Nimepewa tender ya kusupply unga wa muhogo non food grade tani 300 na price ni 700,000/= per tone price at factory gate.Ni kweli kabisa. Ila sijiskii amani kufanya hiyo kazi ya ulecturer. Amani ipo kwenye biashara zaidi na siasa.
Kivipi mkuu,Mkuu wewe unahitaji mapambano ya kiimani zaidi kuna kitu katika imani kinakushambulia maana kwa point hizo ulipaswa uwe anga nyingine kabisa.
Hiki chuo ndo Huwa wanatoaga na masters za Kilimo..?Ndio sikuhudhuria ilikua ni Assistant Lecturer (Material Science and Engineering).
Nilijikuta tu sihitaji kuhudhuria. Nikaamua kutulia zangu.
Jaribu kuangalia prospectus yao. Kuna kozi nyingi sana.Hiki chuo ndo Huwa wanatoaga na masters za Kilimo..?
Utanielewa ukikuaSijalielewa vizuri swali lako
Sikatai, ila kafundishe makolo wenzio!Naona tu unanichekea, punguza kunikenulia meno
😂😂😂😂Utanielewa ukikua
Ni kwa fani hizo nilizozitaji juu na baadhi ambazo huenda sizifahamu vizuriNina masters na hizo ajira unazozisema sizioni. Ziko wapi kwani.
Kwaida tu wenye sifa wataziomba mzeeView attachment 2412530hizi nafasi zitakuwa re-advertized sana tu
Vijana mjiajiri, mkumbuke hata hivyo vyuo ni mali za watuKwaida tu wenye sifa wataziomba mzee
Tukopeshe mitaji basi sio kusema tujiajiri tu hiyo mitaji tunaokota au vipi?Vijana mjiajiri, mkumbuke hata hivyo vyuo ni mali za watu
Hata equivalent qualifications hawataki?View attachment 2412530hizi nafasi zitakuwa re-advertized sana tu
Acha tuoneKwaida tu wenye sifa wataziomba mzee
Ni lazima usomee hicho kilichotajwaHata equivalent qualifications hawataki?
Nakuunga mkono mkuu.Katika hangaika yangu ya kusaka tonge hasa katika hizi interviews za utumishi, nimegundua Kuna baadhi ya post huwa hazina waombaji wengi. Nitachukulia mfano kwa post za educational psychology, Guidance and counseling, early childhood education & special and inclusive education na fani nyengine kwa level ya Assistant lecturers
Walioomba nafasi za assistant lecturer katika baadhi ya vyuo ni walewale tena ni wachache mno. Unakuta watu wawili au watatu tena ni walewale wameomba hiyo nafasi UDSM, UDOM, SUA, DUCE, MUCE, MUHAS, IAE, ADEM n.k tena Mara kadhaa unakuta watu hao hao wapo kwenye Educational psychology, guidance and counseling, special and inclusive education na kupelekea mtu kuchaguliwa vyuo 4 Hadi 5 katika fani zaidi ya moja ambapo muombaji akiconfirm fani au chuo kimoja, fani au vyuo vyengine vinakosa watu na hapa ndio unakuta nafasi nyingi zinakuwa re-advertized.
Wakati huo huo wanaoomba nafasi hizo kama Tutorial Assistant ni wengi sana. Hivi kwanini mamlaka husika wasijikite kuajiri sana kuanzia Tutorial Assistant?
Ukizingatia pia watoto wengi wa masikini hawawezi kumudu masomo ya postgraduate.
Dada ungefaa sana uwe Assistant Lecturer chuoni. Haiwezekani nafasi zinakuwa re-advertised hadi mara 3 halafu watu kama nyie hamna mpango kabisa hata kuja ku'apply huko mbeleni. Endelea kufanya biashara zako na kuwaajiri watu ila nafasi za chuoni zikitokea sio vibaya ku'apply.Vijana mjiajiri, mkumbuke hata hivyo vyuo ni mali za watu