Uchambuzi wa Kiufundi naunga mkono nchi yetu kununua umeme kutoka inje nchi kuliko kusafilisha hadi kaskazini

Uchambuzi wa Kiufundi naunga mkono nchi yetu kununua umeme kutoka inje nchi kuliko kusafilisha hadi kaskazini

Hiyo transmission line ya 400kv kutoka grid ya taifa inapeleka umeme mikoa ya kati na kanda ya ziwa ina kiwango chake cha kubeba mwisho Megawatts 550~600MW

Kuna ongezeko kubwa la umeme hasa maeneo ya migodini linalotegemea hiyo line!

Ukiamua kuibebesha mzigo mwingine wa mikoa ya kaskazini haitakubali kubeba lazima gridi itatoka kila mara na kupelekea mgao wa kijinga kabisa!

Njia ya uhakika ni kujengwa powerline nyingine itakayolisha mikoa ya kaskazini ambacho ndicho serikali inafanya kwa kuzingatia gharama za mradi!
Kuchukua hapo Namanga kenya inaonekana ni gharama nafuu zaidi kuliko kujenga power line mpya kutoka Rufiji
Mkuu umejitahidi sana kueleza wenye kuelewa tushaelewa ...achana na watakupasua kichwa tayali kichwani mwao hawana mpango wa kuelewa unapoteza muda wako bure
 
Wewe sio mfanyabiashara, take yako ni ya Ki layman.

Labda nikueleweshe taratibu utaelewa.

Una maduka yako mawili moja lipo Dar na jengine lipo mwanza, kwenye maduka unauza mchele, Huku dar una machine yako ya kukoboa huo mchele, ila mwanza Huna, kutokana na Gharama za kuleta Mpunga Dar, ukaamua kule kule mwanza upeleke machine ya mtu mwengine akukobolee mpaka utakapopata machine yako. Ungeleta Mchele Dar ukobolewe halafu urudishwe mwanza Gharama zingekuwa kubwa.

Outsourcing kupunguza gharama ni common practise kwenye biashara.

Cha muhimu hapo ni sisi huo umeme wetu tuuze Nchi za jirani sehemu ambayo miundombinu yetu ipo vizuri, mfano sasa hivi kuna Mradi wa Takriban Trilioni 1 kupeleka umeme Zambia.
Ni hoja nyepesi yakujitetea pasipo faida.

Rudi katika.muktadha wa dhamira na lengi la kuzalisha umeme lilikuwa nini?"kuhakikisha nchi inakuwa na umeme wa kutosha ili kukabiliana na adha ya mgao na kuongeza uzalishaji"

Huo mkakati kabla yakufikia lengo la uzalishaji haukuwepo licha ya kwamba ilikuwa tija.


Kwenye power engineering kitu cha kwanza ni demands capacity,pili generation tatu transmission.


Transmission ni step ambayo inapaswa kuwa effective sababu tulisha jithibitishia demand.

Currently Kuna power technologies za kusafirisha umeme with a minimal loss maana wao wanahofia power loss hivyo hasara ,kuna capacitors embedded cables ,na teknonolijia ya kusafirisha voltage na kupunguza current katika usafirishaji ili kupunguza power loss.

Bado haiingii akilini kama TAIFA (sio taasisi binafsi) kuzalisha umeme halafu mshindwe kusambaza.


I am not a layman in power engineering.
 
Nayazungumza haya nikiwa kama fundi mzoefu katika sekita ya umeme!

Nimeona mijadala watu wakilalamika kwanini nchi inataka kununua umeme kutoka inje kwa mikoa ya kaskazini wakati ina umeme wa kutosha?

Ni kweli nchi ina umeme wa kutosha lakini haina maana kwasababu umeme upo wa kutosha basi unaweza kuupeleka popote pasipo kufanya tathmini!

