Uchambuzi wangu kuhusu hoja za Tundu Antipass Lissu kwenye suala la Bandari

Uchambuzi wangu kuhusu hoja za Tundu Antipass Lissu kwenye suala la Bandari

Kwanza napenda kumpongeza Tundu Antipass Lissu kwa kuwa Mtanzania pekee hadi sasa aliyekuja na uchambuzi wa kihoja kwenye suala la Makubaliano ya Tanzania na Dubai kuhusu masuala ya Bandari.

Namfahamu Tundu Antipass Lissu kama mwanasheria mzuri sana. Nimeshiriki nae kwenye kazi kadhaa hivyo sina mashaka na ujuzi wake kwenye masuala ya Sheria.

Pamoja na haya leo napenda kupingana na Mwanasheria huyu mwenzangu katika uchambuzi wake katika masuala ya Bandari na hii ni kwa sababu najua anajua kuwa amepotosha na ni kweli na hakika kuwa katika suala hili ndugu yangu Lissu amepotosha sana.

Kwa nini Tundu Antipass Lissu amepotosha?

Kuhusu suala la Muda wa ukomo wa Mkataba!!
Lissu amesema kabisa huu mkataba unafuatiwa na Mkataba wa Host Government Agreement ila bado anajichanganya kwa kusema kuwa endapo hakutakuwa na Host Government Agreement mkataba huu utakuwa wa milele. Hapa Wakili wangu amepotosha vibaya sana. Katika Mkataba huu, Ibara ya Kwanza Ibara ndogo ya 2 ( Article 1(2))inaelezea ulazima wa pande zote ikiwemo Tanzania kuingia katika makubaliano ya Host Government Agreement!

Katika ibara hii kuanzia vipengele a, but hadi c vimeelezea wazi kabisa kuhusu HGA zitakazoingiwa kuhusu maeneo husika.

Sasa swali langu kwa Lissu tuseme hakuona hiki kifungu cha mkataba? Anapotosha kwa maslahi gani?

Kuhusu Mkataba kutosema faida tunazopata na uwekezaji unaofanyika ni wa kiasi gani?
Kusema kweli hapa Wakili msomi Lissu kama hafanyi upotoshaji wa makusudi basi atakuwa ameanza kuzeeka.
Article 1(2) c ya Mkataba huu inasema wazi na nakinukuu hapa,

" Tanzania agrees each relevant HGA and each relevant project agreement to which it or state authority is a party shall be the contractual framework for Tanzania and the State Authority's contractual rights, obligations and undertakings under or in connection with the relevant project"

Maana ya hiki kifungu ni kwamba kutika makubaliano ya HGA kuhusu mradi husika mfano iyo sehemu ya Bandari atakayopewa mwekezaji haki zote na wajibu wote ndo vitaelezwa humo ikiwemo uwekezaji ni kiasi gani, faida kwa Tanzania kuhusu uwekezaji huo ni kiasi gani na kila kitu kingine.

Logic behind kifungu hiki ni kuwa kabla pande mbili hazijaingia mkataba wa HGA hapo lazima wataalamu wa actuary wakae wapige hesabu kuhusu gharama za uwekezaji , faida zitakuwaje na mgawanyo wa kodi na malipo mengine yaweje. Haya yote kimsingi hayawezi kuwekwa katika mkataba huu ila yanapaswa kuwekwa kwenye HGA husika. Sasa Lissu kama mwanasheria najua anajua kuwa haya mambo hayapaswi kuwa katika IGA maana IGA inakuwa general ila HGA inakuwa specific katika mradi husika.

