Uchambuzi: Kwanini Israel hawezi shindwa vita mashariki ya kati?

Uchambuzi: Kwanini Israel hawezi shindwa vita mashariki ya kati?

Siku yaja Warabu wataungana na Kisha kumtolea uvivu Israel, hata USA akiingilia kati haitasaidia kitu.
 
Muhammed ndie aliwaunganishwa Waarabu wakapigana wakiwa One force na kushawishiwa na Dini yao Mpya wakati huo ndio walishinda Vita kadhaa na mpaka leo huwa wanahadithiana their past glory.

Baada ya hapo Mwarabu hajawahi kushinda Vita yoyote zaidi ya kupokea kipigo.
 
Israel hajashinda Yom kipur hizi propaganda zinaongezwa Chumvi kila siku. EGPTY alimbana vizuri tu Israel mpaka wakatishia kupiga Nyuklia, Asingeingilia USA na kukaa nao chini Egpty habari ingekua nyengine.

Moja ya Sababu Raisi wa Egpty (Anwar Saadat) kuuliwa na wanajeshi wake ni kutolisikiliza Jeshi na kutoa maamuzi yaliyoifaidisha Israel.

Outcome ya Vita Israel akakubali kurudisha eneo la Sinai Egpty.
We jamaa; na zile ndege za kivita zilizo pigwa na kuteketezwa uwanjani kabla hazijaruka nayo utasema propaganda? Rais aliyeuawa na aliyekuja baadae nani alikua pro 🇺🇸 USA? Bora ungenambia kwamba Israeli bila msaada wa USA haiwezi pekee yake kuliko hi propaganda ulioandika hapa
 
Israhehell ni sapot tu ya mabwana zake hana ajabu lolote
 
Mbona unaongea kinafiki ndugu unageuza geuza maneno embu elezea vizuri na kiukweli ile vita ya omkipuri ni Misri aliomba mwishoni Marekani amshawishi israel asikilimalizie kikosi cha 3 maana israel alibakiza km 112 afike cairo
Ndo propaganda zenyewe ninazoziongelea, kuna Academic source yoyote ile inayosuport Hili? Sababu kuna vitabu vingi na Historia nyingi kwamba Sharon (huyo ambae wanasema alikaribia kuteka Cairo) alipigwa vibaya mno na kushindwa kuteka Ismailia na Jeshi jengine la Israel lililokuwa linaenda Suez kuwa Massacred.

Pia outcome za vita
1. Israel Alikubali kurudi Sha Sinai
2. Golda kajiuzulu
3. Waziri wa Ulinzi kajiuzulu.

Unashindaje vita halafu utoe eneo unaloshikilia? Unashindaje vita Na viongozi wako wote wa juu wanajiuzulu?




Maneno ya General wao mwenyewe

David Elazar said: “We could not along ten days of fighting to overcome any of Egyptian armies. The second army resisted and prevented us ultimately to reach Ismailia city. As for the third army, in spite of our encircling them they resisted and advanced to occupy in fact a wider area of land at the east. Thus, we can not say that we defeated or conquered them.”

Kuna Details nyingi za hii Vita zipo kwenye Vitabu ukisoma, ila media za kawaida ni mwendo wa Propaganda tu.
We jamaa; na zile ndege za kivita zilizo pigwa na kuteketezwa uwanjani kabla hazijaruka nayo utasema propaganda? Rais aliyeuawa na aliyekuja baadae nani alikua pro 🇺🇸 USA? Bora ungenambia kwamba Israeli bila msaada wa USA haiwezi pekee yake kuliko hi propaganda ulioandika hapa
Hebu Soma na wewe uelewe, hata google tu kidogo ujue Yom kipur war ni nini maana unachanganya madesa
 
Hakuna chochote kilichoandikwa hapo kinachopinga mimi nilichoandika, hapo imeelezewa tu kijuu juu.

David Elazar said: “We could not along ten days of fighting to overcome any of Egyptian armies. The second army resisted and prevented us ultimately to reach Ismailia city. As for the third army, in spite of our encircling them they resisted and advanced to occupy in fact a wider area of land at the east. Thus, we can not say that we defeated or conquered them.”

