Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Maeneo tajwa hayana maji kwa zaidi ya siku tano sasa, Wahusika wako kimyaaa, jana nimewaona Watendaji WA Dawasco wako kwenye Bajaj wanazunguka Tu. Hii Hali ni hatari, kipindupindu kiko nje nje, mahotel mengi Sana hapa Manzese hayana maji.
Umeme NAO unakatwa kwa zaidi ya masaa SITA Hadi 12 kwa siku, unashindwa hata kupampu maji ya kizima.
Cha ajabu, kuna "Simblisi" ziko mahali zinajiandaa kusherehekea miaka 40+ ya chama kibovu namna hii.
Hii nchi haiishi vituko kila siku.
View attachment 2897528
Hahahmi-CCM iko kimyaaa utadhani CHADEMA ndio wanahusika
Mambo bam bam....mitaa hiyo na wanaccm wapo?Baadhi ya mitaa ya Dar ina wiki ya pili sasa hakuna huduma ya maji. Mambo yanavyokwenda chini ya serikali ya SSH yanasikitisha.
Na wanakuaga kiherehere balaaaMambo bam bam....motaa hiyo na wanaccm wapo?
Ila KWELI ujueHata wakikujibu watakupiga fiksi tu...
Maeneo tajwa hayana maji kwa zaidi ya siku tano sasa, Wahusika wako kimyaaa, jana nimewaona Watendaji WA Dawasco wako kwenye Bajaj wanazunguka Tu. Hii Hali ni hatari, kipindupindu kiko nje nje, mahotel mengi Sana hapa Manzese hayana maji.
Umeme NAO unakatwa kwa zaidi ya masaa SITA Hadi 12 kwa siku, unashindwa hata kupampu maji ya kizima.
Cha ajabu, kuna "Simblisi" ziko mahali zinajiandaa kusherehekea miaka 40+ ya chama kibovu namna hii.
Hii nchi haiishi vituko kila siku.
View attachment 2897528
Kwahio kama hamlalamiki unataka na Sisi wenye akili tukae kimya??Siku tano mnalalamika?
Mbona sisi huku huwa wanakaa hadi mwezi hawaleti maji
Huu mji Una undugu na JEHANAM wallah nakwambiaMkome kuita wasioishi Dar eti wa mikoani, mji una Karaha kama zote yani.
Na nyie ccm mnakosa Maji?Siku tano mnalalamika?
Mbona sisi huku huwa wanakaa hadi mwezi hawaleti maji
True..nakubaliana na wewe kwenye hiliCCM wangekuwa wanategemea kura za wananchi kushinda na kushika madaraka ya serikali, usingeona huo uzembe na kutowajibika kwa hao watenda kazi kwa kiwango kikubwa hivi.
Mamlaka ya uteuzi, ajira na nidhamu serikalini ni factor kubwa sana katika utendaji wa waajiriwa na taasisi zake. Usipoliona hilo sina cha kuongeza.
Yaani maisha magumu Sana hayaNa nyie ccm mnakosa Maji?
Yaani maisha magumu SanaNa nyie ccm mnakosa Maji?
Hahahaha hapa WA kulaumiwa ni nyieSiku Tano tu mnalilia hivyo. Wengine tokea uhuru hatujawahi pata maji
Hahaha mnaishije sasa? Basi nyie ni ng'ombeSiku Tano tu mnalilia hivyo. Wengine tokea uhuru hatujawahi pata maji
Mungu ni wahuruma alijua watakuwepo watu wabinafsi na ndio maana kukawa na chemuchemu, vijito, nk nkHahaha mnaishije sasa? Basi nyie ni ng'ombe
😳😳Sisi tenaYaani maisha magumu Sana
Hahahaha hapa WA kulaumiwa ni nyie
Hahaaa......sawaMungu ni wahuruma alijua watakuwepo watu wabinafsi na ndio maana kukawa na chemuchemu, vijito, nk nk
Hapa itakuwa umeepukana na haya makumanyoko CCM...Kwasasa nimebaki na Kero ya Umeme, Kuna jamaa nimempa kazi ya ku-design Solar Panels system za kuweza kuwasha taa/Tv/Friji/Mota ya Pampu/Feni n.k
Na zenyewe wanachama WA CCM wanatibua majiMungu ni wahuruma alijua watakuwepo watu wabinafsi na ndio maana kukawa na chemuchemu, vijito, nk nk
HahahahaHapa itakuwa umeepukana na haya makumanyoko CCM...
Sema so Kila mtanzania Ana uwezo huo.