Uchaguzi 2020 Ubunge Arusha sasa upo wazi kwa Godbless Lema

Mkuu Ngogo ukitoka Bukoba pitia hapo Nyamagana ufanye tathmini kwa kijana wetu Pambalu. Ukimaliza hapo njoo hapa Shinyanga umtathmini dada yetu Salome Makamba! Mwaka huu ma CCM yanapumulia mashine!


Kwahiyo kila mahali ni balaa hii si kawaida labda kuna miiko CCM wameivunja, ngoja niwasiliane na Mkuu Mshana Jr nadhani kafara la Mwenge limeanza kufanyakazi yake.
 
Sisi ambao tuko Namtumbo uzi huu ngoja tupite kando.

Kila mmoja yuko Arusha.

Wa Lema yuko Arusha
Wa Gambo yuko Arusha

Nendeni mkabishane hapo sokoni face to face.
 
Mkuu ww ni mkazi wa arusha? Kama sio mkazi vunga basi msimchukulie poa gambo. Lema anakazi ya kufanya sio kirahisi kama unavyodhani
Hakuna uchaguzi rahisi lakini Gambo hawezi kumshinda Lema hata kama akifanya kampeni bila nguo, kingine ambacho wana Arusha wanamkataa Gambo ni kwa vile alitumia madaraka yake vibaya sana kwa kushiriki kukomoa wapinzani akiwemo Lema na alichangia sana kukwamisha juhudi za mbunge ikiwemo sakata la Hospitali ya Mama na mtoto.
 
Kwa hiyo Mzaramo sio mtu,mbona Chadema ina wagombea ubunge wanne Dar kutoka mkoa mmoja wa kaskazini.
Chuga ndimi zenu.
Mchaga kuwa mbunge Dar inawezekana pasi na shaka,ila mzaramo kuwa mbunge moshi au Arusha hiyo haiwezekani na ikiwezekana basi itakua ni dharau kubwa sana.
 
Sawa
Ccm Inatupeka Wapi
Wao Wanasema Vyeo Vipo Vingi
Watateuana
 
Mchaga kuwa mbunge Dar inawezekana pasi na shaka,ila mzaramo kuwa mbunge moshi au Arusha hiyo haiwezekani na ikiwezekana basi itakua ni dharau kubwa sana...

..mbona makongoro nyerere alikuwa mbunge wa arusha mjini na alimshinda mchaga felix mrema?

..watu wa arusha wanataka wagombea wenye amsha-amsha kama makongoro nyerere, au godbless lema.

..ccm mmekosea kumsimamisha mrisho gambo ambaye anaonekana kuwa na aibu na yuko legelege.
 
A rusha ,moshi ni vyuo vya siasa.njoo kichwakichwa tu utapata ilimu mujarabu kabisa.utajafundisha na wajukuu zako.
 
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu, mimi namsubiria mkurugenzi wa halmashauri ya jiji la Arusha😎😎😎😎😎😎😎
 
Bukoba muda huu hali ya hewa ni nzuri nipo mjini napata Gagawa na story za hapa na pale.

Wazee wa hapa bado wana uchungu na kumbukizi mbaya juu ya tetemeko lililo vunja nyumba zao na kuwaacha katika simanzi kuu.

Wazee wanalalama na kulalamika walikosa mfariji Mkuu katika kipindi kigumu cha tetemeko,mbaya zaidi wakumbushiwa vita ya Uganda na kale kaugonjwa kaliko jikita sehemu pendwa.Wazee wamechachama hawataki mchezo tayari wameamua watampatia nani kura yao.

Katikati ya mazungumzo napata simu kutoka Arusha, mambo yameharibika Waziri Mkuu mstaafu Mizengo Kayanda Pinda yuko mjini kutuliza hali ya mambo maji yamekorogeka.
 
Kwa nini usianzishe thread yako? Ukisikia kudandia gari kwa mbele ndio huku, haya inahusiana vipi na Gambo kugaragazwa asubuhi na mapema na Lema?
 
Huyo siyo Mzaramu na ukabila usipewe nafasi
Mzaramo huyo, halafu tuna hasira na wazaramo bado tunamkumbuka waziri Jafo alivyowaengua maelfu ya wagombea wa upinzani kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, bloody good morning!
 
Kwenye uchaguzi huu; kuna majimbo matatu magumu kutabiri mshindi Tanzania; Arusha mjini ni mojawapo
Nakushauri usibeti kwani siri ya ushindi wanaijua wajumbe!!!!!
 
Tena katika sisi mazuzu anatuongoza huyo aliyetoa hoja akijiona anajua kumbe hajui
 
Kwa hiyo Mzaramo sio mtu,mbona Chadema ina wagombea ubunge wanne Dar kutoka mkoa mmoja wa kaskazini.
Chuga ndimi zenu.
Dar siyo ya wazaramo, wazaramo kwao Pwani Dar es salaam wenyewe waarabu na sisi wajanja tuliohamia. Wametoka milima ya Matombo wakazaramia
 

ARUSHA ilimchagua Msomali Kinana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…