Uchumi unaanguka, Rais Samia aambiwe ukweli

Uchumi unaanguka, Rais Samia aambiwe ukweli

Mkuu umenikosha Sana. Mimi nagombana na watu Kila siku wanaosema eti huyu mama nchi imemshinda. Nawauliza kipi kimekwama? Maana mwanzoni kabisa walisema mama atarudisha ada mashuleni. Wakapigwa chenga la mwili na badalayake ada ya kidato Cha tano na sita ikafutwa. Wakaanza ooo Bora angefuta ada vyuo vya Kati . Nikawauliza huyu Mungu wenu wa chato mbona hakufuta ada ya vyuo vya Kati? Shukuruni hata hiki kidogo basi. Wami juzi imefunguliwa walikuwa wanasema kaitelekeza miradi ya magufuli. Hapa lushoto lami zinamwagwa tu na barabara za pembezoni zinachongwa. Lakini miaka 5 ya magufuli sikuona kitu Kama hiki. Madarasa , maabara pesa inaiingia mashuleni zinajengwa na wazawa local fundis pesa inabaki kwenye mzunguko. Mimi nilikuwa nimalze Mdogo angu alikuwa amalize mkopo wa chuo 2027 Ila kwa huruma ya mama mwakani anamlza mkopo. Ila kingine watanzania hatufuailii kinachoendelea sehemu nyingine za dunia. Ulaya maisha maguma , America mpaka maandamano kwa sababu ya mfumuko wa Bei.. kwahiyo kwangu Mimi mama anaenda vizuri tu.
Huna akili una mapenzi yaliyokufanya uwe ukiongea bila kufikiri.
 
Sawa hapa tunakubali.kuna uzembe wa serikali but sio sawa kulaumu Samia as if hii Nchi ndio anaianzisha yeye wakati watu wamekuwepo Marais 5 kabla ila walikuwa wanapiga blaa blaa na wengine kuweka pesa kwenye vyanzo hatarishi kama maji..
Samia ndiye aliyeko madarakani sasa, na haonyshi kuwa na dira wala uthubutu wa kufanya tofauti na hao wengine.

In fact, akili yake imelala kabisa kwenye mambo ya uthubutu wa kufanya jambo lolote linaloweza kuifanya Tanzania ionekane imefanya jambo la muhimu zaidi.

Yeye ni kama anashikilia tu kwa muda, hadi hapo atakapopatikana kiongozi mwenye dira na uthubutu.
Anasukuma tu muda na vimiradi, kama hicho cha Same, ambacho hata wala siyo yeye aliyekibuni.
 
Sasa with those matatizo ndio kwamba uchumi unaangukia?

Lini uchumi haukuanguka and so matatizo yaliisha?

Acha upuuzi Jenga hoja yako Kwa namna inayofaa sio kupinga unga vipisi vya ujinga ujinga..

Uchumi ungeanguka makampuni makubwa yangepata faida? Banks zingeoata faida? Si ungesikia bad loans na vilio vya Biashara kufungwa?

Sema serikali ipunguze matumizi yasiyo na msingi badala ya kuunga unga upuuzi hapa [emoji116]

View attachment 2403896View attachment 2403898View attachment 2403900View attachment 2403901View attachment 2403902View attachment 2403903
Chawa kazini
 
Hapana mkuu, ukame sio sababu tukabiliwe na tatizo la maji, tatizo ni watanzania wenyewe ambao wamegeuka kuwa vipofu kwa politicians wao ambao wana total power kufanya chochote kwa mazuzu haya,why hatukujenga dams za kuhifadhi maji ili yatusaidie wakati huu wa ukame?

Why nchi yenye 3 big lakes ya fresh water bado tunalalamika kuhusu maji?,water desalination kama tungekuwa na uhakika wa tanesco tungeweza kufanya, we must think outside the box, soma hii wakati jiji la Capetown linakabiliwa na day zero, walifikiria wakavute yale mabonge ya barafu kutoka South pole, yasikumwe na upepo na yanapofika pwani ya SA lisukumwe kwa tankers hadi pale Saddana port, ufikiri huu ndio tunahitaji nchi yetu mkuu.
Boss hatuhitaji hata hizo dams or big lakes labda kwa big cities, almost kila kona Tanzania chini ya ardhi kuna aquifer zimejaa maji safi kuliko bahari ya Hindi, mfano miji karibu yote ya US wanatumia maji ya ardhini (visima) na wamemaliza hilo tatizo la maji kwa 100% na maji ni mojawapo ya kitu bei rahisi kuliko hata mkate, niliwahi kutembelea water supply ya city ya watu 100,000 in US jamaa alitueleza maji yote ya city source ni visima 10 walivyochimba vinavyopeleka maji kwenye water treatment plant and distribution towers, kila siku wana surplus ya maji na hawajawahi kupata tatizo la maji for as long as he can remember, nafikiri pia swala maji kila mji/kata wawe na solution zao na sio swala la kitaifa
 
