Torque vs HP
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,769
- 5,084
Vipi unaona M7 ana dalili ya kushindwa mkuu?Museveni this time naona atakubali yaishe,vinginevyo Uganda itaingia kwenye machafuko...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi unaona M7 ana dalili ya kushindwa mkuu?Museveni this time naona atakubali yaishe,vinginevyo Uganda itaingia kwenye machafuko...
Mawazo mgando kuwatukuza wazungu na kuwapa sifa ambazo hawana Trump hafai hata kuwa mkuu wa mkoa nchi hii kama nchi yetu ingekuwa smart kidogo tu lakini kawa rais marekaniSipo upande wa Mseveni c'se he is too old to run the show...ila Watu wanaomshabikia Bob wine in short hawajielewi au wapo obsessed Sana na democracy , demokrasia sio ya kuichukulia Tu yote kama ilivyo ,mtajikuta mnatengeneza tatizo kubwa Zaid , wazungu demokrasia Yao huwa wanaiedit Kwanza kabla ya kuirusha on-air .... Huwez kumpa nchi mtu kama Bob wine hakuna kitu pale .... Mzungu huwa anahakikisha wagombea wote ni presidentially material , bado baada ya Kura kuna cabinet inakaa Kwa ajil ya kumtathmin aliyeshinda Kwa kina , kama ni miyeyusho cabinet inapindua matokeo Kwa mstakabali Mpana wa nchi .... Sisi huku hamna , ni ushabiki Tu na chuki za kikanda na kikabila mtu hata wa hovyo Tu anapewa majukumu mhimu ...mwisho wa yote anabak kupuyanga na matokeo yake vita vya wenyewe Kwa wenyewe nchi inakuwa full riots ....
Magufuli alishakata tamaa kabisa waliomuokoa ni hao wapambe wake usalamaKama Rafiki yake tuliyenae hapa Tanzania Kashinda kwa Mbibu za Kininja ( Kimafia ) unadhani hajammegea Maujanja yote ya Ushindi wa Uganda?
Zile alama za tiki zinavyoamia kwa Mu7 kimiujiza ndani ya usiku mmoja tu[emoji23]Duuh....!!!!! unafurahia nini?
Presidential material my foot , kama mwehu Trump , Acha ujinga kila mtu ana Haki ya kutombwa kikatiba sio ufalme huoMseveni amejichokea hata hvyo ni aibu nchi kuongozwa na msanii , ni hapo Tu wenzetu wazungu wanapotuchapia fimbo ....wanahakikisha wagonbea wote ni presidentially material Kwanza ...
Ronald Reagan mwenyewe alikuwa muigizaji wtf are you talking about look at Donald TrumpMseveni amejichokea hata hvyo ni aibu nchi kuongozwa na msanii , ni hapo Tu wenzetu wazungu wanapotuchapia fimbo ....wanahakikisha wagonbea wote ni presidentially material Kwanza ...
Hiyo bangi ulimvutisha wewe kupitia kinyelo chako kima wewe?Humujui m7 wewe hawezi kumpa huyo mvuta bangi nchi
Haki ya kufanyaje mkuu?Presidential material my foot , kama mwehu Trump , Acha ujinga kila mtu ana Haki ya kutombwa kikatiba sio ufalme huo
Mseveni amejichokea hata hvyo ni aibu nchi kuongozwa na msanii , ni hapo Tu wenzetu wazungu wanapotuchapia fimbo ....wanahakikisha wagonbea wote ni presidentially material Kwanza ...
Fatilia Kwanza background leadership ya Donald Reagan , alafu fatilia na ya Bob wine kisha urudi hapa ,... Unapotaka kumuiga Mzungu kaa chini Kwanza umfatilie kafanyeje sio unakrupuka tuuRonald Reagan mwenyewe alikuwa muigizaji wtf are you talking about look at Donald Trump
Hv kwa akili yako na majibu yako haya na wewe sku moja Una ndoto za kuwa Raisi kisa Una haki kikatiba ?? Ni mwehu Tu anayeweza kukuchagua , na hata kama ukichaguliwa ni mamlaka za hovyo Tu zinazoweza kudhibitisha huo ushindiPresidential material my foot , kama mwehu Trump , Acha ujinga kila mtu ana Haki ya kutombwa kikatiba sio ufalme huo
Mseveni amejichokea hata hvyo ni aibu nchi kuongozwa na msanii , ni hapo Tu wenzetu wazungu wanapotuchapia fimbo ....wanahakikisha wagonbea wote ni presidentially material Kwanza ...
Khaaaaa!!Presidential material my foot , kama mwehu Trump , Acha ujinga kila mtu ana Haki ya kutombwa kikatiba sio ufalme huo