ArtificialIntelligence
JF-Expert Member
- May 22, 2020
- 377
- 734
Anayesema haki ya kutupigia kelele hawana anajidanganya, USA wanatupa misaada lazima watupangie conditions hahaha, tungekua hatutaki kelele kwanza tuwe matajiri wenyewe hiyo misaada tusihitaji tena. Kwa sasa hivi hata bajeti yetu yenyewe inategemea sana misaada yao lazima watupangie wanavyotaka, wana principle zao na wanataka nchi zote wanazozisaidia zifate.
NI kama wewe mtu akija anahitaji msaada flani, mtu mlevimlevi hela unajua ukimpa ataenda kuharibu, lazima umuwekee conditions sio kumuacha afanye analotaka. Marekani na hata UK wanatufanyia hicho hicho.
So stop complaining, fanya kazi tuwe matajiri tuache kuwategemea ndipo wataacha kutupigia kelele. As of now ni haki yao kabisa kulalamika
NI kama wewe mtu akija anahitaji msaada flani, mtu mlevimlevi hela unajua ukimpa ataenda kuharibu, lazima umuwekee conditions sio kumuacha afanye analotaka. Marekani na hata UK wanatufanyia hicho hicho.
So stop complaining, fanya kazi tuwe matajiri tuache kuwategemea ndipo wataacha kutupigia kelele. As of now ni haki yao kabisa kulalamika