Kuhusu masuala ya Kodi!!
Hapa Wakili msomi Tundu Lissu kusema kweli amekosea kwa sababu anadai itakuwa kama kwenye masuala ya madini wakati hata hajajua kwenye HGA husika wajibu wa mwekezaji utawekwaje na ushiriki wetu kwenye huo uwekezaji utakuwaje??? Ibara ya 18 ya Mkataba huu imesisitiza kuzingatiwa na Sheria na masharti kama yalivyowekwa kwenye HGA. Sasa hapa zijaelewa kabisa hoja za Lissu?
Kwenye kipengele hiki hoja za Lissu zingekuwa na mashiko kama HGA zingekuwa zimeshakamilika na wataalamu wa Actuary hawajahusika katika kuweka hesabu za uwekezaji na faida vizuri. Hivyo sioni kama ana hoja ya msingi kwenye hili

Kuhusu kwenye Bandari za kuuzwa ingawa nakubaliana na Lissu kuwa muungano wetu una changamoto kwa kuwa naamini kama kweli ni muungano basi ulitakiwa kuwa wa serikali moja ila bado sikubaliani na Lissu kuhusu kusema Bandari zetu zimeuzwa.

Nimesoma mkataba wote, nimepitia kifungu kwa kifungu na kusema kweli hakuna sehemu mkataba huu umewapa watu wa Dubai Bandari. Mkataba huu umeonesha kuwa tutashirikiana katika masuala ya Bandari katika maeneo yatakayokubaliwa kwenye mkataba mwingine wa HGA ambapo sisi tutasema tushirikiane nao katika Bandari ipi au eneo lipi la uwekezaji na kwa masharti yapi. Hakuna sehemu imesemwa Bandari zote wamepewa au wanapewa. Lissu amepotosha sana.

Kuhusu Uzanzibari wa Samia na Prof Mbarawa hapa napo naona Lissu ameongea kama mwanasiasa ila sio kama mwanasheria. Unapohoji uraia wa mtu lazima uwe na msingi wa kuhoji. Kwa nini hakuhoji alipoamua alipwe posho zake alizozurumiwa kipindi cha awamu ya 5? Hapo hakuona kama anafanya kwa Uzanzibari wake?

Kwa nini hakuhoji wakati mazungumzo yake na Rais yalifanya afutiwe kesi zote na kupewa passport yake?

Kusema kweli hapa Lissu anapotosha kwa sababu hakuna Bandari yeyote iliyouzwa au kugawiwa hadi sasa. Hizi ni siasa za majitaka
Hata kama sikubaliani na baadhi ya majibu yako nimependa uungwana kwenye namna ulivyopinga hoja badala ya kujikita kwenye lugha chafu kama kina nanihii...
 
Kiukweli huu ni mkataba mbaya sana kuwahi kutokea duniani

Ni Tanganyika tumeletewa na samia

Waarabu wamelenga kuiangamiza kabisa Tanganyika kwa kuwatumia viongozi wasio waaminifu waliokalia viti

Watanganyika amkeni muidai nchi yenu mtauzwa wao wakstaafu wataenda kupongezwa walikowauzeni
Pimbi tuu wewe! Unadhani tumelala kama wewe kiazi mamayo!!!!
 
Bila shaka wewe ni miongoni mwa wale waandishi wa habari 40 mliopelekwa Dubai eti "kwenda kujifunza mambo ya namna ya usimamizi na uendeshaji wa bandari"

Loooh!.... Watawala wa nchi hii ni wajinga sana aisee.!!

Yaani badala ya wataalamu na wafanyakazi wanao manage na ku operate bandari zetu ndio wapelekwe huko wakajifunze namna njema ya ku develop, manage na ku operate bandari zetu wao hawajaliwi na wanaachwa hivyo hivyo walivyo na badala yake wanapelekwa waandishi wa habari wa vyombo vya propaganda za uongo ili kuja kuandika uongo na kutangaza propaganda za kijuha kama ufanyavyo wewe hapa..!!

Halafu hawahawa kina Samia na Prof. Mbarawa wanasema kuwa bandari hazina ufanisi Kwa sababu wafanyakazi ni wazembe na hawawezi kusimamia uendeshaji wa bandari zetu ndio maana lazima wapewe waarabu!!... Really? Really?

