ArtificialIntelligence
JF-Expert Member
- May 22, 2020
- 377
- 734
wanayashughulikia kikamilifu; fuatilia links zifuatazoYa kwao yamewashinda huko USA
Post bora Dunia nzima
Hawa nao wanabweka bweka tu kama mbwa koko wakapambane kwanza na Rais wao Trump kashindwa uongozi kashindwa na corona pia kazi kubwatuka tu mzungu toka lini akawa na mapenzi ya dhati na mtu mweusi kama sio unafikiHatimaye tunaowaita kuwa ni mabeberu wazidi kuunguruma dhidi ya matukio ya kihuni ya kushambuliwa viongozi wa upinzani yanayoshamiri nchini.
View attachment 1473622
Vipi wale Watanzania 7 wasio na hatia waliouawa na POLICE kule Kagera Jana?Nani wa kuwasemelea?Tunasikia ni majambazi,mahakama gani iliyowahukumu?Who investigated their case?Usa hana haki ya kunyoshea Tanzania mkono nchiambayo maaskari wanaua Wananchi wake barabarani ndio inanyoshea Tanzania mkono
Wapeleke upumbafu kwao
Mbowe aache maisha ya kihuni yeye ni kiongozi
I cant breathe !Hatimaye tunaowaita kuwa ni mabeberu wazidi kuunguruma dhidi ya matukio ya kihuni ya kushambuliwa viongozi wa upinzani yanayoshamiri nchini.
View attachment 1473622
Wazee wa matamko hawana cha kutufanyawewe kapuku mnuka jasho ndio wa kuingiza ubalozi wa Marekani mkenge ?
Tofautisha misaada ya kibajeti toka kwa wahisani na mikopo.Wewe ukisikia msaada unafikiri ni bure? Hovyo kabisa wewe
Hebu jaribu kufananisha rank ya uhalifu:Tanzania na US.Askari wa Marekani kutumia nguvu kupita kiasi yamkini inasababishwa na hali yao ya uhalifu ipo juu(though is not justified) .Tanzania Akwilina alikuwa na hatia gani au wale viongozi wa chadema walijihami kwa silaha mpaka warushiwe risasi iliyompata Akwilina?David Mwangosi kupigwa risasi na polisi alikuwa amejihami kwa silaha nzito?Polisi wanauwa sana tu huko Marekani ni kawaida.
Post bora Dunia nzima
Kaka niunganishe kundi la Wasukuma tunaompinga JPM na Ndugai.Unamaanisha hata wasukuma tunaompinga JPM na Ndugayi nasi ni wanyama ??
Unapopinga uovu wa mtu fulani usihusisshe kabila lake unataka kusema wasukuma na wagogo wote ni wanufaika wa huu udhalimu wa JPM.
Be reasonable.
Sawa mkuu nilikuwa namkumbusha huyo jamaa hapo juu kwa kutoa maoni ya kitoto sana utawala wa Magufuli tu.Kaka niunganishe kundi la Wasukuma tunaompinga JPM na Ndugai.
Asante.
Hatimaye tunaowaita kuwa ni mabeberu wazidi kuunguruma dhidi ya matukio ya kihuni ya kushambuliwa viongozi wa upinzani yanayoshamiri nchini.
View attachment 1473622
Kwahiyo kwa akili yako, unataka kuifananisha USA na hii shit hole country? Au una maana tofauti?Usa hana haki ya kunyoshea Tanzania mkono nchiambayo maaskari wanaua Wananchi wake barabarani ndio inanyoshea Tanzania mkono
Wapeleke upumbafu kwao
Mbowe aache maisha ya kihuni yeye ni kiongozi