Uchambuzi: Uyahudi alizaa watoto wawili, mkubwa aliitwa Ukristo na mdogo akaitwa Uislam

Elungata unaweza kunipa maandiko kibibloa yakimtaja Ibrahimu kumwabudu El?
Niko hapa ninasubiri
 
Anzia hapa.
Kuna mahali uko sahihi na kuna mahali umechanya

Post yako inazua mjadala mpya.
Je tunajua maana ya NABII NA MTUME?

tukijibu hili tutajua Yesu ndiye?


Yesu akawaambia, “kila mtu humheshimu nabii isipokuwa watu wa mji wa kwao mwenyewe, jamaa zake mwenyewe na wale wa nyumbani mwake mwenyewe.” Marko 6:4

Awapokeaye ninyi, anipokea mimi; naye anipokeaye mimi, ampokea yeye aliyenituma. Ampokeaye nabii kwa kuwa ni nabii, atapata thawabu ya nabii; naye ampokeaye mwenye haki kwa kuwa ni mwenye haki, atapata thawabu ya mwenye haki.
Mathayo 10.40-41

Yeye mwenyewe Yesu amesema kuwa yeye ni Mtume, yeye ni Mtumishi, yeye ni Nabii. Je, nini mawazo ya wale wafwasi wake waliomuamini na wakamwona na wakaishi naye? Injili zinatwambia:

Basi watu wale, walipoiona ishara aliyoifanya, walisema, Hakika huyu ni nabii yule ajaye ulimwenguni.
Yohana 6.14

Nao walipotafuta kumkamata, waliwaogopa makutano, kwa maana wao walimwona kuwa nabii.
Mathayo 21.46

Hata alipoingia Yerusalemu, mji wote ukataharuki, watu wakisema, Ni nani huyu? Makutano wakasema, Huyu ni yule nabii, Yesu, wa Nazareti ya Galilaya.

Mathayo 21.10-11

Na tazama, siku ile ile watu wawili miongoni mwao walikuwa wakienda kijiji kimoja, jina lake Emau, kilichokuwa mbali na Yerusalemu kama mwendo wa saa mbili. Nao walikuwa wakizungumza wao kwa wao habari za mambo hayo yote yaliyotukia. Ikawa katika kuzungumza na kuulizana kwao, Yesu mwenyewe alikaribia, akaandamana nao. Macho yao yakafumbwa wasimtambue. Akawaambia, ni Maneno gani haya mnayosemezana hivi mnapotembea? Wakasimama wamekunja nyuso zao. Akajibu mmoja wao, jina lake Kleopa, akamwambia, Je! wewe peke yako u mgeni katika Yerusalemu, hata huyajui yaliyotukia humo siku hizi? Akawauliza, Mambo gani? Wakamwambia, Mambo ya Yesu wa Nazareti, aliyekuwa mtu nabii, mwenye uwezo katika kutenda mbele za Mungu na watu wote.
Luka 24.13-19

Injili kwa umoja wao zinathibitisha kuwa watu wake Yesu waliokuwa naye na kumuamini na wakaona miujiza yake tangu kuzaliwa kwake mpaka mwisho wake walimjua kuwa ni Nabii wa haki, naye ni mtu, mwanaadamu.

"Hakika huyu ni nabii", anasema Yohana.

"waliwona kuwa nabii", anasema Mathayo.

"Huyu ni yule nabii, Yesu", anasema tena Mathayo.

"Yesu wa Nazareti, aliyekuwa mtu nabii", anasema Luka.
 
Je? Ibrahim alienda kaanani mwenyewe au aliitwa? Kama alienda mwenyewe kwa nini kizazi chake hakikumfuata huyo Mungu wa kusadikika wa kanani?

Kama aliitwa na akaambiwa atoke nchi yake ya Iraq aende caanani ni kwa nini afike caanani aache kumfuata Mungu aliemuita afuate kijimungu Cha kaanani??

Narudia kukuomba,,,nataka unionyeshe jina la Yehova,,Yahwe,,shadai,, Adonai katika miongoni mwa majina 99 ya Allah Subhana Wataalah.
 
Usiwe unakurupuka kujibu.
Una copy na ku paste hapa...
Tunachambua hoja hayo mengine tunayajua
 
Usiwe unakurupuka kujibu.
Una copy na ku paste hapa...
Tunachambua hoja hayo mengine tunayajua

Mimi nimekuwekea aya zinazosema yesu ni nabii ; na mtume , ulitaka nitowe maneno yangu ??
 
