Ubalozi wa Marekani: Mbowe ameshambuliwa kikatili, wakumbushia pia shambulio la Tundu Lissu huku kukiwa hakuna hatua zilizochukuliwa

Ubalozi wa Marekani: Mbowe ameshambuliwa kikatili, wakumbushia pia shambulio la Tundu Lissu huku kukiwa hakuna hatua zilizochukuliwa

Ameshambuliwa au haku shambuliwa !?.Ameumizwa au hakuumizwa !?
 
Hawa ubalozi wa Marekani kwa nini wanatusonta sana sisi huku kwao kuna uvunjwaji haki za binadamu zaidi ya sisi.
Tanzania ni nchi huru
Rais wetu mpendwa chapa kazi tuko pamoja na wewe
 
Wasalaam wanabodi,

Nimeona twit ya UBALOZI WA MAREKANI wakilaani au KUSIKITISHWA na kuvamiwa na kuumizwa kwa mbunge na kiongozi wa upinzani bungeni Mh Freeman Aikael Mbowe.

Kitu ambacho kimenishangaza ni kuwa UBALOZI huo umesema moja kwa moja kuwa mh Mbowe kashambuliwa ilhali taarifa za uchunguzi bado hazija toka na swala lenyewe bado lipo katika uchunguzi.

Je, wao wamepata wapi uhakika kuwa mh Mbowe kavamiwa? Je ni sawa kwao kutoa taarifa kabla vyombo vinavyohusika kutoa taarifa?

Kwa kuwa kumekuwa na conspiracy nyingi tu juu ya tukio hilo.

Sent using Jamii Forums mobile app
RPC amesema Mbowe kashambuliwa na watu watatu.
Mbweha wa Lumumba hujaona hii ?
IMG-20200610-WA0075.jpg
 
Wasalaam wanabodi,

Nimeona twit ya UBALOZI WA MAREKANI wakilaani au KUSIKITISHWA na kuvamiwa na kuumizwa kwa mbunge na kiongozi wa upinzani bungeni Mh Freeman Aikael Mbowe.

Kitu ambacho kimenishangaza ni kuwa UBALOZI huo umesema moja kwa moja kuwa mh Mbowe kashambuliwa ilhali taarifa za uchunguzi bado hazija toka na swala lenyewe bado lipo katika uchunguzi.

Je, wao wamepata wapi uhakika kuwa mh Mbowe kavamiwa? Je ni sawa kwao kutoa taarifa kabla vyombo vinavyohusika kutoa taarifa?

Kwa kuwa kumekuwa na conspiracy nyingi tu juu ya tukio hilo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sababu chama cha mashetani (CCM) ndio kiko madarakani, basi ushetani wote unahusishwa moja kwa moja na CCM pamoja na serikali yake ya kishetani!
 
Hebu jaribu kufananisha rank ya uhalifu:Tanzania na US.Askari wa Marekani kutumia nguvu kupita kiasi yamkini inasababishwa na hali yao ya uhalifu ipo juu(though is not justified) .Tanzania Akwilina alikuwa na hatia gani au wale viongozi wa chadema walijihami kwa silaha mpaka warushiwe risasi iliyompata Akwilina?David Mwangosi kupigwa risasi na polisi alikuwa amejihami kwa silaha nzito?
Sasa huko Marekani matukio kama hilo la Floyd yamejaa, polisi kukupiga pingu na kuanza kukupiga yapo sana. Kuna video moja nilishindwa kumaliza kuangali yani njemba moja polisi amempiga pingu mdada(black) kisha kamkalia juu anamvuta mkono wake kama anataka kumvunja na pembeni katoto cha huyo dada kinalia anaona mama ake anavyofanyiwa. Matukio ya polisi huku Bongo mengi mambo ya maandamano.
 
Wasalaam wanabodi,

Nimeona twit ya UBALOZI WA MAREKANI wakilaani au KUSIKITISHWA na kuvamiwa na kuumizwa kwa mbunge na kiongozi wa upinzani bungeni Mh Freeman Aikael Mbowe.

Kitu ambacho kimenishangaza ni kuwa UBALOZI huo umesema moja kwa moja kuwa mh Mbowe kashambuliwa ilhali taarifa za uchunguzi bado hazija toka na swala lenyewe bado lipo katika uchunguzi.

Je, wao wamepata wapi uhakika kuwa mh Mbowe kavamiwa? Je ni sawa kwao kutoa taarifa kabla vyombo vinavyohusika kutoa taarifa?

Kwa kuwa kumekuwa na conspiracy nyingi tu juu ya tukio hilo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wenzako wanaona mbali sio mambulula kama ccm na wakuda wengine
 
Wasalaam wanabodi,

Nimeona twit ya UBALOZI WA MAREKANI wakilaani au KUSIKITISHWA na kuvamiwa na kuumizwa kwa mbunge na kiongozi wa upinzani bungeni Mh Freeman Aikael Mbowe.

Kitu ambacho kimenishangaza ni kuwa UBALOZI huo umesema moja kwa moja kuwa mh Mbowe kashambuliwa ilhali taarifa za uchunguzi bado hazija toka na swala lenyewe bado lipo katika uchunguzi.

Je, wao wamepata wapi uhakika kuwa mh Mbowe kavamiwa? Je ni sawa kwao kutoa taarifa kabla vyombo vinavyohusika kutoa taarifa?

Kwa kuwa kumekuwa na conspiracy nyingi tu juu ya tukio hilo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unawezaje kusikitika ilihali hauna akili?
Mpaka mtu asikitike ina maana ana akili za kutafakari kwa kina na kupata majibu.
 
Back
Top Bottom