Uchambuzi na upelelezi wa tukio la kifo cha padri Francis uanzie hapa

Vitombi wa wake za watu sina huruma nao bora limekufa
 
Kwani wanabaka? Kumbuka hata wewe mkeo hujamkuta bikira!
Akiwa huko barabarani hana alama ..akikubali anapigwa pum....kwahiyo lawama ziko pande zote
Huyu ni padre ukitomba mke we mtu kuuliwa halali yako, kutoka kapteni kwenda Meja tunazawadi ya discovery au Lexus Kali, ni kama mgoni
 
Wewe ni mmoja wa hao viongozi??

Kama sio mmoja wao hufai kujibu hivyo.
Hakuna huo utaratibu mtu akikuika hufukuzwa! Awe mwanamke au mwanamme na waliofukuzwa wapo wengi tu mtaani kwa makosa ya kingono na kwenda kinyume na kanisa
 
Haya wale wakujisifia hakuna mambo ya ajabu ajabu katoliki waje watambe na huku
Mzee tofautisha mtu na taasisi,Kanisa Katoliki km taasisi haina shida,lkn watu waliomo humo ndio wanaweza kuwa na mapungufu ya hapa na pale kwasababu nao ni binadamu.Ikiwa wachungaji wenye wake hufanya ufuska vipi kwa Padre ambaye hana mke hebu wekeni mizani.
 
Kujiombea mwenyewe ni bora zaidi kuliko kumuombea binadamu mwingine. Nitafutie mstari ambao Yesu aliomba kuombewa na mtu mwingine ili iwe mifano ya kuombea wengine.
Wewe au mimi unaweza kujifananisha na Yesu kweli! ,mimi namwomba Yesu nae ananiombea kwa Mungu Baba,hao viongozi wa kiroho wote tunawaombea nao wanatuombea

Yak 5:16​

Ungameni dhambi zenu ninyi kwa ninyi, na kuombeana, mpate kuponywa. Kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana, akiomba kwa bidii.
 
Hivi hawa mapadri na maaakofu wa katoliki si hawaruhusiwi kuwa na wanawake kabisa.?
 
Hapa ndipo kanisa linapopataka wakati mgumu,lipotezee habari ipite,au lifuatilie ukweli ujulikane lipate aibu?kwa nini hawa jamaa wasiluhusiwe tu kuoa?
Uchunguzi litafanya kanisa au vyombo vya ulinzi na usalama?.Kuhusu kuto kuoa hiyo haiwezi kubadilishwa kwasababu hicho kiapo kipo Kibiblia,lkn pia makosa ya watu wachache hayawezi kupelekea kubadilisha taratibu za kanisa,hivi wewe ukiwa baba nyumbani kwako,ukiwa umejiwekea taratibu zako mfano muda wa watoto kurudi nyumbani ni saa kumi na mbili,je,utabadili utaratibu huo kisa kuna watoto wameshindwa kufuata utaratibu??.
 
Hayo ni mambo ya mtu binafsi Padre ni binadamu kama binadamu wengine so akijisikia anambato tu swala ni heshima na busara Roman katoliki hutumia kuhandle mambo yake huwezi kulinganisha na mambo ya Konde huko
Kumbe kanisa katoliki huwa linajua mapadri na maaakofu wanatomb.a tomba kwahiyo wana namna zao za kuhandle issues siyo? Sasa huu si unafiki si muowe tu?
 
 
Mkuu yote hayo ya nini?
Mapadre waoe tu, mihemuko ya mwili uliotengenezwa na Mungu ni kaaazi kwer kwer!
 
Huyu ni padre ukitomba mke we mtu kuuliwa halali yako, kutoka kapteni kwenda Meja tunazawadi ya discovery au Lexus Kali, ni kama mgoni
Nchi hii kuna watu kwa vile wao wameendekeza ngono na hata ukikutana nao utasikia harufu ya ngono wanadhani kila mtu anafanya ngono. Reasoning ya ajabu sana hii!
 
Padri wengi wana tabia mbaya sana hasa kuchukua wake za watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…