Iko hivi umeme kutoka vyanzo vikuu vya umeme wa uhakika Rufiji na mikoa mingine ukitaka kuusafirisha kwenda mikoa ya kaskazini unakuwa unazungumzia mradi wa wastani wa 800km ~900Km

Gharama za kusafirisha umeme kwa umbali huo ni kubwa mno ukilinganisha na kuuchukulia hapo kenya .
Wanaposema umeme wa Ethiopia haina maana uko huko Ethiopia! Ni uko hapo jilani kenya wastani wa km 250km~300km tu

Hivyo ukichukulia gharama za kuusafirisha umeme kwa wastani 50mil kwa kila span moja ( nguzo moja hadi nyingine) hapa tutazungumzia wastani wa span elf 8000 hadi 9000 endapo utaamua kuutoa Rufiji

Soma Pia: Rais Samia: Serikali itanunua Umeme nje maalum kwa Mikoa ya Kaskazini

Mbali na gharama hizo mradi mkubwa kama huo unahitaji kulipa watu fidia na kuchepusha miundombinu itayoingiliana hapo katikati ya mradi!

Miradi ya mabomba ya mafuta yaliyopita ardhini yatalazimisha kubadilisha span badala ya kupitisha umeme juu ya bomba ushushwe chini (underground) ili kuepusha muingiliano wa frequency za umeme na zile za bomba la mafuta! Yote hayo yanapaisha gharama za mradi!

Muda wa kuujenga mradi mkubwa kama huo unaweza kuchukua miaka siyo chini ya mitano!

Upotevu wa umeme hapo katikati (power losses) kwa umbali huo ni Mkubwa ukilinganisha na faida utayovuna ukiuufikisha mikoa husika ya kaskazini!

Yote tisa hata kama umeme upo lakini kama jilani ana bei rahisi kuliko za nchi yetu kwanini kujichosha ilihali kwa jilani anao umeme karibu na ni bei nafuu zaidi?

Ambao hawajaelewa naomba kutoa mfano huu!

Mfano una nyumba yako dar salaam na umechimba kisima na unayo maji ya kutosha hata kusamabaza! Ukajenga nyumba nyingine Dodoma ambako huko kuna mtu ana kisima cha maji ya bei rahisi zaidi kuliko hata wewe unavyowauzia maji dar!

Je utalaza mabomba ya maji uunganishe maji yako kutoka Dar upeleke hadi Dodoma kisa una maji ya kutosha hapo DAR?

Kama mtu hajaelewa na anaswali kwanini serikali inampango wa kununua umeme kutoka jilani niko tayali kumwelewesha zaidi kiufundi ;
mimi naitwa fundi samico, napatikana kwa namba 0711756341 na huko Instagram Samico Tanzania
Mama yangu wee! Hayo mabomba ya mafuta yaliyopo ni yapi! Inawezekana haujui kuwa lipo bomba la mafuta linaloanza Kigamboni Dar linapita Mbagala, Pugu, Chalinze, Morogoro, Mikumi, Iringa, Mbeya, Songwe na kuingia Zambia, njia yote hiyo kuna nguzo za umeme zinazokwenda Chalinze kutoka Mtera, Kidatu, bwawa la Mwalimu zinavuka hilo bomba la TAZAMA.
Tanga inapata umeme toka Chalinze wangeweza kuuchukua huko bila kuvusha juu ya bomba ukaenda Korogwe, Same na mikoa wa Kilimanjaro na Arusha.
Najua tunajadili hapa huku dili liliksisha pigwa siku nyingi ili kujiweka sawa kwa uchaguzi, tukumbukane siku ya Idi na Pasaka.
 
Ni hoja nyepesi yakujitetea pasipo faida.

Rudi katika.muktadha wa dhamira na lengi la kuzalisha umeme lilikuwa nini?"kuhakikisha nchi inakuwa na umeme wa kutosha ili kukabiliana na adha ya mgao na kuongeza uzalishaji"

Huo mkakati kabla yakufikia lengo la uzalishaji haukuwepo licha ya kwamba ilikuwa tija.


Kwenye power engineering kitu cha kwanza ni demands capacity,pili generation tatu transmission.


Transmission ni step ambayo inapaswa kuwa effective sababu tulisha jithibitishia demand.

Currently Kuna power technologies za kusafirisha umeme with a minimal loss maana wao wanahofia power loss hivyo hasara ,kuna capacitors embedded cables ,na teknonolijia ya kusafirisha voltage na kupunguza current katika usafirishaji ili kupunguza power loss.

Bado haiingii akilini kama TAIFA (sio taasisi binafsi) kuzalisha umeme halafu mshindwe kusambaza.