Elungata unaweza kunipa maandiko kibibloa yakimtaja Ibrahimu kumwabudu El?
Niko hapa ninasubiri
Soma kisa cha Abraham wanapokutana na mtawala wa wafilist na mkuu wa mji wa jerusalem,, Melkizedeki,,
Melkizedeki ndio aliemu introduce Abraham kwa mungu mkuu wa Canaan El,,
Ndio maana hata mtoto wake wa kwanza akamwita Ishmael, ambalo lina maana moja na ismail.. 🤷🏼‍♂️,
Anyway ntakutafutia andiko la mkutano wa abraham na melkizedeki,
 
Mimi nimekuwekea aya zinazosema yesu ni nabii ; na mtume , ulitaka nitowe maneno yangu ??
Mimi nilitaka tujadili neno nabii na mtume.
Wengi hawajui maana yake ndio maana wanapinga unabii na utume wa Yesu
 
Kwanza nikupe hongera kwa kuongea kile unachokijua.
You are what U learn.

Hata hivyo kumbuka ktk dunia tulionayo kuna vita kubwa sana inayoendelea.

Information warfare.

Ktk vita hii kuna misinformation na disinformation. Ktk makala yako pamoja na kusimama roho yako ikiwa huru hata hivyo umeathiriwa na vita kwa kiasi Fulani.

Nachotaka kusema ni kwamba dini zetu na imani zetu zimeshambuliwa kwa siasi kikubwa tokea iliposimama dola ya kale warumi.

Sasa kwa ufupi Uislam au kwa kiswahili unyenyekevu ni dini ya asili tokea kwa Adam. Ni kutokana na disinformation ndio watu wamekatirishwa kuwa uislam ulianzishwa na Muhammad.

Uislam unasema watu wote huzaliwa wakiwa waislam lkn wazazi wao huwabadili dini watoto (kuwabatiza) na kuwa waabudu masanamu au waabudu moto.

Ni warumi na wayahudi walioaso kama Paulo ndio waanzilishi wa ukristo wakosema "jamani kwa mambo aliyoyafanya huyu yesu.... Mmmm sio MTU huyu ni mungu. Na kuanza kuwauwa walioamini yesu ni mtume.

Kwa ufupi mavazi ya kale ya wayahudi na yesu wenyewe sawa na mama maria bint imran ni sawa na waislam wa sasa.

Kristo kwa mujibu wa wayahudi mpakwa mafuta.

Lkn professa Paulo akadisinform akasema INA maana ya mungu.

Hata hivyo shukran kwa madini yako. Uko ktk hatua chache kuuona ukweli kama utapata taarifa sahihi.
 
Zamani watu walikua wakitanga tanga sana,, hasa hawa waliokua na mifugo,, story ya abraham siyo ya kuamini sana,, kipindi chake, timeline inakataa kwamba tayari ngamia alikua kishakua domesticated,,
Timeline ya abraham history inaangukiw kwenye Bronze age,,
Wakati moses timeline inaangukia kwenye iron age,,
Hivyo usiamini bila kufanya research,, in bronze age ina maana wanaadamu hawajagundua hata chuma ili wakitumie kuleta civilisation, na mifugo ilikua bado haijawa domesticated 😆😆
 


Biblia ya Kiebrania haina neno “Yehova” ndani yake hata kidogo.



Neno linalotumika ni tetragramatoni kwa kutumia, 'Y' 'H' 'W' 'H'.



Mtu anawezaje kutamka YHWH kuwa Yehova? Hakuna njia inayowezekana. Kama vile Kiarabu, Kiebrania hakina vokali. Kuongeza vokali kunaweza kufanya neno kuwa "YEHOWA" lakini hiyo inamaanisha nini?



Neno hili si neno la Kiebrania, wala halina maana yoyote katika Kiarabu (lugha dada ya Kiebrania). Njia sahihi ya kulitamka ni "YAHUAH" ambalo pia lipo katika Kiarabu na kusomeka kama "YA HUWA" maana yake "O! HE" au "O! YEYE ni" na inaweza pia kuchukuliwa katika wakati ujao.



Catholic Encyclopedia inatoa maana ya Yahweh kama "Yeye Aliyeko" na pia inaendelea kutoa tafsiri yake isiyo sahihi kwamba ni jina la Mungu.



Huenda hoja hiyo ikasikika kuwa ya kudanganya lakini ikisomwa kulingana na muktadha na kutoka katika Biblia, inaonekana kuwa yenye mantiki na sahihi. Katika Biblia, wakati wowote maneno Ya Huwa yanapotumiwa, kuna neno la ufuatiliaji ambalo linamaanisha Mungu.

