Uchaguzi ujao, Kanda ya Ziwa isiwe ndio Kanda inayotuchagulia Rais

Uchaguzi ujao, Kanda ya Ziwa isiwe ndio Kanda inayotuchagulia Rais

kanda ya ziwa sasa tumeamka, mpende msi pende sisi ndiyo tunao amua mustakabali wa hiki ki nchi kinachoitwa Tz, tumenyanyaswa kwa miaka mingi kwa visingizio mbali mbali, enough is enough...……...
Umenyanyaswa na nani lini? Rais wa kwanza ni JK Nyerere ametoka kanda ya ziwa na jeshi kiujumla limemilikiwa na kanda ya ziwa.

Mwanasheria mkuu wa kwanza Bomani ni msukuma, fisadi wa kwanza mzawa ni msukuma na aliwahi pia kuwa mwanasheria mkuu wa serikali Andrew Chenge.

Niendelee au nisiendeleee?....
 
kanda ya ziwa sasa tumeamka, mpende msi pende sisi ndiyo tunao amua mustakabali wa hiki ki nchi kinachoitwa Tz, tumenyanyaswa kwa miaka mingi kwa visingizio mbali mbali, enough is enough...……...
Ningependa kujua mkuu,unavyosema mlinyanyaswa kwa miaka mingi,unamaanisha nini..nani aliwanyanyasa? how?? sio ubishi ningependa kujua from your own perspective au nijue kanda ya Ziwa how do they feel kuhusu tawala zilizopita please..
 
Mnahangaika na KZ wakati wenzenu wanafikiria Uislamu na kujipanga, Waislamu wako kote hata KZ kuna Waislamu pia, Kilimanjaro kuna Waislamu wengi tu na hawapigii kura kafir, kwangu mimi hilo ndio linapaswa kujadiliwa, kabla hamjachelewa!
 
Hello great thinkers...

Mimi naona hii njia ya kuhesabu kura zote Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu ina mapungufu.

Kanda ya Ziwa ni kama inadetermine nani atakuwa Rais.

Na wenyewe kwa kutambua hili wanakua arrogant, kama wanavyomtishia mama kuwa hatashinda uchaguzi ujao (Sio wote)

Mimi naona hii sio fair kwa mikoa ile yenye watu wachache...

Kwa nini tusifanye kama Marekani?

Mkoa/jimbo moja linahesabu kura then anayeshinda anatangazwa ameshinda kwenye mkoa/jimbo hilo..

Anayeshinda mikoa yote ndio anakuwa Rais wetu...

Kwa njia hii hakuna Kanda itakayokua juu ya Kanda nyingine..

Fairness ndicho tunachokitaka...
unaandika as if tushakuwaga na uchaguzi nchi hii zaidi ya mauzauza ya Tume ya uchaguzi ya CCM na washirika wake.
 
Ningependa kujua mkuu,unavyosema mlinyanyaswa kwa miaka mingi,unamaanisha nini..nani aliwanyanyasa? how?? sio ubishi ningependa kujua from your own perspective au nijue kanda ya Ziwa how do they feel kuhusu tawala zilizopita please..
Akimaliza kukueleza manyanyaso waliyofanyiwa na sisi wa mikoa ya kusini ambao hadi reli ziling'olewa na uzaramoni udumavu wa maendeleo na waislamu pia tupewe nafasi ya kueleza dhulma tulizofanyiwa.

Kuna wajinga wanataka kudeka sana, tuunde tu Serikali ya majimbo mambo yaishe, kila jimbo mungu amelipa maliasili yake tatizo ni mipango tu.
 
Kanda ya ziwa ina wapiga kura 17%. Hiyo 17% ndiyo itakayomchagua Rais?

Kwenye sheria ya uchaguzi, tunachotakiwa kubadiisha ni mshindi lazima apate zaid8li ya kura 50%. Asipopatikana, uchaguzi urudiwe kwa wagombea wawili walioongoza.
 
Hakuna kitu kama hicho, ni porojo za wanasiasa tu. Idadi ya watu kanda ya ziwa haifiki robo ya watanzania wote.

Kanda ya ziwa inatumika kwasababu huko ndio washamba wamejazana.
Wewe ndiyo unadanganya kanda ya ziwa officially ina idadi ya watu 18milion out of 60imllion, jinyonge hamna jinsi
 
Mnahangaika na KZ wakati wenzenu wanafikiria Uislamu na kujipanga, Waislamu wako kote hata KZ kuna Waislamu pia, Kilimanjaro kuna Waislamu wengi tu na hawapigii kura kafir, kwangu mimi hilo ndio linapaswa kujadiliwa, kabla hamjachelewa!
Mimi ni mkristo naunga mkono waislamu ndio wawe wanapewa nafasi ya Urais, wanapotawala Marais wakristo tunshuhudia dhiki tu na roho mbaya.