Hio Statement ya General wa Israel mwenyewe unaweza kuipinga kwa Evidence?

Hio vita ya Suez Iliofanyika 24-25 ndio ilikua vita ya mwisho kwenye Yom Kipur Israel walivamia Suez na kupigwa Vibaya Mno


So mkuu Israel wameshinda Yom kipur kwenye media tena miaka ya Karibuni, watu waliokua Hai muda huo wote wanajua walipigwa.
 
3-Kukosekana kwa umoja kwa nchi za kiarabu-kama inavyofahamika nchi za kiarabu hazina umoja,kila nchi ina maslahi yake na haioni kuwa shida ya mwenzake ni yake ,na hili limefanywa strategically na USA ili wasiweze kuwa na nguvu,kwa mfano Jordan na Saudi Arabia wote wapo against na IRAN, halikadhalika Yemen imeganwanywa vipande viwili kuna sehemu inamuunga mkono saudia na sehemu inamuunga mkono iran,hivyo kukosekana kwa umoja miongoni mwa waarabu kunamfanya Israel ajichagulie nchi moja moja na kuipiga bila ya nchi nyingnie kuingilia kati.

NB: kwa kutoa weakness hizo za nchi za kiarabu haimaanisha kuwa Israel haiwezi kudhurika kabisa itadhurika lakini its very likely atashinda vita at the end nan chi husika itakuwa imeharibiwa vibaya sana,ni muhimu waarabu kujifunza sasa.

Blame others everything but yourselves.
 
Usisahau inapata support ya fedha na silaha kutoka US na nchi za Magharibi.
Usitoke nje ya mada. Katika vita kila nchi husaidiwa na mshirika wake.


Hata hamas na hizbolah wanasaidiwa na Iran. Wasaidiwe au wasisaidiwe haiondoi ukweli huu ulioandikwa na anti-Israeli.
 
Naomba nianze kwa kudeclare interest mimi ni anti-isarel 100% ,na natamani Israeli asifanikiwe katika mapigano yake yoyote huko middle east lakini nikichambua hali ya kivita bila ya miehemko na hisia, naona ni ngumu sana isarel kushindwa vita sio tu na proxies group kama vile houth,hezobollah zilizopo mashariki ya kati bali ni ngumu pia kushindwa hata na nchi yoyote ya kiarabu kwa sababu kuu zangu nne hizi hapa



1-Uwezo wa juu wa kiintelijinsia-ni ukweli usiopingika kuwa israel ana timu na kikosi kizuri sana cha intelinjinsi ambacho kinafahamu move iliyopo ya adui wake,lakini pia inafahamu kwa haraka next move ya adui yake,hii inamrahisisha kazi kubwa ya kufanya counter move dhidi ya threat yoyote inayotegemewa ,mfano mzuri wa kujua ufanisi wa inteijinsia ya izraeli ni kupitia matukio mbalimbali ya mashambulizi ya kimkakati yaliyopeleke vifo vya viongozi wakuu/wajuu wa hamas,Hezbollah lakini pia hata shambulio la pagers,ambalo limejeruhi wapiganaji mbalimbali wa Hezbollah utagundua kuwa inteliejinsia ya juu uimetumika

2-Militarily technological advancement –hapa sitaongea sana,kijeshi izrael ana vifaa walau vyote muhimu vya kumuangamiza adui katika uwanja wa vita kuanzia ndege,drone,missile meli vita ,vifaru ,air defence system na silaha nyingine ndogo ndogo wakati upande wa pili sioni kama wana hivyo vifaa zaidi tu kuwa na drones chache (ukitoa iran) na makombora mengi yanayotumwa katika luncher ,sasa katika dunia ya leo ambapo Israel ana iron dome ni ngumu sana kuweza kumdhibiti kwani makombora mengi yanazuiliwa na mfumo wake wa ulizni wa iron dome makombora machance ndo yanaweza kupenetrate,mpaka pale ambapo nchi za kiarabu+ proxies wakiweza kujiimarisha katika air supremacy na air defence system.

