Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Kusoma hujui unawaza ngono tuu.Sawa tumekusikia ngono jina lako linasadifu akili yako ilipo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kusoma hujui unawaza ngono tuu.Sawa tumekusikia ngono jina lako linasadifu akili yako ilipo
Mbowe ashinde kwa manufaa yetu
#SSS-Mitano t
CCM watafurahi snMbowe ashinde kwa manufaa yetu
#SSS-Mitano tena
SureHuo ushindi ndio utakuwa hukumu ya kifo Cha CHADEMA!
Watu watakipuuza na mwisho kitakuwa irrelevant!
Kinyume chake ili chadema iinuke upya ni lazima lissu ashinde!Ili Chadema ife ni Lazima Mbowe ashinde
Sisi CCM.Mbowe ashinde kwa manufaa yetu
#SSS-Mitano tena
Haahaa kitakachotokea mlimani city watu hawataamini, nimegundua viongozi wengi wa Kanda hawakubaliki na viongozi wa majimbo na wilaya, lissu uchaguzi ukiwa huru na wazi atashinda, muda utasemaHeshima sana wanajamvi.
Baada ya tathimini ya hali ya juu kutoka kanda 8 Mhemiwa Mbowe anaongoza 81.5% huku mshindani wake mkuu Mheshimiwa Lissu akiambulia 17.3%
Wajumbe wengi wameonyesha msimamo wa kumuunga Mwenyekiti mkono kwa wivu mkubwa.
Ngongo kwasasa Mikocheni.
Haahaa Kuna wengi wanasema mbowe baada ya uchaguzi huu hataamini, hata kama viongozi wote wa Kanda walimpa kura mbowe hashindiiMbowe amegawa hela hadi kwa wajumbe walioko zanzibar lakini amesahau jambo moja tu kwamba wajumbe hawajawahi kuwa watu wazuri.,
Tundu Lisu atashindwa kwa fedhaha sana uchuguzi huo hasa baada ya kumtumia Mzee Slaa kama kampeni meneja wake kwa wajumbe 🐒Heshima sana wanajamvi.
Baada ya tathimini ya hali ya juu kutoka kanda 8 Mhemiwa Mbowe anaongoza 81.5% huku mshindani wake mkuu Mheshimiwa Lissu akiambulia 17.3%
Wajumbe wengi wameonyesha msimamo wa kumuunga Mwenyekiti mkono kwa wivu mkubwa.
Ngongo kwasasa Mikocheni.
Kuropoka ni maneno ya ccm hayoLissu kuropoka kumemharibia
...pole mkuu, mikoa mingi wajumbe wanataka mabadiliko, mbowe huu uchaguzi namhurumia Sana, watu wanataka mabadilikoTundu Lisu atashindwa kwa fedhaha sana uchuguzi huo hasa baada ya kumtumia Mzee Slaa kama kampeni meneja wake kwa wajumbe 🐒
Ukichanganya na njaa ndiyo inakuwa hatariNdoto za visungura mbaya sana