Uchambuzi: Uyahudi alizaa watoto wawili, mkubwa aliitwa Ukristo na mdogo akaitwa Uislam

Kwa hiyo tunakubaliana kuwa hakuna kitabu kilichoshushwa wala nini na pia kwenye uandishi kuna mkono wa binadamu. Kwa sababu hiyo inawezekana kabisa kila kilichoandikwa kimetokana tu mawazo yao tu,wakaongeza wanayojua na kupunguza wanayoyataka na pengine zile Copy zilizochomwa ndo zilikuwa sahihi zaidi. Tena pengine labda zilizungumzia Yesu kusulubiwa msalabani.

Sasa kwa namna hii mna hakika gani na hicho kitabu ambacho mliaminishwa kuwa kimeshushwa kumbe kimeandikwa na watu tu miaka mingi baada ya Mtume kufa?Kitu gani kilitumika kutambua kwamba hizi zina makosa zichomwe na hii haina ibaki kuwa Quran iliyopitishwa?

Na je hii inaweza kuwa ndio sababu ya makosa mengi ya kihistoria na kisayansi ambayo tunayoana kwenye Quran?

Hebu tusaidie mwanazuoni.
 
Kabla ya kukusanywa na kuandikwa kama msahafu walikuwepo maswahaba wengi tu ambao walihifadhi kitabu chote kutokana na vita vya mara kwa mara watu wengi waliohifadhi kuuwawa na kukatoka rai ikisanywe na kuandika kama kitabu kimoja ili isije kupotea baadae wakifa waliohifadhi wengi zaidi na hakuna hata aya moja ambayo iliyoongezwa wala kutolewa na maswahaba kama ipo weka ushahidi..

Zilizochomwa moto ni Lahaja nyingine za Qu'ran maana Qu'ran ilishuka katika Lahaja tofauti tofauti za lugha ya kiarabu hata Kenya Kiswahili chao "moja"wanaita "moya" lakini hapo maana sasa baada ya muda kupita ikafikia hatua watu kujisifu kuwa Qu'ran yao (yenye Lahaja yao) ni bora hadi kukawa na usomaji tofauti tofauti wa Qu'ran ili kuonda hilo ikatoka rai kuwa ikusanywe katika Lahaja Moja na kopi zipelekwe Ktk miji tofauti tofauti ya Uislamu na hiyo ndio itumike kufundisha na nyingine zikusaywe ziteketezwe ili kuondoa utofauti katika usomaji na kuleta umoja.

Kwa hiyo hakuna aya iliyofutwa na kupotezwa au kuteketezwa bali iliyoteketezwa ni Lahaja mbalimbali za Qu'ran..
 
hapana.
NABII Ibrahim hakuwa myahudi.
Jina la yahudi limetokea kipindi cha nabii MUSA.
yakubu aliitwa ISRAEL.
Ambaye alizaa watoto 12 ambao ndo kabila za wanna Israel.
 
Quran haijatoa jibu lolote kuhusu dhambi wala kumjua Mungu. Wewe kama umeamua kuikataa Biblia its your life and its your loss hakuna namna tutakusaidia.

Mungu hawezi kamwe kuwa less God kwa sababu watu fulani wamemkataa. Its your choice but consequences of your choices are not yours do decide.
Kwa hiyo umekubali haikushushwa imeandikwa na watu. Pia Hakuna habari za Lahaja hapo kaka uliposoma wanajaribu tu kuficha ukweli. Kama Mungu aliamua zije kwa lahaja tofuati huyu aliyeamua aziomdoe yeye ni nani na mamlaka hayo katoa kwa Mungu au kajiamulia?

Kiufupi hakuwakuwa na changamoto za lahaja bali utofaauti wa idadi ya Aya na tafisiri ya baadhi ya aya ambazo nyingine zilikuwa zincontradicg mpaka Uislam wenyewe.
 
Uzi umeenda class huu
 
Ni walewale sawa ila biblia ewaelezea kwa utofauti ukilinganisha na uislam
 
Makasikiko yameanza hoooo
 
Uislamu imeibuka tu ukiwa na mafundisho yake wenyewe.

Ukristo ni mwendelezo wa dini ya Kiyahudi ndio maana wote wanatumia kitabu cha Biblia na kuamini manabii wake wote.

Baadhi ya mambo mapya ya Uislamu ni pamoja na

1.Kuyashirikisha Majini kwenye dini ya Kiislamua. (hili ni la ajabu zaidi)

2. Kuimba Shahada.

3. Kutufu, yaani ibada ya kulizunguka, kulirushia mawe na kulisujudia Jiwe Jeusi. linaloitwa Aswadi na kuliamini kwamba linasamehe dhambi

4. Kuhiji Maka.

5. Kufunga Ramadhani.

6. Kutawadha kama sehemu ya ibada

7. Kuimba adhana kama sehemu ya Ibada.

8. Mavazi kama sehemu ya ibada.

9. Kuswali, kutwa mara tatu, na aina za kuswali kama kupiga rakaa.

10. Kumswalia mtume Muhammadi

11. Kuswali kugeukia Maka

12. Kuswali kwa Kiarabu tu

13. Ibada ya jengo la Al-Kaaba.

Nk.