Ondoa CCM nafuu itapatikana. Làkini Kama wanahonga ofisi na kujazwa mwenye kikosi kazi ....Nani kakwambia akili itakuwepo
 
Kipindi kile Cha mwendazake watu walipolalamika mliwaambia andamaneni,

Na Sasa tunasema andamaneni kama hammuelewi Maza.

Ful stop.
 
Samia ndiye aliyeko madarakani sasa, na haonyshi kuwa na dira wala uthubutu wa kufanya tofauti na hao wengine.

In fact, akili yake imelala kabisa kwenye mambo ya uthubutu wa kufanya jambo lolote linaloweza kuifanya Tanzania ionekane imefanya jambo la muhimu zaidi.

Yeye ni kama anashikilia tu kwa muda, hadi hapo atakapopatikana kiongozi mwenye dira na uthubutu.
Anasukuma tu muda na vimiradi, kama hicho cha Same, ambacho hata wala siyo yeye aliyekibuni.
Unasumbuliwa na chuki binafsi na pengine hata hujielewi..

Rais Samia katoa maelekezo ya maji yaliyokuwa yaishie Kigamboni yaje Dar(mradi mpya?,

Samia katoa maelekezo ya wahusika wote wanaochepusha maji mto Ruvu washughulikiwe,

Samia ndio anajenga Bwawa la kidunda (lilishindikana toka uhuru),

Samia ndio anajenga Bwawa la farkwa Dodoma(likikuwa story toka uhuru),

Samia ndio anajenga miradi ya maji ya miji 28 Tanzania nzima(ilikuwa hadithi awamu ya 5),

Samia ndio amejenga miradi ya uviko ya Maji Nchi nzima zaidi ya bil.320 na Sasa kupitia Ruwasa anajenga zaidi ya miradi 1000 Nchi nzima(wenye mbupu mlishindwa),

Samia amekwamua miradi iliyojifia toka 2010 sasa anaikwamua..

Samia anajenga mabwawa makubwa Mikoa acha hayo hapo juu zaidi ya 13 Ili kufanya umwagiliaji na matumizi ya kawaida.

Kiufupi Rais Samia ndio game changer wa Tanzania hii ila nyie wapumbavu mliozea kupelekwa kama punda hamjui kinachofanyika kwa sababu hamtafuti taarifa na Rais wa Sasa hana mda wa pambio..

Uchaguzi ukija mkiangukia pua ndio mtaanza kulalama ooh sijui tumeibiwa ooh blaa blaa kibao za kipumbavu..

Sasa iko hivyo sekta zote kuanzia umeme ,kilimo,hadi Michezo 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221031-190138.png
    Screenshot_20221031-190138.png
    324.5 KB · Views: 1
  • Screenshot_20221014-211708.png
    Screenshot_20221014-211708.png
    215.8 KB · Views: 1
  • Screenshot_20221027-215611.png
    Screenshot_20221027-215611.png
    179.4 KB · Views: 2
  • Screenshot_20221029-214659.png
    Screenshot_20221029-214659.png
    158.6 KB · Views: 1
  • Screenshot_20221030-082814.png
    Screenshot_20221030-082814.png
    45.2 KB · Views: 1
  • Screenshot_20221030-082935.png
    Screenshot_20221030-082935.png
    206.2 KB · Views: 1
  • Screenshot_20221030-083019.png
    Screenshot_20221030-083019.png
    125.5 KB · Views: 1
  • Screenshot_20221031-190132.png
    Screenshot_20221031-190132.png
    302.8 KB · Views: 1
  • Screenshot_20221005-104854.png
    Screenshot_20221005-104854.png
    210.4 KB · Views: 1
Mlima kilimanjaro unateketea sisi tunapaisha Ndege na karatasi ya sensa.

Mtungi wa gesi mdogo 24, 000 mazuzu yanakushangilia tu.