Ndiyo walau wanaweza kupigana na IDF kwa sasa hivi tutakuwa tunajidanganya na zaidi vita huwa havina macho na IDF anatumia weakness hiyo ya proxies kuiadhibu nchi nzima kwa ujumla wake,naogopa kuona Lebanon ikienda kufanywa gaza mpya, hivyo kwa nchi hizi za kiarabu kukosa ADS ni ngumu kwao kujilinda wao wenyewe kama wapiganaji lakini pia hata kuwalinda wanachi wao.(ili wafikie walau uwezo wa IDF ni muhimu kwao kujiimarisha katika eneo hilo,wasiwekeze zaidi katika kuwa na makombora tu.


3-Kukosekana kwa umoja kwa nchi za kiarabu-kama inavyofahamika nchi za kiarabu hazina umoja,kila nchi ina maslahi yake na haioni kuwa shida ya mwenzake ni yake ,na hili limefanywa strategically na USA ili wasiweze kuwa na nguvu,kwa mfano Jordan na Saudi Arabia wote wapo against na IRAN, halikadhalika Yemen imeganwanywa vipande viwili kuna sehemu inamuunga mkono saudia na sehemu inamuunga mkono iran,hivyo kukosekana kwa umoja miongoni mwa waarabu kunamfanya Israel ajichagulie nchi moja moja na kuipiga bila ya nchi nyingnie kuingilia kati.

NB: kwa kutoa weakness hizo za nchi za kiarabu haimaanisha kuwa Israel haiwezi kudhurika kabisa itadhurika lakini its very likely atashinda vita at the end nan chi husika itakuwa imeharibiwa vibaya sana,ni muhimu waarabu kujifunza sasa.
Mkuu umetoa hoja KISHABIKI zaidi nakujificha kwenye kichaka cha Ant- Israel

Ipo hivi...... ISRAEL HAIPIGANI VITA NA NCHI YOYOTE KWA SASA.

Kilichopo ni kwa kwamba Israel imewakalia kimabavu Wapalestina na kuna baadhi ya vikundi vya kiislam vikiungwa mkono na Iran vinajaribu kuwatetea kupigania haki za wapalestina
 
waarabu wao si wanapatia urusi?
kumbuka urusi nae yupo katika vita hivyo sio rahisi na yeye kutoa msaada mkubwa kwa mkupuo kwa washirika wake pia kumbuka nchi yeyote inayoonekana inaunagna kijeshi na uruisi nchi za mgharaibi mara moja humuwekea vikwazo hivyo nichi nyingi zinaogopa kuonyesha ushirikiaono wao dhahir
 
Kiongozi umeeleza vema sana....ambaye hajaelewa hataelewa Tena...ukiangalia strategicaly hata vita vya Gaza utagundua hamas Wana rocket tu..na mibomu ya kutega ardhini...hata ndege moja tu ya kivita hawana
by the way,roketi ni kwa ajili ya kupiga short range na ndizo hizi vikundi vinavyo nyingi sana ila makombora wanayo lakini sio mengi sana wakati makombora ndio muhimu sana kwa kuwa yana akili kwa maana huwekwa chip na kuwa guided yaende kutua au kupiga wapi na spidi yake ni kali mara nyingine air defense system hushindwa kuzitungua lakini roketi zenyewe hazina akili na ni rahisi kutunguliwa na ADS.
 
Hakuna chochote kilichoandikwa hapo kinachopinga mimi nilichoandika, hapo imeelezewa tu kijuu juu.

David Elazar said: “We could not along ten days of fighting to overcome any of Egyptian armies. The second army resisted and prevented us ultimately to reach Ismailia city. As for the third army, in spite of our encircling them they resisted and advanced to occupy in fact a wider area of land at the east. Thus, we can not say that we defeated or conquered them.”

Hio Statement ya General wa Israel mwenyewe unaweza kuipinga kwa Evidence?

