Uchambuzi wa Kiufundi naunga mkono nchi yetu kununua umeme kutoka inje nchi kuliko kusafilisha hadi kaskazini

Uchambuzi wa Kiufundi naunga mkono nchi yetu kununua umeme kutoka inje nchi kuliko kusafilisha hadi kaskazini

Nayazungumza haya nikiwa kama fundi mzoefu katika sekita ya umeme!

Nimeona mijadala watu wakilalamika kwanini nchi inataka kununua umeme kutoka inje kwa mikoa ya kaskazini wakati ina umeme wa kutosha?

Ni kweli nchi ina umeme wa kutosha lakini haina maana kwasababu umeme upo wa kutosha basi unaweza kuupeleka popote pasipo kufanya tathmini!

Iko hivi umeme kutoka vyanzo vikuu vya umeme wa uhakika Rufiji na mikoa mingine ukitaka kuusafirisha kwenda mikoa ya kaskazini unakuwa unazungumzia mradi wa wastani wa 800km ~900Km

Gharama za kusafirisha umeme kwa umbali huo ni kubwa mno ukilinganisha na kuuchukulia hapo kenya .
Wanaposema umeme wa Ethiopia haina maana uko huko Ethiopia! Ni uko hapo jilani kenya wastani wa km 250km~300km tu

Hivyo ukichukulia gharama za kuusafirisha umeme kwa wastani 50mil kwa kila span moja ( nguzo moja hadi nyingine) hapa tutazungumzia wastani wa span elf 8000 hadi 9000 endapo utaamua kuutoa Rufiji

Soma Pia: Rais Samia: Serikali itanunua Umeme nje maalum kwa Mikoa ya Kaskazini

Mbali na gharama hizo mradi mkubwa kama huo unahitaji kulipa watu fidia na kuchepusha miundombinu itayoingiliana hapo katikati ya mradi!

Miradi ya mabomba ya mafuta yaliyopita ardhini yatalazimisha kubadilisha span badala ya kupitisha umeme juu ya bomba ushushwe chini (underground) ili kuepusha muingiliano wa frequency za umeme na zile za bomba la mafuta! Yote hayo yanapaisha gharama za mradi!

Muda wa kuujenga mradi mkubwa kama huo unaweza kuchukua miaka siyo chini ya mitano!

Upotevu wa umeme hapo katikati (power losses) kwa umbali huo ni Mkubwa ukilinganisha na faida utayovuna ukiuufikisha mikoa husika ya kaskazini!

Yote tisa hata kama umeme upo lakini kama jilani ana bei rahisi kuliko za nchi yetu kwanini kujichosha ilihali kwa jilani anao umeme karibu na ni bei nafuu zaidi?

Ambao hawajaelewa naomba kutoa mfano huu!

Mfano una nyumba yako dar salaam na umechimba kisima na unayo maji ya kutosha hata kusamabaza! Ukajenga nyumba nyingine Dodoma ambako huko kuna mtu ana kisima cha maji ya bei rahisi zaidi kuliko hata wewe unavyowauzia maji dar!

Je utalaza mabomba ya maji uunganishe maji yako kutoka Dar upeleke hadi Dodoma kisa una maji ya kutosha hapo DAR?

Kama mtu hajaelewa na anaswali kwanini serikali inampango wa kununua umeme kutoka jilani niko tayali kumwelewesha zaidi kiufundi ;
mimi naitwa fundi samico, napatikana kwa namba 0711756341 na huko Instagram Samico Tanzania
Wewe ni Fundi wa nini unasema frequency ya umeme itaingiliana na frequency ya bomba la mafuta?!

Mikoa ya kaskazini imekuwa ikitumia umeme kutoka Dar na Morogoro tangu zamani na ina umeme stable zaidi kuliko kanda nyingine nchini.
 
Nayazungumza haya nikiwa kama fundi mzoefu katika sekita ya umeme!

Nimeona mijadala watu wakilalamika kwanini nchi inataka kununua umeme kutoka inje kwa mikoa ya kaskazini wakati ina umeme wa kutosha?

