaa hiyo biashara.
5. Road accidents.
NB.
What if leo mtu akisema bodaboda zinaleta changamoto nyingi kwenye jamii hivyo kwa kuwa tuna mbadala wao kama madaladala, UBA, Taxi Fire, Borch, Taxi, Rickshaw (Bajaj), Toyo, Kirikuu, Guta, Treni za Mwakyembe, BRT, kwamba hizi zinatosha kuondoa adha zinazotokana na biashara ya bodaboda kwamba kuanzia sasa marufuku bodaboda, unadhani mapokeo yatakuwaje? Ni vivyo hivyo kwa Wamachinga ambao ni injini ya wafanyabiashara wakubwa, wa kati na wadogo na Mama na Baba Lishe.