Ubungo, Mabibo, Mburahati, Manzese hakuna maji siku zaidi ya tano sasa

Ubungo, Mabibo, Mburahati, Manzese hakuna maji siku zaidi ya tano sasa

Maeneo tajwa hayana maji kwa zaidi ya siku tano sasa, Wahusika wako kimyaaa, jana nimewaona Watendaji WA Dawasco wako kwenye Bajaj wanazunguka Tu. Hii Hali ni hatari, kipindupindu kiko nje nje, mahotel mengi Sana hapa Manzese hayana maji.

Umeme NAO unakatwa kwa zaidi ya masaa SITA Hadi 12 kwa siku, unashindwa hata kupampu maji ya kizima.

Cha ajabu, kuna "Simblisi" ziko mahali zinajiandaa kusherehekea miaka 40+ ya chama kibovu namna hii.

Hii nchi haiishi vituko kila siku.

View attachment 2897528
mi-CCM iko kimyaaa utadhani CHADEMA ndio wanahusika
Hahah
 
Mkome kuita wasioishi Dar eti wa mikoani, mji una Karaha kama zote yani.
Maeneo tajwa hayana maji kwa zaidi ya siku tano sasa, Wahusika wako kimyaaa, jana nimewaona Watendaji WA Dawasco wako kwenye Bajaj wanazunguka Tu. Hii Hali ni hatari, kipindupindu kiko nje nje, mahotel mengi Sana hapa Manzese hayana maji.

Umeme NAO unakatwa kwa zaidi ya masaa SITA Hadi 12 kwa siku, unashindwa hata kupampu maji ya kizima.

Cha ajabu, kuna "Simblisi" ziko mahali zinajiandaa kusherehekea miaka 40+ ya chama kibovu namna hii.

Hii nchi haiishi vituko kila siku.

View attachment 2897528
 
CCM wangekuwa wanategemea kura za wananchi kushinda na kushika madaraka ya serikali, usingeona huo uzembe na kutowajibika kwa hao watenda kazi kwa kiwango kikubwa hivi.

Mamlaka ya uteuzi, ajira na nidhamu serikalini ni factor kubwa sana katika utendaji wa waajiriwa na taasisi zake. Usipoliona hilo sina cha kuongeza.
True..nakubaliana na wewe kwenye hili
 
Back
Top Bottom