Uchaguzi 2020 Uchambuzi: Hotuba ya Tundu Lissu kutangaza nia ya Kugombea Urais - Juni 8, 2020

Uchaguzi ungekuwa wa HURU na HAKI mchuano ungekuwa mkali.

Tume ya uchaguzi - sisimu
Mahakama - sisimu
Vyombo vya dola - (wakuu wa mikoa/wilaya)makada wa sisimu
Jumuia za kimataifa ziwanyime misaada,mikopo pia endapo uchaguzi hautokuwa huru.Kwanza wanawatukana Sana wanawabagua eti wanawaita mabeberu.
 
Kamuwekee thermometer umpime na joto hahaha Leo mnahaha nina imani jamaa akipewa jukwaa atawashawishi wengi sana
.
.
Nyie bakini na CCM yenu

#Lissu 2020
 
Thubutuuu. Lisu anaisaidia tu CCM KUWA USHINDI wake ulikuwa na upinzani mkali. Na hivyo kuonekana kuwa uchaguzi ulikuwa wa haki na kikatiba.

Kama atakuwa Rais wa JMT Mimi nitajiua kwa kula sumu siyo kwa jiwe ninalolijua Mimi.
Acha ujinga wa ku-bet maisha kwa mambo kama haya, Wewe! Nngekua namjua mzazi wako, ningeungana naye kukuchapa bakora! Watu wanatoa maisha yao kwa mambo ya maana, Wewe unabet???!! Umenikwaza sana!
 

JIBU MOJA TU: OBAMA
 
Uzuri huu uchaguzi utafatiliwa kwa karibu Sana na jumuia za kimataifa,namuona Kama Bensouda atamchukua mtu wake akamuhifadhi
 
Ushindi wa lissu upo mtandaoni.. Vijana wengi ni wazembe wa kupiga kura na wa kwanza kuongea mitandaoni
 
kawapiga nondo za kutosha leo mmeamua kuhamisha magoli
 
Thubutuuu. Lisu anaisaidia tu CCM KUWA USHINDI wake ulikuwa na upinzani mkali. Na hivyo kuonekana kuwa uchaguzi ulikuwa wa haki na kikatiba.

Kama atakuwa Rais wa JMT Mimi nitajiua kwa kula sumu siyo kwa jiwe ninalolijua Mimi.
Aisee!!
 
Thubutuuu. Lisu anaisaidia tu CCM KUWA USHINDI wake ulikuwa na upinzani mkali. Na hivyo kuonekana kuwa uchaguzi ulikuwa wa haki na kikatiba.

Kama atakuwa Rais wa JMT Mimi nitajiua kwa kula sumu siyo kwa jiwe ninalolijua Mimi.
Aisee!!
 
Wazungu wanasema It's just the matter of time.
 
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122] critical analysis.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…