Hayo mambo hayakuwepo wakati wa Manabii wa zamani hadi katika Ukristo. Ni mambo yaliyoibuka na Uislamu.

Hakuna ushahidi wa Kihistoria Uyahudi kuzaa Uislamu. Wala Mtoto wa Ibrahim Ishmael kuwa Waarabu.

Watoto wa Ishmaeli waliitwa Waishmaeli na ndio waliomnunua Yusuf toka kwa ndugu zake.

Mwanzo 37:26 Yuda akawaambia ndugu zake, Kwafaa nini kumwua ndugu yetu, na kuificha damu yake?

27 Haya, na tumwuze kwa hawa Waishmaeli, wala mikono yetu isimdhuru, maana yeye ni ndugu yetu, na damu yetu. Ndugu zake wakakubali.

Na Waarabu walijuikana kama Waarabu hivyo hivyo, ni makabila mawili tofauti kabisa.

2 Mambo ya Nyakati 26:7
Mungu akamsaidia juu ya Wafilisti, na juu ya Waarabu waliokaa Gur-baali, na juu ya Wameuni.

(Wayahudi na Wakristo walimkataa Muhammadi kutokana na mafundisho yake yasiyolingana na Manabii wao, kama sivyo basi leo hii qurani ingekuwa sehemu ya Biblia kama Injiri)
 
Nadhani umeelewa vya kutosha.
Hata Ibirisi yaani Shetani nao ni viumbe wa Mungu.
Na ni Muhamadi pekee aliye fanikisha kumsilimisha Ibirisi yaani Shetani Lucifer na wenzake na kuwa Muislamu kama waislamu Watu na Majini.

Kwakuwa wote ni viumbe wa Mwenyezi Mungu.
 
Neno Shetani linatokana na neno Satan kwa Kiingereza.
Hebu google "Satan" halafu uje unipe mrejesho.
Mtaongopewa hadi akili iwakae sawa.

Kwahiyo unataka kuniambia Muhammadi ndio alimsilimisha huyo unaye mwita Ibirisi na kwa sasa ni Muislamu safi kabisa.
Kwakuwa naye ni kiumbe wa Mungu sio
 
Kila kitu mnawaza kiarabu tu.

Mimi namtambua Shetani huyu hapa kwenye Biblia, ambaye anaitwa Satan kwa kiingereza.
Wewe baki na hiyo sifa ya Kiarabu

Ayubu 2:7 Basi Shetani akatoka mbele za uso wa Bwana, akampiga Ayubu na majipu mabaya tangu wayo wa mguu hata utosi wa kichwa.

Mathayo 4:10 Ndipo Yesu alipomwambia, Nenda zako, Shetani; kwa maana imeandikwa, Msujudie Bwana Mungu wako, umwabudu yeye peke yake.
 
Sahih al-Bukhari 3271

Narrated Ibn `Abbas:

The Prophet (ﷺ) said, "If anyone of you, when having sexual relation with his wife, say: 'In the name of Allah. O Allah! Protect us from Satan and prevent Satan from approaching our offspring you are going to give us,' and if he begets a child (as a result of that relation) Satan will not harm it."



Sahih Muslim 2366 b

This hadith has been narrated on the authority of Zuhri with the same chain of transmitters (and the words are):

" The newborn child is touched by the satan (when he comes in the world) and he starts crying because of the touch of satan." In the hadith transmitted on the authority of Shu'aib there is a slight variation of wording.
 
Upande ulipokaa nimepaona kaka!!..La msingi Acha ku-act uko neutral sifu na pongeza upande wako...
 
Baeleze baeleze baelewe
 
Uzi wako ni WA akili ndogo ila nitazungumzia jambo Moja TU la talaka hasa talaka yenu waislam talaka ya tatu,,, kwamba ukimpa mwanamke talaka ya tatu inatakiwa aolewe na mwanaume mwengine aachwe Tena ndio umrudie,,hiki ni kioja na mtu asieelewa maana ya huo uchafu ndie anaweza kusema kwamba ukristo na uislam Zina msingi wa wayahudi,,,kitu Cha kukusaidia ni kwamba uislam una msingi kwa wakureish na pia waliokuwepo wakiabudu kwa taratibu za kiislam kabla yenu mmewaita majahilia / wajinga lakini mmecopy na kupesti taratibu zao zote za ibada,,usidanganye watu dada Robert heriel
 
Uyahudi umezaa Judaism/uyahudi kama dini na Ukristo,,ukiona unahangaika na vijitopic vya kipuuzi kama Yesu sio Mungu,,Mungu hazai,,Paulo alikuwa shoga,,issa,,nguruwe ngamia nk nk nk una tatizo la paradox huelewi kwako ni wapi (where you belong) na kibaya zaidi mmeshindwa kuijua misingi ya dini yenu hasa kutokana na kwamba imeandikwa kwa kiarabu
 
Labda itabidi tufike mahali tuanza kuwapa wenzetu Hawa maana ya sura/chapter zao za Quran kama surat Al baqara=Sura ya Ng'ombe,,,
surat Al nisaa = sura ya wanawake,,surat Al jinn = Sura ya majini,,Sural Al namli = Sura ya mchwa/sisimizi nk nyengine zitafuata
 
Labda itabidi tufike mahali tuanza kuwapa wenzetu Hawa maana ya sura/chapter zao za Quran kama surat Al baqara=Sura ya Ng'ombe,,,
surat Al nisaa = sura ya wanawake,,surat Al jinn = Sura ya majini,,Sural Al namli = Sura ya mchwa/sisimizi nk nyengine zitafuata.