I am not a layman in power engineering.
Sawa wewe ni power engineer ila sio mfanyabiashara, Tanesco leo hii Ikiingiza Hasara nani ananlipa? Si kodi zetu ndio itabidi ziweke Ruzuku hapo?

Kama inawezekana sisi kuuza Nje kwa Bei nzuri na kununua Umeme kwa bei rahisi ni practical approach mtu yoyote mwenye idea ya biashara analijua hili.

Unajua kipindi cha Vita vya Ukraine Saudi Arabia alikua ananunua Mafuta Urusi? UNAFKIRI Saudia hana mafuta? Anayo kibao, ila Mafuta ya Urusi yalivyoshuka bei kwake ilikua ni Opportunity aliyanunua na kutumia kwake, ya Kwake akauza Ulaya.
 
Sawa wewe ni power engineer ila sio mfanyabiashara, Tanesco leo hii Ikiingiza Hasara nani ananlipa? Si kodi zetu ndio itabidi ziweke Ruzuku hapo?

Kama inawezekana sisi kuuza Nje kwa Bei nzuri na kununua Umeme kwa bei rahisi ni practical approach mtu yoyote mwenye idea ya biashara analijua hili.

Unajua kipindi cha Vita vya Ukraine Saudi Arabia alikua ananunua Mafuta Urusi? UNAFKIRI Saudia hana mafuta? Anayo kibao, ila Mafuta ya Urusi yalivyoshuka bei kwake ilikua ni Opportunity aliyanunua na kutumia kwake, ya Kwake akauza Ulaya.
Mnapenda kutumia mifano ya kijinga kuhalalisha upigaji ? Nyakati za Uwaziri wa Makamba aliomba Trilion 1 na Ushee kukarabati miundombinu ya umeme aliyodai imeharibiwa na Magufuli, matokeo yake akaanza kuunda mtandao wa kumuondoa madarakani mteuzi, sasa hivi majizi yanatandikiwa zulia na kushangiliwa wakati yakienda kufanya ufisadi...
 
Sawa wewe ni power engineer ila sio mfanyabiashara, Tanesco leo hii Ikiingiza Hasara nani ananlipa? Si kodi zetu ndio itabidi ziweke Ruzuku hapo?

Kama inawezekana sisi kuuza Nje kwa Bei nzuri na kununua Umeme kwa bei rahisi ni practical approach mtu yoyote mwenye idea ya biashara analijua hili.

Unajua kipindi cha Vita vya Ukraine Saudi Arabia alikua ananunua Mafuta Urusi? UNAFKIRI Saudia hana mafuta? Anayo kibao, ila Mafuta ya Urusi yalivyoshuka bei kwake ilikua ni Opportunity aliyanunua na kutumia kwake, ya Kwake akauza Ulaya.
Nachochea kuni mpe mpe
 
Mnapenda kutumia mifano ya kijinga kuhalalisha upigaji ? Nyakati za Uwaziri wa Makamba aliomba Trilion 1 na Ushee kukarabati miundombinu ya umeme aliyodai imeharibiwa na Magufuli, matokeo yake akaanza kuunda mtandao wa kumuondoa madarakani mteuzi, sasa hivi majizi yanatandikiwa zulia na kushangiliwa wakati yakienda kufanya ufisadi...
Hii ligi naifuatilia
 
Kama kusafirisha toka vyanzo vya ndani ni hasara, Tanesco watasafirisha vp kupeleka nje au kwa Bluetooth? Feasibility study ilifanyika kabla ya ujenzi?

Umeme unatoka Ethiopia sio Kenya, Kenya ni njia tu ndo maana wamesema watanunua toka Ethiopia, hela inaenda kwa producer sio mtu wa njiani. Hoja yako kwamba umeme unatoka Kenya ni mfu.

Nyie mafundi vishoka hamna kitu mnajua.
 
Kama kusafirisha toka vyanzo vya ndani ni hasara, Tanesco watasafirisha vp kupeleka nje au kwa Bluetooth? Feasibility study ilifanyika kabla ya ujenzi?

Umeme unatoka Ethiopia sio Kenya, Kenya ni njia tu ndo maana wamesema watanunua toka Ethiopia, hela inaenda kwa producer sio mtu wa njiani. Hoja yako kwamba umeme unatoka Kenya ni mfu.