Kwa mfano:



JEHOVAH SHAMMAH

Ezekieli 48:35


YEHOVA RAFA

Kutoka 15


JEHOVAH-TSIDKENU

Yeremia 23:6


JEHOVAH-JIREH

Mwanzo 22:14



JEHOVAH-MELEK

Isaya 33:22



JEHOVAH-NISSI

Kutoka 17:8-16



JEHOVAH-SHALOM

Waamuzi 6:24



YEHOVA-SABATO

1 Samweli 1:3



YEHOVA-MEKADESHI

Mambo ya Walawi 21:8



Hizi ni sehemu chache tu ambazo majina haya yametajwa. Wametajwa mara nyingi.

Hata kama tunachukulia neno Yehova kuwa halimaanishi "O! Yeye yuko", bado haileti maana kile ambacho Biblia inasema.

Kwa njia hii, Yehova Elohim ingemaanisha “Mungu Mungu”.

Kwa hakika Yehova haimaanishi Mungu.

Biblia nyingi hutafsiri kama Bwana ambayo ina maana zaidi, "Bwana Mungu".

The dictionary defines Lord as:



1. a person who has authority, control, or power over others; a master, chief, or ruler.

2. a person who exercises authority from property rights; an owner of land, houses, etc.

3. a person who is a leader or has great influence in a chosen profession: the great lords of banking.

4. a feudal superior; the proprietor of a manor.

5. a titled nobleman or peer; a person whose ordinary appellation contains by courtesy the title Lord or some higher title.

6. Lords, the Lords Spiritual and Lords Temporal comprising the House of Lords.

7. (initial capital letter) (in Britain) a. the title of certain high officials (used with some other title, name, or the like): Lord Mayor of London.

b. the formally polite title of a bishop: Lord Bishop of Durham.

c. the title informally substituted for marquis, earl, viscount, etc., as in the use of Lord Kitchener for Earl Kitchener.

8. (initial capital letter) the Supreme Being; God; Jehovah.

9. (initial capital letter) the Savior, Jesus Christ.

10. Astrology. a planet having dominating influence.


Lord does not mean God.

Kwa Kiarabu ,YaHuwa ,maana yake ni "O! YEYE ni" na kwa Kiebrania ina maana "Aliyeko".

Maana hizi mbili zinafanana sana. Limetumika kimakosa kama jina la Mungu.



, katika Kiebrania ,Ya Huwa (Yehova/Yahweh) si jina la Mungu bali larejezewa kuwa hilo kwa sababu ya heshima.
 

Soma pamoja nami.
hapo Mungu gani anatajwa?
Ibrahimu hajawahi kuabudu miungu bali Mungu muumba mbingu na nchi...Mungu mwenyezi.

Mimi ni msomi mzuri wa biblia na vitabu wa thilojia huwezi kuniletea blaablaa kamwa.

Nimesoma pia dini za ulimwengu na Uislam wako naujua vilivyo...nimecheza misikirini udogoni so unapoleta hoja jizatiti
 
Inabidi uwe unafanya research,, mungu the most high,, yaani alie juu wa eneo hilo aliitwa El,,
Alie juu wao walikua wanatafsiri , juu kwa maana mkubwa kuliko wote na anaepatikana juu,
Ndio maana hata moses alipotaka kuongea na huyo mungu alipanda mlimani,, hata yesu pia alikua akipanda mlimani,,
Ilikua ni marufuku kujenga majengo marefu, kwani ilitafsiriwa kwamba ni kutaka kujiweka juu kama huyo mungu,
Ndio maana kuna story ya watu eti walitaka kujenga wamfikie mungu,, mungu akawachanganya(story ya BabEl),
Melkizedeki sio jina la mtu, ni cheo.
Melk=malki=mmiliki=KING.
Zedeki=Mtukufu,
Melkizedeki=MFALME MTUKUFU,
so melkizedeki alikua mfalme wa citystate called, Saleam,
Alikua king na pia kiongozi wa kiroho kama alivyo Ayotollah tu ,, 😄🤷🏽‍♂️,
Mungu aliekuwa akimuabudu ni caananite deity, called El,,
Ambae ukitaja mungu mkuu yaani The most high,, unasema El Elyon,
So melkizedeki alikua king na pia kuhani mkuu wa El Elyon yaani God the most high,
Abraham alitoa fungu la kumi, according to tradition kwa Melkizedeki,,
Sasa jiulize, kwanini jina halisi la melkizedeki limefichwa, kwanini story inataja title ya huyo, Mfalme mtukufu na siyo jina halisi?
 
Kama ndio hivyo basi quraan ni kitabu cha uongo. Quraan yenyewe inasema muhamad ndio muislam wa kwanza alafu hapa unakuja na Adam.
 
