Ubalozi wa Marekani: Mbowe ameshambuliwa kikatili, wakumbushia pia shambulio la Tundu Lissu huku kukiwa hakuna hatua zilizochukuliwa

Hatimaye tunaowaita kuwa ni mabeberu wazidi kuunguruma dhidi ya matukio ya kihuni ya kushambuliwa viongozi wa upinzani yanayoshamiri nchini.
View attachment 1473622
Jamaa hawajasahau.
Magu akiondoka hata kama atasema Mkuu wa mkoa makonda awekewe kinga y kutoshtakiwa. Tunaiondoa.
Haki haipotei inacheleweshwa tu
 
Kweli waafrika ni wapumbavu Sana!! Yanayotokea Marekani hamyawekei uzi ila ya ki Africa mnayawekea mikazo ambayo hao hao wanaoua Waafrika kwao wanawaunga mkono vichwa vinajaa , we have long ways to go!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: UCD
Hatimaye tunaowaita kuwa ni mabeberu wazidi kuunguruma dhidi ya matukio ya kihuni ya kushambuliwa viongozi wa upinzani yanayoshamiri nchini.
View attachment 1473622
Waambie wamshauri aache pombe na ufusika ndiyo uliomsababishia aanguke na kuvunjika mguu. Hili tukio wameigizwa chaka.
 
Sitaki kuwa upande unaobeza kuwa mh Mbowe alikuwa amelewa au la
Lakini USA sio nchi ambayo ina uthubutu kukemea au kunyoshea nchi nyingine kidole hana MORAL AUTHOULITY. Issue ya askari kuua mtu hadharani na kuondolewa tu kazini ndio imeleta vurugu dunia nzima kwa jinsi alivyolichukulia . Ni wabaguzi wa rangi.
Nashangaa Balozi wetu nchini Marekani hakutoa tamko
 
Balozi was UK naye kalaani, lakini Spika wa bunge na wabunge wake wanachekelea. Kweli tuna viongozi mazwazwa
 
Ya kwao yamewashinda huko USA
 
Hatimaye tunaowaita kuwa ni mabeberu wazidi kuunguruma dhidi ya matukio ya kihuni ya kushambuliwa viongozi wa upinzani yanayoshamiri nchini.
View attachment 1473622

Ni heri ya beberu anayelaani ufedhuli kuliko lijualipole ambaye huenda ana jacket lenye kufanana na ya wale wasiojulikana.
 
Inaonesha watani zako wamekupanda mgongoni safari hii unafurukuta kwa kuzungusha kiuno tu halafu wao wanaamini unatoa ushirikiano wamalize goli la pili fasta
 
Ila ya kwetu tumeyaweza. Hiyo haitakuwa ni akili bali ni matope.
Sasa mtu anaanguka kwa ulevi wake eti wanasema ameshambuliwa!! Wamshauri aache pombe na ufusika umri umeenda!!
 
Hivi mna uhakika gani kama ni pombe?? Na hizo pombe kwani kaanza kunywa jana??
Pombe hajaanza kunywa Jana. Ila ajali hutokea wakati wowote
Utakuta dereva kaendesha gari miaka 20 Kuna siku akapata ajali hawezi kukataa eti hajaanza kuendesha Jana. Mbowe nae asisumbue serikali na pombe za usiku na huyo Mchungaji mlevi asiye na kanisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: UCD
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…