Ni kweli nchi ina umeme wa kutosha lakini haina maana kwasababu umeme upo wa kutosha basi unaweza kuupeleka popote pasipo kufanya tathmini!

Iko hivi umeme kutoka vyanzo vikuu vya umeme wa uhakika Rufiji na mikoa mingine ukitaka kuusafirisha kwenda mikoa ya kaskazini unakuwa unazungumzia mradi wa wastani wa 800km ~900Km

Gharama za kusafirisha umeme kwa umbali huo ni kubwa mno ukilinganisha na kuuchukulia hapo kenya .
Wanaposema umeme wa Ethiopia haina maana uko huko Ethiopia! Ni uko hapo jilani kenya wastani wa km 250km~300km tu

Hivyo ukichukulia gharama za kuusafirisha umeme kwa wastani 50mil kwa kila span moja ( nguzo moja hadi nyingine) hapa tutazungumzia wastani wa span elf 8000 hadi 9000 endapo utaamua kuutoa Rufiji

Soma Pia: Rais Samia: Serikali itanunua Umeme nje maalum kwa Mikoa ya Kaskazini

Mbali na gharama hizo mradi mkubwa kama huo unahitaji kulipa watu fidia na kuchepusha miundombinu itayoingiliana hapo katikati ya mradi!

Miradi ya mabomba ya mafuta yaliyopita ardhini yatalazimisha kubadilisha span badala ya kupitisha umeme juu ya bomba ushushwe chini (underground) ili kuepusha muingiliano wa frequency za umeme na zile za bomba la mafuta! Yote hayo yanapaisha gharama za mradi!

Muda wa kuujenga mradi mkubwa kama huo unaweza kuchukua miaka siyo chini ya mitano!

Upotevu wa umeme hapo katikati (power losses) kwa umbali huo ni Mkubwa ukilinganisha na faida utayovuna ukiuufikisha mikoa husika ya kaskazini!

Yote tisa hata kama umeme upo lakini kama jilani ana bei rahisi kuliko za nchi yetu kwanini kujichosha ilihali kwa jilani anao umeme karibu na ni bei nafuu zaidi?

Ambao hawajaelewa naomba kutoa mfano huu!

Mfano una nyumba yako dar salaam na umechimba kisima na unayo maji ya kutosha hata kusamabaza! Ukajenga nyumba nyingine Dodoma ambako huko kuna mtu ana kisima cha maji ya bei rahisi zaidi kuliko hata wewe unavyowauzia maji dar!

Je utalaza mabomba ya maji uunganishe maji yako kutoka Dar upeleke hadi Dodoma kisa una maji ya kutosha hapo DAR?

Kama mtu hajaelewa na anaswali kwanini serikali inampango wa kununua umeme kutoka jilani niko tayali kumwelewesha zaidi kiufundi ;
mimi naitwa fundi samico, napatikana kwa namba 0711756341 na huko Instagram Samico Tanzania
Umejinadi ccm na lucas mwamshamba hakupe point.

Wewe ni fundi lipua nyumba
 
Wewe ni Fundi wa nini unasema frequency ya umeme itaingiliana na frequency ya bomba la mafuta?!

Mikoa ya kaskazini imekuwa ikitumia umeme kutoka Dar na Morogoro tangu zamani na ina umeme stable zaidi kuliko kanda nyingine nchini.
Yani hapa nacho mshauri kufuta namba yake tu.Maana anacho kiongea nimeshindwa kumuelewa
 
Wewe ni Fundi wa nini unasema frequency ya umeme itaingiliana na frequency ya bomba la mafuta?!

Mikoa ya kaskazini imekuwa ikitumia umeme kutoka Dar na Morogoro tangu zamani na ina umeme stable zaidi kuliko kanda nyingine nchini.
Ndugu kwahiyo unataka nikujibu kipi hapo?
Unaelewa kwanini umeme mkubwa hautakiwi kupita juu ya bomba kubwa la mafuta? Unaelewa ni kwa nn?

Unafaham mikoa ya kaskazini inapokea megawatts ngapi na ina upungufu wa megawatts ngapi?
 
