Ninja assasin
JF-Expert Member
- Jul 2, 2018
- 2,512
- 5,848
hahahahaha nimecheka kwa sauti kubwa kmmk kumbe mwamba tunae jey efu na hatujuiHernia.
Pdidy nimepata taarifa umetorokea visiwa Fulani na dege lako la kifahari, kumbe bado unachungulia JF.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahaha nimecheka kwa sauti kubwa kmmk kumbe mwamba tunae jey efu na hatujuiHernia.
Pdidy nimepata taarifa umetorokea visiwa Fulani na dege lako la kifahari, kumbe bado unachungulia JF.
Kwanini USA imvamie?! Kwasasa Marekani inapeleka nguvu zake nyingi Asia Pacific ili kumdhibiti mchina, middle East hana mpango nako kivile kama ilivyokua zamani. Hata ukiangalia alliances anazoziunda hivi karibuni zimebase kuicontain China.Wabalichistan wanatumika kwa kuwa wanataka kujitenga na wapo pande zote mbili, Iran asingekua mwamba USA angekua kishamvamia kitambo,maana Israel kishashawishi Sana USA aingie vitani na Iran,Iran anauza silaha Russia,huwezi mu-undermine
"Pakistan launches retaliatory strikes into Iran, killing nine people - BBC News" Pakistan launches retaliatory strikes into Iran - BBC News
Cheza na USA lakini sio Israel, Israel sio watu wale ni wanyama angalia hakuna mwarabu anayethubutu kuingia naye vitani.Uliza wanajeshi wa USA waliopo Iraq baada ya kifo Cha Qussem Suleiman
Angepaachia Kama Hana issue napo,angeitosa Israel ambayo ni military base yake kule middle eastKwanini USA imvamie?! Kwasasa Marekani inapeleka nguvu zake nyingi Asia Pacific ili kumdhibiti mchina, middle East hana mpango nako kivile kama ilivyokua zamani. Hata ukiangalia alliances anazoziunda hivi karibuni zimebase kuicontain China.
Israel iombe radhi kwa misingi ipi kwani kakili kuwa yeye ndo muhusika?Diplomacy ya nini kwa magaidi, Israel haipigi vichochoroni inapiga ubalozini kwa jeuri kubwa kabisa ili usije sema ni bahati mbaya. Hapo haitoomba msamaha wala kudai yaishe, itatoa sababu za kufanya shambulizi hilo.
Iran ni babalao tunaomba ajibu, kisha ajibiwe tena. Au aanzishe vita kabisa ili mzizi wa fitna ukatwe. Sio kila siku mikwara na kutuma magaidi.
Kwa hiyo wachukue wanajeshi, na madilsha wayafiche ubalozini waanzenkuyarusha nitie kisa ni INVIOLABLILITY?Unaenda kupiga ubalozi!!!..poor diplomacy,umekosa pa kupiga
Kama kamanda alifanya ubaloz ndio comanding centre yake unapiga mpaka aliyepo ICU. Kama alivyofanya pale Al shifaa.Unaenda kupiga ubalozi!!!..poor diplomacy,umekosa pa kupiga
Kwahiyo bwana kubanduliwa unataka kusema Iran imemlipua kamanda wakeIsrael iombe radhi kwa misingi ipi kwani kakili kuwa yeye ndo muhusika?
Saa nyingine utumiage akili ww rais wa wapiga nyeto.
Vipi na pakistan alivyojibu mapigo Iran aliendelea na utoto wake zaidi iran anachoweza ni kudhamini magaidi tuUshasahau Iran alivyotimua safe house ya Israel pakageuka kifusi..si ni juzi tu hapa,akapiga mpaka Pakistan huko,isitoshe Iran ndiyo trainer wa hizbullah na Hamas,mpaka Sasa washaitia Sana hasara Israel,mageneral wangapi wa Israel wameuawa Gaza na mashambulio ya hizbullah!?
Hawajapiga ubalozi kuna jengo pembeni ya ubalozi ndio ugaidi ulikuwa unapangiwa humo.. ubalzi wa Irani upo intact ila jengo la jirani wameliGazaUnaenda kupiga ubalozi!!!..poor diplomacy,umekosa pa kupiga
Hahaha iranian means business walifyeka top cia director iranian desk aliyetoa oda na kusimamia hit ya kassim soleiman tokea hapo hiyo desk ikafutwa wale ni jino kwa jino hit kwa hit huaa hawanaga kusamehe.Wanaua
Waliua kassim akaenda lipua ndege yake ya iran mwenyewe na kuua raia 250 iran kichaa
Mppaka wapenye wakaafaanye yao huko ndani basi mipaka ya nchi iko uchi wa mnyamaBREAKING: The Iranian consulate in Damascus has been "destroyed", according to the Syrian state news agency.
Further reports claim that a senior commander in the Iranian Revolutionary Guard Corps has been killed but the ambassador survived
Israeli imeshafanya yake
Ww umesema Israel haitaomba msamaha sasa itaombaje msamaha kwa kitu ambacho hajakili kukifanya?Kwahiyo bwana kubanduliwa unataka kusema Iran imemlipua kamanda wake
Hii hutasikia wakilaani zaidi watasifia kwa sababu Irani Ni Shia na sio Sunni 🤣🤣Wanalia tu mida hii... Faiza foxy anatenda msiba wa kamanda... kalale pema peponi kamanda onyo kwa waliobakiaView attachment 2951073View attachment 2951072