Na unafanya hili kijinga sana bila ufahamu wa kutosha kwa sababu pengine hata umejisahau kujua kuwa, statement yote aliyoitoa Tundu Lissu ya zaidi ya masaa mawili ktk mfumo wa sauti na video hatua kwa hatua ya maelezo yake iko wazi katika social media platforms kama YouTube, TikTok, Instagram, FB nk na kila mtu anaweza kumtazama na kumsikiliza wakati wowote..

Shukrani Kwa hata nyie waandishi wa habari wote waliofika kwenye PC hiyo na Kila mmoja aliuliza kila swali lililokuwa linamkereketa na kujibiwa kwa ufasaha..

Wewe kama hukuelewa, kwanini hukuuliza maswali yako hapo? Bila shaka ninyi ndiyo mlioandaliwa kwa propaganda ili kuipigia debe DP WORLD kupewa Tanganyika iwe koloni la mfalme wa Dubai Emirate.,

KWA KWELI RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KATUKOSEA NA KATUDHARAU SANA WATANGANYIKA...!
Wewe ni fala tuu hustahili heshima mamayo!
 
Lissu yuko sahihi, huwezi kusign kitu chochote bila kujua mwekezaji atafanya nini, atawekeza kiasi gani, tutapata kiasi gani , tuna faidika vipi, terms na conditions ziko vipi, sisi tunafanya nini na muwekezaji ana fanya nini, haya yote yalitakiwa yafanyike na yawe wazi hat kabla ya IGA / HGA, kwahiyo mkishindwa kukubaliana HGA itakuwaje wakati huo mme sign IGA? Si upuuzi huo mnafanya? , nyie mmechukua pesa ya Mwarabu, kawapigeni pesa nadhani karibu wabunge wote wenye kuongea ongea ili kupitisha aibu hii, maana mimi sioni kipi mnawahi , hata kipofu hawezi kufanya mnayofanya kwakweli.
 
Hili jambo limebebwa na wanasiasa kwa hiyo tegemea lolote tu lakini Hawa chadema 2025 hawatataka kura za hiyo sehemu wanayoibagua na kuikejeli?
Kwani Mbarawa na katibu wake ndiyo wanabeba kura z Wazanzibari wote?
 
Kwenye HGA ndo kuna kila kitu hadi muda wa ukomo kwenye project husika
Kama na wewe ni msomi mwanasheria, basi kweli hii nchi, ndiyo maana wengi wanasema elimu yetu ni duni sana. Labda kama umetoa hizi hoja kwa sababu ya unafiki, lakini siyo ndicho ulicho nacho kichwani.

Mkataba huu ndiyo mkataba mkuu, unaotoa mwongozo kwa mikata mingine yote midogo itakayofuata ambayo haitajadiliwa kama huu.

Hakuna mkataba mdogo utakaokuja kwenda kinyume na mkataba huu mkubwa.

Ni dhahiri mkataba huu mkubwa unaowezesha ile mikataba midogo, hauna muda. Hii inaufanya mkataba huu na mingine yote itakayofuata kuwa ya kishenzi.

Mkataba huu kwa kuwa ndio pekee uliofika bungeni, ndio uliotakiwa kutamka ukomo wa mkataba, na kueleza kuwa mikataba mingine yote midogo itakuwa ndani ya muda wa mkataba mkuu, maana yake muda unaweza kuwa ule wa mkataba mkuu au pungufu. Hilo halikusemwa kwenye mkataba mkuu.

Mkataba huu ni kama uliandaliwa na DP, na akina Mbarawa walipewa tu kwaajili ya kusaini. Maana ni mkataba ulioegemea kuilinda DP na kuoangamiza nchi.
 
