moyafricatz
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 2,904
- 4,902
Mzee kampiga mbali sana kijana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aibu kubwa zaidi kwa binadamu wa leo ni kutokujua maana ya neno msanii kwa mujibu wa maana ya sanaa,shule si kuelewa.Mseveni amejichokea hata hvyo ni aibu nchi kuongozwa na msanii , ni hapo Tu wenzetu wazungu wanapotuchapia fimbo ....wanahakikisha wagonbea wote ni presidentially material Kwanza ...
Point yako ni ipi ?Aibu kubwa zaidi kwa binadamu wa leo ni kutokujua maana ya neno msanii kwa mujibu wa maana ya sanaa,shule si kuelewa.
Hiyo ambayo haijaeleweka kirahisi.Point yako ni ipi ?
Acha unaa yaliyofanyika kwetu,usiyafananishe na kokote,Susi tunajuana,ila ni ngumu kuwa jua wengine wa mbaliKama utalinganisha mafanikio aliyopata Tundu Lissu kwenye uchaguzi mkuu uliopita na Bob Wine utagundua kuwa Chadema walifeli sana....
Bwashee nazungumzia uchaguzi wa Uganda!Mzee bila ya kuitaja cdm hujisiki burdan
Cdm yenyewe sahv ipo ipo tu haina makali...
Kama Trump??Mseveni amejichokea hata hvyo ni aibu nchi kuongozwa na msanii , ni hapo Tu wenzetu wazungu wanapotuchapia fimbo ....wanahakikisha wagonbea wote ni presidentially material Kwanza ...
Majibu unayo bila Shaka.Kwani M7 ndio anatoa nchi au wananchi ndio wanaamua?
Sure nahisi ni UKRAINE.Mkuu kumbuka urais ni taasisi, so hata wewe unaweza kuwa Rais but ukichukua hicho kiti ndipo utajua kuna nini ndani, hutabaki kuwa muuza karanga bali protokali.
Hata hao wakoloni kuna nchi wananchi walimpa mchekeshaji urais na mpaka sasa anafanya vizuri sana.
Grammar! Hilo tuliache, Trump was/is he really a presidential material?presidentially
Pamoja na kumpoka kiti cha urais ikiwa atachukua wabunge nusu ya viti vya Ubunge nadhani itakuwa vizuri zaidi hasa kwenye vikao vya bunge.Upande mwingine: Makamu wa Rais, Edward Sekandi ameshindwa kutetea kiti chake cha Ubunge ambacho amekikalia tangu 1996. Mawaziri 17 kwa sasa wameshindwa kutetea viti vyao vya Ubunge.
Nchi hiyo nadhani ni UkraineMkuu kumbuka urais ni taasisi, so hata wewe unaweza kuwa Rais but ukichukua hicho kiti ndipo utajua kuna nini ndani, hutabaki kuwa muuza karanga bali protokali.
Hata hao wakoloni kuna nchi wananchi walimpa mchekeshaji urais na mpaka sasa anafanya vizuri sana.