Ameshambuliwa au haku shambuliwa !?.Ameumizwa au hakuumizwa !?
RPC amesema Mbowe kashambuliwa na watu watatu.Wasalaam wanabodi,
Nimeona twit ya UBALOZI WA MAREKANI wakilaani au KUSIKITISHWA na kuvamiwa na kuumizwa kwa mbunge na kiongozi wa upinzani bungeni Mh Freeman Aikael Mbowe.
Kitu ambacho kimenishangaza ni kuwa UBALOZI huo umesema moja kwa moja kuwa mh Mbowe kashambuliwa ilhali taarifa za uchunguzi bado hazija toka na swala lenyewe bado lipo katika uchunguzi.
Je, wao wamepata wapi uhakika kuwa mh Mbowe kavamiwa? Je ni sawa kwao kutoa taarifa kabla vyombo vinavyohusika kutoa taarifa?
Kwa kuwa kumekuwa na conspiracy nyingi tu juu ya tukio hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo mlimshambulia mkitegema kisingizio chenu cha pombe kitawasaidieni kuficha ukweli?Pombe Mkuu
Kwahiyo unataka kusema wamekurupuka?
Nasubiri taarifa ya uchunguzi ili kujua ukweliAmeshambuliwa au haku shambuliwa !?.Ameumizwa au hakuumizwa !?
Ungepandisha ile video ya taarifa ya Mroto ingependezaRPC amesema Mbowe kashambuliwa na watu watatu.
Mbweha wa Lumumba hujaona hii ?View attachment 1474229
Ulishawahi kuvamiwa? Wavamizi wanavunja mguu tuu?Kwa hiyo mlimshambulia mkitegema kisingizio chenu cha pombe kitawasaidieni kuficha ukweli?
Kwa sababu chama cha mashetani (CCM) ndio kiko madarakani, basi ushetani wote unahusishwa moja kwa moja na CCM pamoja na serikali yake ya kishetani!Wasalaam wanabodi,
Nimeona twit ya UBALOZI WA MAREKANI wakilaani au KUSIKITISHWA na kuvamiwa na kuumizwa kwa mbunge na kiongozi wa upinzani bungeni Mh Freeman Aikael Mbowe.
Kitu ambacho kimenishangaza ni kuwa UBALOZI huo umesema moja kwa moja kuwa mh Mbowe kashambuliwa ilhali taarifa za uchunguzi bado hazija toka na swala lenyewe bado lipo katika uchunguzi.
Je, wao wamepata wapi uhakika kuwa mh Mbowe kavamiwa? Je ni sawa kwao kutoa taarifa kabla vyombo vinavyohusika kutoa taarifa?
Kwa kuwa kumekuwa na conspiracy nyingi tu juu ya tukio hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa huko Marekani matukio kama hilo la Floyd yamejaa, polisi kukupiga pingu na kuanza kukupiga yapo sana. Kuna video moja nilishindwa kumaliza kuangali yani njemba moja polisi amempiga pingu mdada(black) kisha kamkalia juu anamvuta mkono wake kama anataka kumvunja na pembeni katoto cha huyo dada kinalia anaona mama ake anavyofanyiwa. Matukio ya polisi huku Bongo mengi mambo ya maandamano.Hebu jaribu kufananisha rank ya uhalifu:Tanzania na US.Askari wa Marekani kutumia nguvu kupita kiasi yamkini inasababishwa na hali yao ya uhalifu ipo juu(though is not justified) .Tanzania Akwilina alikuwa na hatia gani au wale viongozi wa chadema walijihami kwa silaha mpaka warushiwe risasi iliyompata Akwilina?David Mwangosi kupigwa risasi na polisi alikuwa amejihami kwa silaha nzito?
Siasa zimewalemaza hadi uwezo wa kufikiri kibinadamu umekwisha.Umenena mkuu, ukiangalia picha vizuri waziri mkuu alipomtembelea huoni kuumizwa katika uso wake, japo haimaanishi asipoumia kichwani hajavamiwa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wenzako wanaona mbali sio mambulula kama ccm na wakuda wengineWasalaam wanabodi,
Nimeona twit ya UBALOZI WA MAREKANI wakilaani au KUSIKITISHWA na kuvamiwa na kuumizwa kwa mbunge na kiongozi wa upinzani bungeni Mh Freeman Aikael Mbowe.
Kitu ambacho kimenishangaza ni kuwa UBALOZI huo umesema moja kwa moja kuwa mh Mbowe kashambuliwa ilhali taarifa za uchunguzi bado hazija toka na swala lenyewe bado lipo katika uchunguzi.
Je, wao wamepata wapi uhakika kuwa mh Mbowe kavamiwa? Je ni sawa kwao kutoa taarifa kabla vyombo vinavyohusika kutoa taarifa?
Kwa kuwa kumekuwa na conspiracy nyingi tu juu ya tukio hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unawezaje kusikitika ilihali hauna akili?Wasalaam wanabodi,
Nimeona twit ya UBALOZI WA MAREKANI wakilaani au KUSIKITISHWA na kuvamiwa na kuumizwa kwa mbunge na kiongozi wa upinzani bungeni Mh Freeman Aikael Mbowe.
Kitu ambacho kimenishangaza ni kuwa UBALOZI huo umesema moja kwa moja kuwa mh Mbowe kashambuliwa ilhali taarifa za uchunguzi bado hazija toka na swala lenyewe bado lipo katika uchunguzi.
Je, wao wamepata wapi uhakika kuwa mh Mbowe kavamiwa? Je ni sawa kwao kutoa taarifa kabla vyombo vinavyohusika kutoa taarifa?
Kwa kuwa kumekuwa na conspiracy nyingi tu juu ya tukio hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tulikua kwenye kikao kilaza wewe[emoji35]Hivi saa 7 za usiku mheshimiwa mbowe alikuwa akitoka wapi?
Waliotumwa na maccm watafanyaje sasa??