Nyie mafundi vishoka hamna kitu mnajua.
Wewe ndo akili kisoda! Unaambiwa umeme wanachukulia hapo Namanga lakini bado umekaza fuvu!

Hata kama umeme ungetokea Morocco hiyo gharama ya usafirishaji kutoka Huko Haituhusu Tanzania! Ni hasara yao.

Tanzania inauziwa umeme wa bill ambapo mita itafungwa hapo mpakan!...

Pili kama huna hoja usiwe unaropoka unauwezo mdogo sana wa kubishana na mm! Hakuna unachonizidi

Kama wewe ni msomi nipigie simu tubishane kwa kingereza 0711756341
 
Nitakujibu hapa hapa.

1. Unazungumzia Kaskazini yenye mabwawa ya umeme ya Nyumba ya Mungu, Hale na Pangani yenye uwezo wa kuzalisha umeme wa kutosha mikoa ya mikoa ya Kilimanjaro, Arusha, Manyara na Tanga. Kwanini uende nje ya nchi kununua umeme?

2. Umeme unaosema kunakwenda kuuchukua Kenya ni umeme unaozalishwa kwenye mabwawa kule Ethiopia na kusafirishwa kupitia Kenya na baadaye ndio uingie Tanzania. Kama unasema Rufiji ni mbali basi tuambie ni vipi Ethiopia patakuwa karibu. Hupaswi kuupima umbali kutoka hapo Kenya umeme unapopitishwa bali kule kule unapozalishwa yaani Ethiopia.

3. Katika mazingira ambayo tunazalisha umeme mwingi kupitiliza, na tunaupata bure kutoka Rufiji, ni vipi unataka tuumie huo upotevu unapotokea wakati tukiusafirisha kuuleta mikoa ya kaskazini kiasi tuamue tutoe pesa zetu kwenda kuununua umeme kutoka nje ya nchi?
K wa ni huu umeme unaotoka Rufiji mpaka Tabora au Mara ni karibu? Mbona ni mbali tu.
 
Wewe ndo akili kisoda! Unaambiwa umeme wanachukulia hapo Namanga lakini bado umekaza fuvu!

Hata kama umeme ungetokea Morocco hiyo gharama ya usafirishaji kutoka Huko Haituhusu Tanzania! Ni hasara yao.

Hakuna biashara ya hivyo duniani kote. Fundi Juma hamnaga akili hata mkipewa magari mnaanza kusema hiki mjapan kaweka tu hakina kazi gari linatoka gereji bovu kuliko lilivyofika.

Swali dogo tu, hiyo gharama ya hadi Namanga nani analipa wewe fundi kishoka akili kisoda?
 
Kuwa fundi sio swala, ishu ni logic. Nyumba ya Mungu limefungwa? Hale je? Pangani?
 
Kuwa fundi sio swala, ishu ni logic. Nyumba ya Mungu limefungwa? Hale je? Pangani?
Nimeshaeleza narudia tena! Nyumba ya Mungu inatakiwa kuzalisha megawatt 8 lakini kutokana na uchakavu na ukame inazalisha 4~5 MW ambayo ni nusu ya mahitaji!

New pangani vile vile inazalisha asilimia 10% tu ya lengo!

Ni lazima nchi itafte umeme mbadala kwasababu hayo mabwawa yanahitaji matengenezo makubwa

Na katika hizo njia mbadala ni hizo mbili, moja kuchukua hapo mpakani au kuchukulia Rufiji!

Unafuu umeonekana ni bora kuchukulia hapo Namanga inasave 60%~70% ulilinganisha na gharama ya kuchukulia Rufiji
 
Hakuna biashara ya hivyo duniani kote. Fundi Juma hamnaga akili hata mkipewa magari mnaanza kusema hiki mjapan kaweka tu hakina kazi gari linatoka gereji bovu kuliko lilivyofika.

Swali dogo tu, hiyo gharama ya hadi Namanga nani analipa wewe fundi kishoka akili kisoda?
Nikuulize wewe huo umeme unaotumia hapo nyumbani kwenu! Zile gharama za kuutoa kwenye transfoma mlilipa nyinyi au Tanesco waliwasogezea hadi hapo jilani ndo mkalipia huduma ya kuunganishiwa?