Kama hilo jambo lipo basi niko pamoja na waislamu.
 
Hello great thinkers...

Mimi naona hii njia ya kuhesabu kura zote Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu ina mapungufu.

Kanda ya Ziwa ni kama inadetermine nani atakuwa Rais.

Na wenyewe kwa kutambua hili wanakua arrogant, kama wanavyomtishia mama kuwa hatashinda uchaguzi ujao (Sio wote)

Mimi naona hii sio fair kwa mikoa ile yenye watu wachache...

Kwa nini tusifanye kama Marekani?

Mkoa/jimbo moja linahesabu kura then anayeshinda anatangazwa ameshinda kwenye mkoa/jimbo hilo..

Anayeshinda mikoa yote ndio anakuwa Rais wetu...

Kwa njia hii hakuna Kanda itakayokua juu ya Kanda nyingine..

Fairness ndicho tunachokitaka...
Daaah Tanzania tuko nyuma sana kiuelewa kwa kweli.
Yaani mtu hajui hata maana ya kura! Hajui maana ya Demokrasia..
Hata huko marekani kuna Californi yenye kura 55 mengine yana kura 3 kama South Dakota je hapo unafhani mwenye 55 hajaamua matokeo?
Nimeangali Majimbo yenye kura chache zaidi ukichukua majimbo 15 jumla yao bado hayafikii jimbo moja la California
 
Hello great thinkers...

Mimi naona hii njia ya kuhesabu kura zote Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu ina mapungufu.

Kanda ya Ziwa ni kama inadetermine nani atakuwa Rais.

Na wenyewe kwa kutambua hili wanakua arrogant, kama wanavyomtishia mama kuwa hatashinda uchaguzi ujao (Sio wote)

Mimi naona hii sio fair kwa mikoa ile yenye watu wachache...

Kwa nini tusifanye kama Marekani?

Mkoa/jimbo moja linahesabu kura then anayeshinda anatangazwa ameshinda kwenye mkoa/jimbo hilo..

Anayeshinda mikoa yote ndio anakuwa Rais wetu...

Kwa njia hii hakuna Kanda itakayokua juu ya Kanda nyingine..

Fairness ndicho tunachokitaka...
Wizi wa kura je?
Wewe unafikiri ccm wanategemea sanduku la kura kupata ushindi?
 
Akimaliza kukuekeza manyanyaso ealiyofanyiwa na sisi wa mikoa ya kusini ambao hadi reli ziling'olewa na uzaramoni udumavu wa maendeleo na waislamu pia tupewe nafasi ya kueleza dhulma tulizofanyiwa.

Kuna wajinga wanataka kudeka sana, tuunde tu Serikali ya majimbo mambo yaishe, kila jimbo mungu amelipa maliasili yake tatizo ni mipango tu.

I agree,,,

Serikali ya majimbo is the way foward, nishawahi kuleta thread ya hivi pia,ila kuna watu wakanipinga wakasema kuna sehemu tukienda kimajimbo zitaendelea sana na nyingine kutokana na ukosefu wa resources zitadumaa..mimi nahisi tugawanye kila jimbo lijitegemee, labda kila jimbo lichangie 15% kwenye serikali kuu then serikali kama inaona jimbo fulani haliendelei ipeleke njia za kustimulate uchumi wa hilo jimbo.......
 
Kanda ya ziwa ni nchi ndani ya nchi mama, hilo halina kipingamizi kwamba sisi ndio tuna determine nani awe rais na nani asiwe rais. Hilo liko wazi.

Mama analijua hilo ndio maana unaona kila kukicha anatutembelea.

Hii nchi tulikua taken advantage of kwa miaka mingi, sasa tumeshtuka na sasa tunaamua nani awe rais.

Faida moja ya kanda yetu ni kwamba tuna makabila mengi lakini yanayoelewana na yameingiliana kiasi kwamba wote tunaonekana kama kabila moja. Hii haipo kanda zingine nchini.

Kama tunachangia 33% ya pato la taifa kwa nini tusiamue nani awe rais?
Ni ujinga wa hali ya juu. Kanda wa Ziwa yenye wapiga kura 17% inaweza vipi kuamua nani awe Rais?