Kwanza napenda kumpongeza Tundu Antipass Lissu kwa kuwa Mtanzania pekee hadi sasa aliyekuja na uchambuzi wa kihoja kwenye suala la Makubaliano ya Tanzania na Dubai kuhusu masuala ya Bandar...
Natamani angetoka mwanasheria mkuu wa serekali akaeleza mbivu na mbichi za mkataba huu
 
Kwanza napenda kumpongeza Tundu Antipass Lissu kwa kuwa Mtanzania pekee hadi sasa aliyekuja na uchambuzi wa kihoja kwenye suala la Makubaliano ya Tanzania na Dubai kuhusu masuala ya Bandar...
Nilichogundua hujui kingereza hivyo tafsiri imekushinda. Sasa sijui ulipitaje na ukawa mwanasheria
 
Lissu yuko sahihi, huwezi kusign kitu chochote bila kujua mwekezaji atafanya nini, atawekeza kiasi gani, tutapata kiasi gani , tuna faidika vipi, terms na conditions ziko vipi, sisi tunafanya...
Kwa iyo IGA ndo iseme uwekezaji kwenye kila Bandari? Unajua hata maana ya IGA? Sasa HGA itakuwa na kitu gani?
 
Nilichogundua hujui kingereza hivyo tafsiri imekushinda. Sasa sijui ulipitaje na ukawa mwanasheria
Kuna kiingereza kama lugha ya kuongea na kiingereza cha kisheria!! Unamaanisha sijui kipi?
 
Kama na wewe ni msomi mwanasheria, basi kweli hii nchi, ndiyo maana wengi wanasema elimu yetu ni duni sana. Labda kama umetoa hizi hoja kwa sababu ya unafiki, lakini siyo ndicho ulicho nacho kichwan...
Kwa hiyo unamaanisha HGA hazitakuwa na ukomo wa muda? Samahani wewe ni mwanasheria?
 
Kiukweli huu ni mkataba mbaya sana kuwahi kutokea duniani

Ni Tanganyika tumeletewa na samia

Waarabu wamelenga kuiangamiza kabisa Tanganyika kwa kuwatumia viongozi wasio waaminifu waliokalia viti

Watanganyika amkeni muidai nchi yenu mtauzwa wao wakstaafu wataenda kupongezwa walikowauzeni
Waandishi wa habari 40? Fikiria humu Jf wapo wote. Sasa hoja kama hizi zako zitapingwa kila dk kwa mabandiko mapyaaaa
 
Kwanza napenda kumpongeza Tundu Antipass Lissu kwa kuwa Mtanzania pekee hadi sasa aliyekuja na uchambuzi wa kihoja kwenye suala la Makubaliano ya Tanzania na Dubai kuhusu masuala ya Bandari.

Namfahamu Tundu Antipass Lissu kama mwanasheria mzuri sana. Nimeshiriki nae kwenye kazi kadhaa hivyo sina mashaka na ujuzi wake kwenye masuala ya Sheria.

Pamoja na haya leo napenda kupingana na Mwanasheria huyu mwenzangu katika uchambuzi wake katika masuala ya Bandari na hii ni kwa sababu najua anajua kuwa amepotosha na ni kweli na hakika kuwa katika suala hili ndugu yangu Lissu amepotosha sana.

Kwa nini Tundu Antipass Lissu amepotosha?

Kuhusu suala la Muda wa ukomo wa Mkataba!!
Lissu amesema kabisa huu mkataba unafuatiwa na Mkataba wa Host Government Agreement ila bado anajichanganya kwa kusema kuwa endapo hakutakuwa na Host Government Agreement mkataba huu utakuwa wa milele. Hapa Wakili wangu amepotosha vibaya sana. Katika Mkataba huu, Ibara ya Kwanza Ibara ndogo ya 2 ( Article 1(2))inaelezea ulazima wa pande zote ikiwemo Tanzania kuingia katika makubaliano ya Host Government Agreement!

Katika ibara hii kuanzia vipengele a, but hadi c vimeelezea wazi kabisa kuhusu HGA zitakazoingiwa kuhusu maeneo husika.

Sasa swali langu kwa Lissu tuseme hakuona hiki kifungu cha mkataba? Anapotosha kwa maslahi gani?