Gharama za kutoka Ethiopia hazituhusu watanzania!

Sisi gharama zetu zitaanzia hapo kenya mpakani itakapofungwa mita!.
 
Nimeshaeleza narudia tena! Nyumba ya Mungu inatakiwa kuzalisha megawatt 8 lakini kutokana na uchakavu na ukame inazalisha 4~5 MW ambayo ni nusu ya mahitaji!

New pangani vile vile inazalisha asilimia 10% tu ya lengo!

Ni lazima nchi itafte umeme mbadala kwasababu hayo mabwawa yanahitaji matengenezo makubwa

Na katika hizo njia mbadala ni hizo mbili, moja kuchukua hapo mpakani au kuchukulia Rufiji!

Unafuu umeonekana ni bora kuchukulia hapo Namanga inasave 60%~70% ulilinganisha na gharama ya kuchukulia Rufiji
Unajisikiliza unachoongea lakini? Kama unazalishwa chini ya uwezo wake, hilo nalo linahitaji degree kulipatia ufumbuzi?
 
Nayazungumza haya nikiwa kama fundi mzoefu katika sekita ya umeme!

Nimeona mijadala watu wakilalamika kwanini nchi inataka kununua umeme kutoka inje kwa mikoa ya kaskazini wakati ina umeme wa kutosha?

Ni kweli nchi ina umeme wa kutosha lakini haina maana kwasababu umeme upo wa kutosha basi unaweza kuupeleka popote pasipo kufanya tathmini!

Iko hivi umeme kutoka vyanzo vikuu vya umeme wa uhakika Rufiji na mikoa mingine ukitaka kuusafirisha kwenda mikoa ya kaskazini unakuwa unazungumzia mradi wa wastani wa 800km ~900Km

Gharama za kusafirisha umeme kwa umbali huo ni kubwa mno ukilinganisha na kuuchukulia hapo kenya .
Wanaposema umeme wa Ethiopia haina maana uko huko Ethiopia! Ni uko hapo jilani kenya wastani wa km 250km~300km tu

Hivyo ukichukulia gharama za kuusafirisha umeme kwa wastani 50mil kwa kila span moja ( nguzo moja hadi nyingine) hapa tutazungumzia wastani wa span elf 8000 hadi 9000 endapo utaamua kuutoa Rufiji

Soma Pia: Rais Samia: Serikali itanunua Umeme nje maalum kwa Mikoa ya Kaskazini

Mbali na gharama hizo mradi mkubwa kama huo unahitaji kulipa watu fidia na kuchepusha miundombinu itayoingiliana hapo katikati ya mradi!

Miradi ya mabomba ya mafuta yaliyopita ardhini yatalazimisha kubadilisha span badala ya kupitisha umeme juu ya bomba ushushwe chini (underground) ili kuepusha muingiliano wa frequency za umeme na zile za bomba la mafuta! Yote hayo yanapaisha gharama za mradi!

Muda wa kuujenga mradi mkubwa kama huo unaweza kuchukua miaka siyo chini ya mitano!

Upotevu wa umeme hapo katikati (power losses) kwa umbali huo ni Mkubwa ukilinganisha na faida utayovuna ukiuufikisha mikoa husika ya kaskazini!

Yote tisa hata kama umeme upo lakini kama jilani ana bei rahisi kuliko za nchi yetu kwanini kujichosha ilihali kwa jilani anao umeme karibu na ni bei nafuu zaidi?

Ambao hawajaelewa naomba kutoa mfano huu!

Mfano una nyumba yako dar salaam na umechimba kisima na unayo maji ya kutosha hata kusamabaza! Ukajenga nyumba nyingine Dodoma ambako huko kuna mtu ana kisima cha maji ya bei rahisi zaidi kuliko hata wewe unavyowauzia maji dar!

Je utalaza mabomba ya maji uunganishe maji yako kutoka Dar upeleke hadi Dodoma kisa una maji ya kutosha hapo DAR?