Gunia la Mahindi leo linauzwa 100,000. Maharage 200,000 yaani ni mfumuko wa bei juu ya mfumuko wa bei.

Maji yamekuwa adimu Sana utafikiri unatafuta gold kwenye mgodi wa Nyamongo.

Umeme leo umekuwa anasa mjini dsm ukiongeza na joto limefika 33c hapo hakuna feni Wala AC ni mwendo wa kuungua ndani kwa ndani.

Rais ashauliwe kama hataki aambiwe ukweli aachane na mambo ya anasa afanye mambo ya msingi tu.

Tumeshindwa kuomba msaada wa kuzima moto mlima kilimanjaro?

Msitu wa amazon ulipoungua hatukujifunza?

Hii nchi now awamu ya sita kipaumbele chake ni vijisherehe na kusafiri tu sio kutoa Huduma za msingi kwa watanzania.

Serikali ya kifisadi kuliko zote toka tupate uhuru mnachota tu pesa na walala hoi na kuzipeleka kwenye mambo ya kipumbavu.

Hakika huu mchongo tumepigwa Watanzania.
Mkuu kama mahindi bei kubwa kwa nini usile magome ya miti?Tembo wanaishi vizuri tu kwa kubugia magome ya miti.Mimi mchokozi.
 

Attachments

  • Screenshot_20221101-211629.png
    Screenshot_20221101-211629.png
    90.7 KB · Views: 1
  • Screenshot_20221030-082935.png
    Screenshot_20221030-082935.png
    206.2 KB · Views: 1
  • Screenshot_20221030-082814.png
    Screenshot_20221030-082814.png
    45.2 KB · Views: 1
  • Screenshot_20221030-083019.png
    Screenshot_20221030-083019.png
    125.5 KB · Views: 1
  • Screenshot_20221029-214659.png
    Screenshot_20221029-214659.png
    158.6 KB · Views: 1
Mlima kilimanjaro unateketea sisi tunapaisha Ndege na karatasi ya sensa.

Mtungi wa gesi mdogo 24, 000 mazuzu yanakushangilia tu.

Gunia la Mahindi leo linauzwa 100,000. Maharage 200,000 yaani ni mfumuko wa bei juu ya mfumuko wa bei.

Maji yamekuwa adimu Sana utafikiri unatafuta gold kwenye mgodi wa Nyamongo.

Umeme leo umekuwa anasa mjini dsm ukiongeza na joto limefika 33c hapo hakuna feni Wala AC ni mwendo wa kuungua ndani kwa ndani.

Rais ashauliwe kama hataki aambiwe ukweli aachane na mambo ya anasa afanye mambo ya msingi tu.

Tumeshindwa kuomba msaada wa kuzima moto mlima kilimanjaro?

Msitu wa amazon ulipoungua hatukujifunza?

Hii nchi now awamu ya sita kipaumbele chake ni vijisherehe na kusafiri tu sio kutoa Huduma za msingi kwa watanzania.

Serikali ya kifisadi kuliko zote toka tupate uhuru mnachota tu pesa na walala hoi na kuzipeleka kwenye mambo ya kipumbavu.

Hakika huu mchongo tumepigwa Watanzania.
Magufuli alikuwa katili na jambazi.

Mama anaendekeza starehe na safari.

"........ mtanikimbuka......" ilisikika sauti ya yule mwanaume. Alikataa kupandisha bei ya umeme mara tatu. Aliamuru kuondoa tozo takribani 80 kwa wananchi wake.

Alipanmbana kuwekeza ili watu wapate unafuu wa huduma za jamii na miundonbinu.

R. I. P Magufuli
 
Huna akili una mapenzi yaliyokufanya uwe ukiongea bila kufikiri.
We ndoo mjinga Sasa Kama kanifanyia wema nisiseme nikalie kulia lia Kama wewe. Huyo mbwa wenu wa chato alitutesa Sana aendelee kuungua alipo. Imagine alipandisha riba ya mkopo kutoka 8% mpaka15% . Katili Mungu aliamua kulichukua tu.
 
Sawa lakini kuna nafuu awamu hii..

Serikali inaanza kujenga Bwawa la kidunda mwezi huu,Mchina kapatikana bil.345..

Serikali inaendelea na ujenzi wa Bwawa la farkwa Dodoma ,zaidi ya bil.320.

Mabwawa mengine ya kati yako yanendelea na ujenzi maeneo mbalimbali achilia mbali miradi ya Mwendazake..