Haya wakusanye wajinga wenzako, amueni kumchagua mgombea mmoja, tuone kama atakuwa Rais. Na ujue kuwa huko huko Kanda ya Ziwa kuna super intelligent people ambao wanaujua ukweli, wala hawataingia kwenye mtego huo wa kijinga.

Kanda ya Ziwa inaongoza kwa kuwa na proportion kubwa ya illitrates. Wanadanganywa, nao wanaamini.

Jambo muhimu ni kumpata kiongozi mwerevu atakayehakikisha jamii nzima ya Tanzania inapata elimu na maarifa mazuri ili kila raia awe na mchango mkubwa kwa Taifa, siyo kuwa mjinga wa kudhania kuwa eti kuna eneo fulani ndilo linaamua nani awe nani.
 
I agree,,,

Serikali ya majimbo is the way foward, nishawahi kuleta thread ya hivi pia,ila kuna watu wakanipinga wakasema kuna sehemu tukienda kimajimbo zitaendelea sana na nyingine kutokana na ukosefu wa resources zitadumaa..mimi nahisi tugawanye kila jimbo lijitegemee, labda kila jimbo lichangie 15% kwenye serikali kuu then serikali kama inaona jimbo fulani haliendelei ipeleke njia za kustimulate uchumi wa hilo jimbo.......
Soma hii thread tafadhali. Majibu yote ya resources yapo humo.

 
Kanda ya ziwa ni nchi ndani ya nchi mama, hilo halina kipingamizi kwamba sisi ndio tuna determine nani awe rais na nani asiwe rais. Hilo liko wazi.

Mama analijua hilo ndio maana unaona kila kukicha anatutembelea.

Hii nchi tulikua taken advantage of kwa miaka mingi, sasa tumeshtuka na sasa tunaamua nani awe rais.

Faida moja ya kanda yetu ni kwamba tuna makabila mengi lakini yanayoelewana na yameingiliana kiasi kwamba wote tunaonekana kama kabila moja. Hii haipo kanda zingine nchini.

Kama tunachangia 33% ya pato la taifa kwa nini tusiamue nani awe rais?
Nenda kwenye takwimu za BoT ukaone mikoa ya Kanda ya Ziwa inavyoongoza kwenye viwango vya umaskini.

Kuwa na watoto wengi kama simbilisi halafu hawana mwanga wa maendeleo ni sawa na kufurahia dimbwi kubwa la majiachafu ukamdharau mwenye kisima cha maji safi. Kuna wakati population kubwa ni burden.
 
Mimi ni mkristo naunga mkono waislamu ndio wawe wanapewa nafasi ya Urais, wanapotawala Marais wakristo tunshuhudia dhiki tu na roho mbaya.

Kama hilo jambo lipo basi niko pamoja na waislamu.

Hamna shida, labda na wao wanakuona hivyo pia!
 
Ni ujinga wa hali ya juu. Kanda wa Ziwa yenye wapiga kura 17% inaweza vipi kuamua nani awe Rais?

Haya wakusanye wajinga wenzako, amueni kumchagua mgombea mmoja, tuone kama atakuwa Rais. Na ujue kuwa huko huko Kanda ya Ziwa kuna super intelligent people ambao wanaujua ukweli, wala hawataingia kwenye mtego huo wa kijinga.

Kanda ya Ziwa inaongoza kwa kuwa na proportion kubwa ya illitrates. Wanadanganywa, nao wanaamini.

Jambo muhimu ni kumpata kiongozi mwerevu atakayehakikisha jamii nzima ya Tanzania inapata elimu na maarifa mazuri ili kila raia awe na mchango mkubwa kwa Taifa, siyo kuwa mjinga wa kudhania kuwa eti kuna eneo fulani ndilo linaamua nani awe nani.

Mkuu umesema pale juu mtu anayefikisha kura 50% percent ndio apewe uongozi, sasa out of 50% kama atapata kura zote za kanda ya Juu ambayo ndio hio 17% huoni hapo Kanda ya Juu ndio imeamua nani awe Rais?!... msinipopoe najifunza eti...
 
Mimi ni mkristo naunga mkono waislamu ndio wawe wanapewa nafasi ya Urais, wanapotawala Marais wakristo tunshuhudia dhiki tu na roho mbaya.

Kama hilo jambo lipo basi niko pamoja na waislamu.
Uchomaji Moto wa makanisa hufanyika awamu zipi?



 
Back
Top Bottom