Kama mtu hajaelewa na anaswali kwanini serikali inampango wa kununua umeme kutoka jilani niko tayali kumwelewesha zaidi kiufundi ;
mimi naitwa fundi samico, napatikana kwa namba 0711756341 na huko Instagram Samico Tanzania
Umeme ulisafirishwa kutoka Ethiopia haupotei njiani?
Je kununua gari Kenya iliyotoka Japan ni nafuu kuliko kuagiza Japan?
Kuna mtaalamu nimemsiliza yeye anadai umeme haupotei, unasafirishwa katika mfumo wa direct current (HVDC)
 
Nayazungumza haya nikiwa kama fundi mzoefu katika sekita ya umeme!

Nimeona mijadala watu wakilalamika kwanini nchi inataka kununua umeme kutoka inje kwa mikoa ya kaskazini wakati ina umeme wa kutosha?

Ni kweli nchi ina umeme wa kutosha lakini haina maana kwasababu umeme upo wa kutosha basi unaweza kuupeleka popote pasipo kufanya tathmini!

Iko hivi umeme kutoka vyanzo vikuu vya umeme wa uhakika Rufiji na mikoa mingine ukitaka kuusafirisha kwenda mikoa ya kaskazini unakuwa unazungumzia mradi wa wastani wa 800km ~900Km

Gharama za kusafirisha umeme kwa umbali huo ni kubwa mno ukilinganisha na kuuchukulia hapo kenya .
Wanaposema umeme wa Ethiopia haina maana uko huko Ethiopia! Ni uko hapo jilani kenya wastani wa km 250km~300km tu

Hivyo ukichukulia gharama za kuusafirisha umeme kwa wastani 50mil kwa kila span moja ( nguzo moja hadi nyingine) hapa tutazungumzia wastani wa span elf 8000 hadi 9000 endapo utaamua kuutoa Rufiji

Soma Pia: Rais Samia: Serikali itanunua Umeme nje maalum kwa Mikoa ya Kaskazini

Mbali na gharama hizo mradi mkubwa kama huo unahitaji kulipa watu fidia na kuchepusha miundombinu itayoingiliana hapo katikati ya mradi!

Miradi ya mabomba ya mafuta yaliyopita ardhini yatalazimisha kubadilisha span badala ya kupitisha umeme juu ya bomba ushushwe chini (underground) ili kuepusha muingiliano wa frequency za umeme na zile za bomba la mafuta! Yote hayo yanapaisha gharama za mradi!

Muda wa kuujenga mradi mkubwa kama huo unaweza kuchukua miaka siyo chini ya mitano!

Upotevu wa umeme hapo katikati (power losses) kwa umbali huo ni Mkubwa ukilinganisha na faida utayovuna ukiuufikisha mikoa husika ya kaskazini!

Yote tisa hata kama umeme upo lakini kama jilani ana bei rahisi kuliko za nchi yetu kwanini kujichosha ilihali kwa jilani anao umeme karibu na ni bei nafuu zaidi?

Ambao hawajaelewa naomba kutoa mfano huu!

Mfano una nyumba yako dar salaam na umechimba kisima na unayo maji ya kutosha hata kusamabaza! Ukajenga nyumba nyingine Dodoma ambako huko kuna mtu ana kisima cha maji ya bei rahisi zaidi kuliko hata wewe unavyowauzia maji dar!

Je utalaza mabomba ya maji uunganishe maji yako kutoka Dar upeleke hadi Dodoma kisa una maji ya kutosha hapo DAR?

Kama mtu hajaelewa na anaswali kwanini serikali inampango wa kununua umeme kutoka jilani niko tayali kumwelewesha zaidi kiufundi ;
mimi naitwa fundi samico, napatikana kwa namba 0711756341 na huko Instagram Samico Tanzania
unajuwa gharama za uhuru ? hv umesikia huko Marekan , Canada katia spana kwenye umeme anauza Marekani , hv hatuez survey kweny mikoa ya kaskazin kuona wap panaweza zalisha umeme ?

IFIKE MUDA TUACHE KUPENDA MSELELEKO , MATOKEO YA KUPENDA VYA DEZO NI KULIWA TAKLO , TUJIULIZE ETHIOPIA KAWEZAJ KUUVUSHA UMEME WAKE KUTOKA ETHIOPIA MPK KENYA KISHA AJE AULETE MPK TZ .

VICHWA VYENU VIMEKUWA VYA KUTUNZIA MUVI ZA KITURUKI TU
 
Back
Top Bottom