Hio vita ya Suez Iliofanyika 24-25 ndio ilikua vita ya mwisho kwenye Yom Kipur Israel walivamia Suez na kupigwa Vibaya Mno


So mkuu Israel wameshinda Yom kipur kwenye media tena miaka ya Karibuni, watu waliokua Hai muda huo wote wanajua walipigwa.
Elewa kwamba bila mkataba wa Camp David Sinai isingerejeshwa kwa Misri na hilo liko wazi.
 
Elewa kwamba bila mkataba wa Camp David Sinai isingerejeshwa kwa Misri na hilo liko wazi.
Kuanzia 1967 mpaka 1973 hakuna mwaka hata mmoja ambao Egpty hajamwambia Israel arudishe hilo eneo na kila mwaka Israel walikataa, hivyo Egpty aka force na kuanzisha hivyo vita. Baada ya kuona Maji ya Shingo ndio Usa akaingilia na kuweka huo mkataba, so Angeshinda Israel hivyo vita angeendelea na msimamo ule ule kukataa kurudi Sha Eneo la Egpty, ila sababu alipigwa ilibidi akubali kurudisha hilo eneo.

Kabla ya Vita kuanza objective ni kurudisha eneo lao, baada ya Vita kuisha Egpty kapewa eneo lake, sijui kitu gani kigumu hapa kwako kuelewa.
 
by the way,roketi ni kwa ajili ya kupiga short range na ndizo hizi vikundi vinavyo nyingi sana ila makombora wanayo lakini sio mengi sana wakati makombora ndio muhimu sana kwa kuwa yana akili kwa maana huwekwa chip na kuwa guided yaende kutua au kupiga wapi na spidi yake ni kali mara nyingine air defense system hushindwa kuzitungua lakini roketi zenyewe hazina akili na ni rahisi kutunguliwa na ADS.
SAWA kwa ufafanuzi mkuu
 
Alishawahi kuchangiwa na mataifa 22 ya kiarabu mwaka 1967 akawapiga kwa siku 6 na mwaka 1973 misri na syria ziliingia vita vya ommukipuri na israel akapigana na nchi mbili kwenye uwanja wa vita na kuibuka mshindi sasa hayo nayo ni makundi?
Kwa propaganda tunazoziona saivi .,wazan zaman hazikuepo?
Afazal saiv technology imeongezeka kila kitu tunajionea
 
Kuanzia 1967 mpaka 1973 hakuna mwaka hata mmoja ambao Egpty hajamwambia Israel arudishe hilo eneo na kila mwaka Israel walikataa, hivyo Egpty aka force na kuanzisha hivyo vita. Baada ya kuona Maji ya Shingo ndio Usa akaingilia na kuweka huo mkataba, so Angeshinda Israel hivyo vita angeendelea na msimamo ule ule kukataa kurudi Sha Eneo la Egpty, ila sababu alipigwa ilibidi akubali kurudisha hilo eneo.

Kabla ya Vita kuanza objective ni kurudisha eneo lao, baada ya Vita kuisha Egpty kapewa eneo lake, sijui kitu gani kigumu hapa kwako kuelewa.
Sitaki kuamini kwamba wewe ni mjinga ila naamini kwamba udini ndio unakusumbua.

Masharti makubwa mawili ya Misri kurejeshewa jangwa la Sinai yalikuwa ni:-

1. Misri waitambue taifa la Israel na watambue haki ya kuwepo kwa taifa hilo.
2. Misri kuacha vitendo vyote vya uhasama dhidi ya taifa la Israel.

Baada ya aliyekuwa rais wa Misri marehemu Anuar Sadat kukubali na kusain mkataba huo ndipo Israel ilipowarejeshea Sinai na kupelekea mataifa hayo kuanzisha uhusiano wa kibalozi.

Endapo Sadat asingesain huo mkataba basi hadi leo Sinai ingekuwa mikononi mwa Israel kama Golan ilivyo mikononi mwa Israel hadi leo baada ya Syria kukataa kufanya mazungumzo ya amani.

Hivyo acha upotoshaji, Camp David Accords imesainiwa mwaka 1979 mimi nikiwa form two na nilikuwa nikiifuatilia sana hivyo huwezi kunidanganya kitu.
 
Back
Top Bottom