Hii ni tafsi yako binafsi ndio maana unaandika mungu na sio Mungu
 
Umeshindwa kuthibitisha kimaandiko huyo mungu El wa Kanaan.
 
Hii ni tafsi yako binafsi ndio maana unaandika mungu na sio Mungu
Mie najadili hii mada with open mind,, wewe uko kimahubiri zaidi,, 😆,huwezi ukanielewa,, wewe uko brainwashed, huwezi kumwelewa mtu ana discuss with open mind,,
Ndo maana unaona hata kuandika mungu kwa herufi ndogo eti ni dhambi😂,
Uko so deep brainwashed na dini za kigeni, wazungu wenyewe waliozileta wanajadili hizi ishu with open mind,,
Leo sasa ngozi nyeusi ndo utashangaa, 🤷🏾‍♂️
Jews claim themselves to be a race – but are they?
The earliest reference yet found to this singular people is on a statue from the Syrian city of Alalakh, dated to about 1550 BC. The inscription refers to hapiru warriors in the land of Kin’anu – a presence confirmed by clay tablets from Akhenaten’s capital of Amarna, referring to marauders in the hill country of Palestine. The famous stele of Pharaoh Merneptah dated to 1207 BC records 'Israel is laid waste, his seed is not’. 'Israel' here is a reference to a people, not a territory.

The weight of evidence suggests these original ‘Hebrews’ coalesced during the bronze age from successive migrations, some from the periphery of the Nile delta (in Egyptian, ‘Peru or apiru meant a labourer) but most from across the Jordan and Euphrates rivers. In their own semitic tongue, habiru meant ‘beyond’, suggesting an origin elsewhere. In Babylonian script khabiru referred to a class of slaves. As a people, therefore, the Hebrews combined Mesopotamian and Egyptian stock, almost certainly drawn from the lowest social order, conceivably including runaway slaves. One migration, at least, brought with it a mountain/sky god – Yahweh – destined for higher things.



Settlement in Canaan

As barbarous newcomers to what was the land of Canaan, these semites (speakers of a tongue common to Syrians, Arabs and Mesopotamians) took up migratory occupation of the less fertile hill-country of the interior. Neither their limited sub-culture – an illiterate donkey nomadism; nor their social organisation – patriarchal and authoritarian – distinguished them from other tent-dwelling pastoralists. These early, polytheistic, Hebrews scratched an existence in an unpromising land on the fringes of the major civilisations, occasionally moving with their animals into the Nile delta in times of draught.

It seems as if they were joined, over time,by outcasts or refugees from the more sophisticated Canaanite (Phoenician) coastal cities. ‘Israel emerged peacefully and gradually from within Canaanite society ‘ concluded Karen Armstrong, the noted religious scholar. (A History of Jerusalem, p23]

Ethnic cleansing – by God's order
"And the Lord said to Moses in the plains of Moab by the Jordan at Jericho,
"Say to the people of Israel, When you pass over the Jordan into the land of Canaan, then you shall drive out all the inhabitants of the land from before you, and destroy all their figured stones, and destroy all their molten images, and demolish all their high places; and you shall take possession of the land and settle in it, for I have given the land to you to possess it ...
But if you do not drive out the inhabitants of the land from before you, then those of them whom you let remain shall be as pricks in your eyes and thorns in your sides, and they shall trouble you in the land where you dwell.
And I will do to you as I thought to do to them
."
Numbers 33.50-56
The Canaanite migrants brought with them cultic practices and images of their traditional gods. A major Canaanite god was El, and the phrase ‘El has conquered’ gives us the word Isra’el. The Canaanite god El had a ghostly presence in a host of Jewish heroes: Dan-i-El; Ezek-i-El; Sam-u-El, Ish-ma-El, El-i-jah, El-o-him, etc.

God-inspired names were common throughout the west-Semitic language region. Other Canaanite gods included Baal (a storm god) – also honoured in a host of Hebrew names, Asherah (a fertility goddess, consort of El), Shalem (a Syrian sun god – later to be honoured in the name Jeru’salem ), Milcom, Chemosh, etc. Ru’shalimum is mentioned in records of the Pharaoh Sesostris III (1872 - 1847 BC) – the settlement actually pre-existent long before the tribe of Hebrews made it their own. The site then appears to have been unoccupied for three hundred years until the Jebusites (otherwise known as Kereti or Peleti – Cretans or Philistines) arrived.
 
Mimi nilitaka tujadili neno nabii na mtume.
Wengi hawajui maana yake ndio maana wanapinga unabii na utume wa Yesu

Sasa nimekuelewa , nitakuja tena baadaye nikijaaliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…