Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
- #81
Nani kasema huwezi kuvunja? Uwe na muda kwani tumewapa project gani kwa mujibu wa huu mkataba?Mkataba hauna muda maalum hauwezi kuvunjwa du, upambe mbaya Sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kasema huwezi kuvunja? Uwe na muda kwani tumewapa project gani kwa mujibu wa huu mkataba?Mkataba hauna muda maalum hauwezi kuvunjwa du, upambe mbaya Sana
Leo nimekuwa mzee wa umate mate tena?Popote utakapomuona GUSSIE na Lord denning ujue Kuna umatemate
Huwezi wakosa hao mapacha kwenye dili zenye na mpunga
Ukija na hoja hautakataliwa. Ukija na upotoshaji hapo utakataliwaIna maana wanaojua kusoma huu mkataba ni ccm pekee? Maana akichambua mwingine mnasema amepotosha, acheni hizo!!!
Mnakaza mafuvu, mnajizima data eh
Nakukubali jembe langu,wewe na GUSSIE nikiwaona humu najua Kuna pesa ipoLeo nimekuwa mzee wa umate mate tena?
Aahaaaa mkuu ukipata kidogo nirushie jero kwenye Tigo pesa yanguDaaah 🤣🤣🤣
Mkuu mimi mzalendo tu. Sina bei kwa kweli.Aahaaaa mkuu ukipata kidogo nirushie jero kwenye Tigo pesa yangu
Sawa mkuuMkuu mimi mzalendo tu. Sina bei kwa kweli.
Humu kuna upotoshaji mwingi sana sasa wakongwe na tunaojua ni upotoshaji lazima tuseme
Pamoja sanaSawa mkuu
Mimi sijaiona hoja yako ndiyo sababu nikasema mahakama kutoa hukumu tofauti na mahakama nyingine si upotoshaji.Ni sawa ila nimeeleza kihoja kwa nini anapotosha
Una haki ya kuona hivyoMimi sijaiona hoja yako ndiyo sababu nikasema mahakama kutoa hukumu tofauti na mahakama nyingine si upotoshaji.
Kwahiyo kwako ni upotoshaji!Una haki ya kuona hivyo
Mkuu umemkumbusha ukweli ambao yeye hawezi ukumbuka, Humu kuna wanaofaidika na issue ya bandari eidha ndugu zao ndy wenye kuhongwa ama wenye maslahi dili likitiki. Sasa lazma waje humu watapike ugholo ili wenye ufahamu mdogo wawaelewe. Hapo wamechemsha kabsaaa.Wakati wa sakata la gas ya Mtwara walitokea wanaojiita wanasheria nguli kuliko ww. Wakimwaga faida kibao tutakazopata, wakawa wanasema bomba la mafuta likifika Dar mgao wa umeme utakuwa historia. Wakasema umeme wa gas utazalisha 5,000mw, na ikifika 2020 tutakuwa tunauza umeme nje. Wakati huo ilisemekana wanaopinga uwekezaji huo hawaitakii nchi hii mema.
Leo hii mgao wa umeme umeisha baada ya bomba la gas kufika Dar? Je umeme wa gas unafikia hizo 5,000mw? Hii ni 2023, je tunauza umeme nje? Huu utetezi unaofanya hapa, hata wenzako ndio waliufanya wakati watu wanauawawa huko Mtwara kwa ajili ya kuwekeza kwenye gas. Kwenye suala la Uzanzibari Lisu ana hoja ya wazi, je bandari za Zanzibar ziko kwenye hayo makubaliano, na kama haziko ni kwanini?
Kwa mujibu wa nilivyomuelewa ambayo ni haki yangu piaKwahiyo kwako ni upotoshaji!
Kwani Gas ya Mtwara haijaleta faida? Unajua viwanda vingi Dar sasa vinatumia Gas kuzalisha?Mkuu umemkumbusha ukweli ambao yeye hawezi ukumbuka, Humu kuna wanaofaidika na issue ya bandari eidha ndugu zao ndy wenye kuhongwa ama wenye maslahi dili likitiki. Sasa lazma waje humu watapike ugholo ili wenye ufahamu mdogo wawaelewe. Hapo wamechemsha kabsaaa.
Popote utakapomuona GUSSIE na Lord denning ujue Kuna umatemate
Masikini Tanganyika na watu wake 59,000,000...! Asilimia 21% ya wajiriwa wa TPA wanatoka nchi jirani ya Zanzibar yenye watu 1,800,000 sawa na asilimia 3% ya Watanzania!Huwezi wakosa hao mapacha kwenye dili zenye na mpunga
Hili la muundo wa muungano hata mimi nimelisemea sana humu. Kama tuliungana ilitakiwa tuwe nchi moja yenye serikali moja tuView attachment 2662888
Masikini Tanganyika na watu wake 59,000,000...! Asilimia 21% ya wajiriwa wa TPA wanatoka nchi jirani ya Zanzibar yenye watu 1,800,000 sawa na asilimia 3% ya Watanzania!