Meanings of 114 Surahs of Quran

List of 114 Surahs of Quran with meaning.
Fatehah-The Opening
Baqarah-The Cow
Al-Imran-The Family of Imran
NisaaThe -Women
MaidahThe -Table spread with Al-Anaam-The Cattle
Al-AraafT-he wall with Elevations
Al-Anfaal-The Spoils of War
Tawbah-The Repentance
Yunus-The Prophet [Jonah]
Hud-The Prophet Hood
Yusouf-The Prophet [Joseph]
Al-Ra’ad-The Thunder
Ibrahim-The Prophet [Abraham]
Hijr-The Rocky Tract
Nahl-The Bee
Israa-The Journey by Night
Al-Kahf-The Cave
Maryam- Mary (Mother of Issa)
Taha- One of the Names of Prophet Muhammad
Al-Anbiya-The Prophets
Al-Hajj-The Pilgrimage
Al-Muminun-The Believers
Al-Nur-The Light
Al-Farqan-The Criterion
Ash-Shu’ara-The Poets
Al-Naml-The Ant
Al-Qasas-The Narration
Al-Ankabut-The Spider
Al-Rum-The Romans
LuqmanLuqman (A wise Man)
As-Sajdah-The Prostration
Al-Ahzab-The Confederates
Al-SabaSheba- (The Queen)
Al-Fatir-The Originator of Creation
Ya’sin- One of the Names of Prophet Muhammad
As-Saffat-Those Ranged in Ranks
SuadArabicAlphabet
Az-Zamar-The Groups
Al-Mumin-The Forgiver/The Believer
Hamim SajdahIn Detail
Ash-Shura-The Consultations
Al-Aukhruf-The Gold Adornment
Al-Dukhan-The Smoke
Al-Jathiyah-The Kneeling
Al-Ahqaf-The Curved-Sand Hills
Muhammad-The Prophet Muhammad
Al-Fath-The Victory
Al-Hujurat-The Dwellings Q’afArabic Alphabet
Al-Dhariyat-The wind that Scatters
Al-Tur- The Name of Mountain
Al-Najm-The Star
Al-Qamr-The Moon
Ar-Rahman-The Most Gracious
Al-Waqiah-The Event
Al-HadidIron
Al-Mujadila-The Disputation
Al-Hashr-The Gathering
Al-MumtahanaThe Woman to be Examined
As-Saff-The Row or The Rank
Al-JumahFriday
Al-Munafiqun-The Hypocrites
Al-Taghabun-Mutual Loss or Gain
Al-Talaq-The Divorce
Al-Tahrim-The Prohibition
Al-Mulk-Dominion
Al-Qalam-The Pen
Al-Haqqah-The Inevitable
Al-Maarij-The Way of Ascent
Noah-The Prophet Noah
Al-J’nn- The Genie, Demons
Al-Muzammil-The One wrapped in Garment
Al-Mudashir-The One Enveloped
Al-Qiyamah-The Resurrection
Al-Dahr-The Man
Al-Mursalat-Those Sent Forth
Al-Naba-The Great News
Al-Naziat-Those Who Pull Out
Al-Abasa-The Frowned
Al-Takwir-Wound Round and Lost its Light
Al-Infitar-The Cleaving
Al-Mutaffafin-Those Who Deal in Fraud
Al-Inshiqaq-The Splitting Asunder
Al-Bhruj-The Big Stars
Al-Tariq-The Night-Comer
Al-A’la-The Most High
Al-Ghashiya-The Overwhelming
Al-Fajr-The Break of the Day/The Dawn
Al-Balad-The City
Ash- Shams-The Sun
Al-Lail-The Night
Al-Duha-The Forenoon after Sunrise
Al-Inshira-The Opening Forth
Al-T’in-The Fig
Al-Alaq-The Clot
Al-Qadr-The Night of Decree (A blessed night)
Al-Beyinnah-The Clear Evidence
Al-Zilzal-The Earthquake
Al-Aadiyat-Those Who Runs
Al-Qariah-The Striking Hour
Al-Takatur-The Pilling up of Emulous Desire
Al-Asr-The Time
Al-Humazah-The Slanderer
Al-Fil-The Elephant
Al-Qureysh- The Famous Arab Tribe
Alma’un-The Small Kindnesses
Kauthar-A River in Paradise
Al-Kafirun-The Disbelievers
Al-Nasr-The Help
Al-Lahab-The Palm Rope
Al-Ikhlas-The Purity
Al-Falaq-The Day Break
Al-Nas-The People

Islamic Info

Back to top
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…