Uchambuzi wa Kiufundi naunga mkono nchi yetu kununua umeme kutoka inje nchi kuliko kusafilisha hadi kaskazini

Me nilisema watakuja na utetezi wa ujinga lengo la kujenga bwana kubwa ni sisi tu run solo kama ishue ilikuwa hivyo kwanini tusinge kujua tu tungesave hela mingi
 
Hoja za mleta mada hazina mashiko hata kidogo.

Kulikuwa na haja gani kujenga HPP kubwa kama uwezo na gharama za kusambaza hatuziwezi?

Kama Station kubwa ipo Chalinze, kuna umbali gani kutoka hapo hadi Tanga, Same nk hadi tuone its cheaper kununua huko Ethiopia/Kenya kuliko kuweka lines zetu na kutumia umeme wetu?

Kwanini Pangani na Nyumba ya Mungu yaliyopo kaskazini yasiboreshwe ili kuleta stability ya umeme ukanda huo?

What was the point kujenga HPP kubwa kama mikoa yote ya mipakani wanategemea kununua umeme nje ya nchi? Hii surplus iliyopo itamnufaisha nani?

Nini maana ya kusema TUTAUZA UMEME KWA MAJIRANI wakati hata capacity ya kujenga transmission lines hatuna?

Bado hoja hazina mashiko, upigaji tu wa ccm na watu wake.
 
Hale 21MW, Nyumba ya Mungu 8MW hio ndio capacity ya hayo mabwawa. Nchi nzima tunazalisha umeme kama 3600MW hivi, so huo ni kama asilimia 1 ya umeme wote nchi hii, je asilimia 1 ya umeme unatosha kuhudumia Kaskazini nzima?

Mleta mada kakuambia miundombinu ipo Kenya, tayari ipo it's not like serikali ya Tanzania inanunua nguzo na kuzisambaza hadi Ethiopia.

Na uwezekano upo wa kutoa umeme Rufiji hadi Same ila haimaanishi tayari miundombinu 100% ipo, je upo tayari wenzako wakae bila umeme wa uhakika ama uchukue shortcut

Kama Hufahamu Tanzania inauza pia umeme kwa Nchi jirani, Around Bilioni 30 zinapatikana kwa kuuza umeme nje, haimaanishi hizo nchi tunazoziuzia hazina umeme la hasha, bali na wao wana strategic area ambazo kwao ni rahisi kununua kwetu kuliko kusambaza wenyewe.
 
Serikali haifanyi biashara bali inatoa huduma kwa wananchi wake....hata ikisafirisha kilomita afutatu ni sawa kulikuwa kununua nje ,je ikitokea migogoro ya kidiplomasia si tutalala giz huku kaskazini?
Halafu nyie nyie munakuja kulalamika kampuni za Serikali zikifanya vibaya.
 
Kwahiyo uzalishaji wa umeme umefikia lengo?kwanza tuanzie hapo
Lengo limefikiwa, wali-target about 3.4GW kufikia 2025, na 5GW kufikia 2044.

Grid ipo mpaka Nyqmongo, Mara, upande ule kutokea Chalinze mpaka Same, Moshi...Tanga ndani!

Magharibi mwa nchi ndo hawana grid, sasa hiyo kaskazini ni ipi isiyo na umeme kwasababu ya transmission line?

Ukumbuke, huo wa kuchukulia Kenya, tutaunga kwenye 33kV sawa na unaotoka kwenye substation kama za Kipawa na the like.

Wakati Kilwa Energy ina harakati za kuanza, plan si ilikuwa kuuza Kenya? Transmission line gani ingetumika?

Mtoa mada ni chawa na si vinginevyo!
 
Hale 21MW. Nyumba ya Mungu 8MW, Pangani Falls 68MW.
 
Kuna ufisadi utafanyika hapo. Hela za kununulia umeme zitatiwa mfukoni na Kaskazini watapata umeme wa humu humu ndani.
 
Kuna wakati Makamba Jr alisema serikali inanunua software itakayotumiwa na Tanesco kwa around 60B(?).

Huu ni mwendelezo wa ufisadi ndani ya nchi, hakuna sehemu nzuri kupiga pesa kama kwenye construction na tender kubwa kama hizi. Utayafahamu yote in the next 10yrs, not now!
 
Bila shaka Pana upigaji umeandaliwa hapo ! Wajanja macho kumchuziii !
 
Safirisha...
 
Nimeishia pale nilipoona unasema wewe fundi mzoefu kwenye SEKITA ya umeme. Mimi sijui mambo yanayohusu SEKITA ya umeme.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…