Kuhusu Mkataba kutosema faida tunazopata na uwekezaji unaofanyika ni wa kiasi gani?
Kusema kweli hapa Wakili msomi Lissu kama hafanyi upotoshaji wa makusudi basi atakuwa ameanza kuzeeka.
Article 1(2) c ya Mkataba huu inasema wazi na nakinukuu hapa,

" Tanzania agrees each relevant HGA and each relevant project agreement to which it or state authority is a party shall be the contractual framework for Tanzania and the State Authority's contractual rights, obligations and undertakings under or in connection with the relevant project"

Maana ya hiki kifungu ni kwamba kutika makubaliano ya HGA kuhusu mradi husika mfano iyo sehemu ya Bandari atakayopewa mwekezaji haki zote na wajibu wote ndo vitaelezwa humo ikiwemo uwekezaji ni kiasi gani, faida kwa Tanzania kuhusu uwekezaji huo ni kiasi gani na kila kitu kingine.

Logic behind kifungu hiki ni kuwa kabla pande mbili hazijaingia mkataba wa HGA hapo lazima wataalamu wa actuary wakae wapige hesabu kuhusu gharama za uwekezaji , faida zitakuwaje na mgawanyo wa kodi na malipo mengine yaweje. Haya yote kimsingi hayawezi kuwekwa katika mkataba huu ila yanapaswa kuwekwa kwenye HGA husika. Sasa Lissu kama mwanasheria najua anajua kuwa haya mambo hayapaswi kuwa katika IGA maana IGA inakuwa general ila HGA inakuwa specific katika mradi husika.

Kuhusu masuala ya Kodi!!
Hapa Wakili msomi Tundu Lissu kusema kweli amekosea kwa sababu anadai itakuwa kama kwenye masuala ya madini wakati hata hajajua kwenye HGA husika wajibu wa mwekezaji utawekwaje na ushiriki wetu kwenye huo uwekezaji utakuwaje??? Ibara ya 18 ya Mkataba huu imesisitiza kuzingatiwa na Sheria na masharti kama yalivyowekwa kwenye HGA. Sasa hapa zijaelewa kabisa hoja za Lissu?
Kwenye kipengele hiki hoja za Lissu zingekuwa na mashiko kama HGA zingekuwa zimeshakamilika na wataalamu wa Actuary hawajahusika katika kuweka hesabu za uwekezaji na faida vizuri. Hivyo sioni kama ana hoja ya msingi kwenye hili

Kuhusu kwenye Bandari za kuuzwa ingawa nakubaliana na Lissu kuwa muungano wetu una changamoto kwa kuwa naamini kama kweli ni muungano basi ulitakiwa kuwa wa serikali moja ila bado sikubaliani na Lissu kuhusu kusema Bandari zetu zimeuzwa.

Nimesoma mkataba wote, nimepitia kifungu kwa kifungu na kusema kweli hakuna sehemu mkataba huu umewapa watu wa Dubai Bandari. Mkataba huu umeonesha kuwa tutashirikiana katika masuala ya Bandari katika maeneo yatakayokubaliwa kwenye mkataba mwingine wa HGA ambapo sisi tutasema tushirikiane nao katika Bandari ipi au eneo lipi la uwekezaji na kwa masharti yapi. Hakuna sehemu imesemwa Bandari zote wamepewa au wanapewa. Lissu amepotosha sana.

Kuhusu Uzanzibari wa Samia na Prof Mbarawa hapa napo naona Lissu ameongea kama mwanasiasa ila sio kama mwanasheria. Unapohoji uraia wa mtu lazima uwe na msingi wa kuhoji. Kwa nini hakuhoji alipoamua alipwe posho zake alizozurumiwa kipindi cha awamu ya 5? Hapo hakuona kama anafanya kwa Uzanzibari wake?

Kwa nini hakuhoji wakati mazungumzo yake na Rais yalifanya afutiwe kesi zote na kupewa passport yake?

Kusema kweli hapa Lissu anapotosha kwa sababu hakuna Bandari yeyote iliyouzwa au kugawiwa hadi sasa. Hizi ni siasa za majitaka
Sehemu pekee unayoweza mjibu Lissu Kwa utulivu ni nyuma ya keyboard tu.

Zaidi ya hapo, Lumumba hawana mtu wa kumjibu Lissu.
 
Back
Top Bottom