Nayazungumza haya nikiwa kama fundi mzoefu katika sekita ya umeme!

Nimeona mijadala watu wakilalamika kwanini nchi inataka kununua umeme kutoka inje kwa mikoa ya kaskazini wakati ina umeme wa kutosha?

Ni kweli nchi ina umeme wa kutosha lakini haina maana kwasababu umeme upo wa kutosha basi unaweza kuupeleka popote pasipo kufanya tathmini!

Iko hivi umeme kutoka vyanzo vikuu vya umeme wa uhakika Rufiji na mikoa mingine ukitaka kuusafirisha kwenda mikoa ya kaskazini unakuwa unazungumzia mradi wa wastani wa 800km ~900Km

Gharama za kusafirisha umeme kwa umbali huo ni kubwa mno ukilinganisha na kuuchukulia hapo kenya .
Wanaposema umeme wa Ethiopia haina maana uko huko Ethiopia! Ni uko hapo jilani kenya wastani wa km 250km~300km tu

Hivyo ukichukulia gharama za kuusafirisha umeme kwa wastani 50mil kwa kila span moja ( nguzo moja hadi nyingine) hapa tutazungumzia wastani wa span elf 8000 hadi 9000 endapo utaamua kuutoa Rufiji

Soma Pia: Rais Samia: Serikali itanunua Umeme nje maalum kwa Mikoa ya Kaskazini

Mbali na gharama hizo mradi mkubwa kama huo unahitaji kulipa watu fidia na kuchepusha miundombinu itayoingiliana hapo katikati ya mradi!

Miradi ya mabomba ya mafuta yaliyopita ardhini yatalazimisha kubadilisha span badala ya kupitisha umeme juu ya bomba ushushwe chini (underground) ili kuepusha muingiliano wa frequency za umeme na zile za bomba la mafuta! Yote hayo yanapaisha gharama za mradi!

Muda wa kuujenga mradi mkubwa kama huo unaweza kuchukua miaka siyo chini ya mitano!

Upotevu wa umeme hapo katikati (power losses) kwa umbali huo ni Mkubwa ukilinganisha na faida utayovuna ukiuufikisha mikoa husika ya kaskazini!

Yote tisa hata kama umeme upo lakini kama jilani ana bei rahisi kuliko za nchi yetu kwanini kujichosha ilihali kwa jilani anao umeme karibu na ni bei nafuu zaidi?

Ambao hawajaelewa naomba kutoa mfano huu!

Mfano una nyumba yako dar salaam na umechimba kisima na unayo maji ya kutosha hata kusamabaza! Ukajenga nyumba nyingine Dodoma ambako huko kuna mtu ana kisima cha maji ya bei rahisi zaidi kuliko hata wewe unavyowauzia maji dar!

Je utalaza mabomba ya maji uunganishe maji yako kutoka Dar upeleke hadi Dodoma kisa una maji ya kutosha hapo DAR?

Kama mtu hajaelewa na anaswali kwanini serikali inampango wa kununua umeme kutoka jilani niko tayali kumwelewesha zaidi kiufundi ;
mimi naitwa fundi samico, napatikana kwa namba 0711756341 na huko Instagram Samico Tanzania
Kumuelewesha mtanzania ni kazi sana utakuta wanakaa vijiweni wanakaza shingo zao
 
Yani hapa nacho mshauri kufuta namba yake tu.Maana anacho kiongea nimeshindwa kumuelewa
Utakuwa na kichwa kigumu sana kuelewa ndugu! Kama hesabu ndogo kama hizi huelewi utakuwa na mchango mdogo sana kwenye hili taifa
 
Kutoka rufiji kuja musoma iliwezekana vipi, ije kushindikana kwenda kaskazini? Haya rufiji mbali sawa kwani pia haiwezekani kuuchukulia mikoa ya jirani kama mara(musoma) ambapo ni jirani sawa na Kenya hapo unapotaka kuchukulia?
 
