Mwaka 2015 aliyekuwa mgombea wa ccm kule Kasulu Kusini Daniel Nsanzugwanko alijaza formu kuwa alizaliwa tarehe 3/8/2015.Kama huyu
View attachment 1551841
Ni makosa madogo kwa wafuasi wa CHADEMA ambao wanashangilia mgombea wao anapotoa maneno ya kuhamsisha uvunjifu wa amani. Hayo ni mbadala wa kuwaambia WaTz kama ataendeleza miradi ya maendeleo ulyopo (SGR, Madaraja, Barabara, Meli, Umeme, Maji, Huduma za afya, nk) as u ataifitilia mbali?Hayo Makosa madogo wanafanya Upinzani tu
Halafu huyu akikatwa analalamika. Yaani hawapo serious kabisa.Kama huyu
View attachment 1551841
Ukiwa Chadema ukakosea ndo imekula kwako. Kosa kama hilo halimuengui mtu kama wakiamua kutumia utu na si sheria. Ndo maana ukijaza hakikisha umerudia kuisoma hata mara tano mida tofauti.Mwaka 2015 aliyekuwa mgombea wa ccm kule Kasulu Kusini Daniel Nsanzugwanko alijaza formu kuwa alizaliwa tarehe 3/8/2015.
Alipowekewa pingamizi hakuenguliwa kwa sababu kosa la kukosea tarehe ya kuzaliwa kama hilo siyo fatal kiasi hicho.
Reasonableness ya common man mtu mwenye siku tisa tu anaweza kugombea ?
Kumuengua mtu kwa kosa la namna hili siyo sawa hata kidogo.
iyo vita silaha utapitisha wapi au utapigana na magobole ha ha ha magufuli mitano tenaVita inalazimishwa kwa udi na uvumba
Wanapigana na mawe. 😂😂😂iyo vita silaha utapitisha wapi au utapigana na magobole ha ha ha magufuli mitano tena
Na bado.
Ni kweli wagombea wanatakiwa kuavoid hizi petty mistakesUkiwa Chadema ukakosea ndo imekula kwako. Kosa kama hilo halimuengui mtu kama wakiamua kutumia utu na si sheria. Ndo maana ukijaza hakikisha umerudia kuisoma hata mara tano mida tofauti.
Ni hatari sana.Wanakosea wapinzani tu? Hizo fomu zina lugha ya ki-CCM?
KWANI LAZIMA UWE MBUNGE???? MBONA UNANG"ANG"ANIA?
Huyu Boniface sio wakuaminiwa. Historia ya aliyekuwa mbunge wa Arumeru Joshua Nassari inarudia.
Ni makosa madogo kwa wafuasi wa CHADEMA ambao wanashangilia mgombea wao anapotoa maneno ya kuhamsisha uvunjifu wa amani. Hayo ni mbadala wa kuwaambia WaTz kama ataendeleza miradi ya maendeleo ulyopo (SGR, Madaraja, Barabara, Meli, Umeme, Maji, Huduma za afya, nk) as u ataifitilia mbali?
[/QUOTE)
Hayo Makosa madogo yameonekana AWAMU ya tano tu?.. all the way back Tangu vyama vingi umewah kuona utoto kama huu?.. Usishabikie kikinuka ni kwa wote athari hazitobagua wewe ni Shabiki wa CCM au CHADEMA ,,,Amani ikipotea itapotea kwa wote,, TUME IACHE FIGISU KWA WAPINZANI ,,,NA WAPINZANI MSIKUBALI FIGISU WAKIZINGUA HAKUNA KUJITOA KINUKISHENI
Ingia barabarani watz wakuonyeshe!Hamna jeuri hiyo nyinyi wategemezi wa mabeberu kwa kila kitu hadi bajeti yenu tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Do you really believe this?Robert Amsterdam anachemsha dawa ya ccm. Huyu John ataozea gerezani.