Unataka kuniambia wewe unaakili kuliko wizara waliotathimini wakaona wakachukulie kenya!
Wakati mwingine Vijana tunahoji vitu vingine havina hata msingi!

Nimekutolea mfano ungekuwa wewe ungesafilisha maji kutoka Dar upeleke dodoma wakati Dom kuna mtu anatafta wateja kwa gharama nafuu?
Wewe ni miongoni mwa waTanzania wajinga kabisa kuwahi kutokea yaani unaamini wizara ina watu wenye akili kuliko yeyote ambaye hayupo wizarani 😂😂😂.
Mtu kama wewe ni rahisi sana kuamini Rais wa nchi akaakili kuliko watu wote anaowaongoza (Wananchi)

Inawezekana ulichoandika kwenye uzi wako kinaeleweka ila hakiko kitaalamu kama unavyojinadi wewe ni fundi.

Ununuzi wa umeme huo wa nje sidhani kama ni sustainable plan hata kama ni bei rahisi, plan nzuri ingekuwa kuimarisha mabwawa yaliyopo ukanda wa Kaskazini.

Ila pia kama hawa watu wanafikiri for future basi uimarishaji wa mabwawa ungekuwa kwa kanda ili kupunguza gharama za usafirishaji.
 
Kwa mradi huu serikali kama serikali ingechutama kwanza kupisha aibu.........ile pesa ya stiglers ni nyingi mno.........hao kasikazini miaka yote walikuwa wanatumia nini???..... nawaomba kwanza mmalizane na matundu ya choo hacheni ujanja ujanja.........na hapo kinachotafutwa ni kukopa tu ili deni la taifa lipae tena .......TANZANIA MY COUNTRY
 
Wanaongelea gharama za kusafirisha umeme as if umeme unabebwa kwenye visalfeti au kwenye ndoo
 
Wewe ni miongoni mwa waTanzania wajinga kabisa kuwahi kutokea yaani unaamini wizara ina watu wenye akili kuliko yeyote ambaye hayupo wizarani 😂😂😂.
Mtu kama wewe ni rahisi sana kuamini Rais wa nchi akaakili kuliko watu wote anaowaongoza (Wananchi)

Inawezekana ulichoandika kwenye uzi wako kinaeleweka ila hakiko kitaalamu kama unavyojinadi wewe ni fundi.

Ununuzi wa umeme huo wa nje sidhani kama ni sustainable plan hata kama ni bei rahisi, plan nzuri ingekuwa kuimarisha mabwawa yaliyopo ukanda wa Kaskazini.

Ila pia kama hawa watu wanafikiri for future basi uimarishaji wa mabwawa ungekuwa kwa kanda ili kupunguza gharama za usafirishaji.
Nikushukuru kwa kuelewa! Lakini nikushangae kama huamini wizarani kuna wasomi!

Nikushauri wizara huwa ina mipango mingi inayohitaji bajeti, Hawawezi kutumia fungu lote la fedha kwenda kumaliza kero ambayo inaweza kutatuliwa kwa njia mbadala kwa gharama nafuu!

Kuchukua umeme huko jilani hakuzuii hayo mengine kuendelea!

Sioni hasara ya serikali kuchukua umeme kutoka nchi jilani! Labda uniambie wewe hiyo hasara iko wapi.

Kama hoja ni kukopa hata kama umeme wakiamua kuutoa rufiji watakopa vilevile!

Kwahiyo kipi bora, wakope kikubwa zaidi kujenga rufiji, au wakope kidogo kujenga kutokea nchi jilani ?
 
Kwa mradi huu serikali kama serikali ingechutama kwanza kupisha aibu.........ile pesa ya stiglers ni nyingi mno.........hao kasikazini miaka yote walikuwa wanatumia nini???..... nawaomba kwanza mmalizane na matundu ya choo hacheni ujanja ujanja.........na hapo kinachotafutwa ni kukopa tu ili deni la taifa lipae tena .......TANZANIA MY COUNTRY
Matatizo yanaweza kuwa yapo mengi likiwemo hilo la matundu ya choo! Lakini hapa tunajadili umeme!
 
Back
Top Bottom