Kiufupi Nina Imani kidogo na awamu ya 6 kwa sababu wanajua kutafuta pesa ila shida yao hawajui kujibana,hapa kwenye kujibana wangejitahidi Ili kuokoa pesa..

Hakuna sababu za kuficha ushabiki na mimi huwa napongeza panapostahili na kukosoa wanapozingua..

Mwisho huyo anayesema uchumi haukui nadhani hana Takwimu uchumi wetu uko na growth rate ya 5.4% 👇
Uingereza kumetokea mfululizo wa kujiuzulu kwa nafasi ya waziri mkuu katika kipindi kifupi, sidhani kama hawakuwa na sababu za kujitetea ili kuendelea na uongozi na kuonekana hawana makosa.
 
Mlima kilimanjaro unateketea sisi tunapaisha Ndege na karatasi ya sensa.

Mtungi wa gesi mdogo 24, 000 mazuzu yanakushangilia tu.

Gunia la Mahindi leo linauzwa 100,000. Maharage 200,000 yaani ni mfumuko wa bei juu ya mfumuko wa bei.

Maji yamekuwa adimu Sana utafikiri unatafuta gold kwenye mgodi wa Nyamongo.

Umeme leo umekuwa anasa mjini dsm ukiongeza na joto limefika 33c hapo hakuna feni Wala AC ni mwendo wa kuungua ndani kwa ndani.

Rais ashauliwe kama hataki aambiwe ukweli aachane na mambo ya anasa afanye mambo ya msingi tu.

Tumeshindwa kuomba msaada wa kuzima moto mlima kilimanjaro?

Msitu wa amazon ulipoungua hatukujifunza?

Hii nchi now awamu ya sita kipaumbele chake ni vijisherehe na kusafiri tu sio kutoa Huduma za msingi kwa watanzania.

Serikali ya kifisadi kuliko zote toka tupate uhuru mnachota tu pesa na walala hoi na kuzipeleka kwenye mambo ya kipumbavu.

Hakika huu mchongo tumepigwa Watanzania.
kwa akili yako unadhani samia hajui hayo?
 
Uchumi wa Tanzania ulishawahi kukua lini hata ukaleta unafuu kwenye maisha ya watu wa kawaida?
Watz tumewazoea kila anapotawala mwislamu baaasi atadharauliwa mpaka na wapuuzi kabisa
Kwani waislamu wanafaidika nini kwa Samia kutawala hadi iwe shida kwa wengine?
 
Mkuu umenikosha Sana. Mimi nagombana na watu Kila siku wanaosema eti huyu mama nchi imemshinda. Nawauliza kipi kimekwama? Maana mwanzoni kabisa walisema mama atarudisha ada mashuleni. Wakapigwa chenga la mwili na badalayake ada ya kidato Cha tano na sita ikafutwa. Wakaanza ooo Bora angefuta ada vyuo vya Kati . Nikawauliza huyu Mungu wenu wa chato mbona hakufuta ada ya vyuo vya Kati? Shukuruni hata hiki kidogo basi. Wami juzi imefunguliwa walikuwa wanasema kaitelekeza miradi ya magufuli. Hapa lushoto lami zinamwagwa tu na barabara za pembezoni zinachongwa. Lakini miaka 5 ya magufuli sikuona kitu Kama hiki. Madarasa , maabara pesa inaiingia mashuleni zinajengwa na wazawa local fundis pesa inabaki kwenye mzunguko. Mimi nilikuwa nimalze Mdogo angu alikuwa amalize mkopo wa chuo 2027 Ila kwa huruma ya mama mwakani anamlza mkopo. Ila kingine watanzania hatufuailii kinachoendelea sehemu nyingine za dunia. Ulaya maisha maguma , America mpaka maandamano kwa sababu ya mfumuko wa Bei.. kwahiyo kwangu Mimi mama anaenda vizuri tu.
Ni kweli Ulaya maisha magumu kiasi hadi viongozi wao wanajiuzulu kuonesha uwajibikaji ila Tanzania ndio kwanza serikali inafanya matumizi mabaya ya fedha katika kipindi hiki cha hali ngumu huku wakiwa wameweka tozo ambazo wananchi wakilalamika wanajibiwa kuwa kama hawataki wahame nchi ni tofauti kabisa na huko Ulaya, shida ya umeme imeanza kitambo na kila muda imekuwa zikibadilishwa sababu za hiyo shida ya umeme hadi sasa wanatembelea sababu ya ukame.
 
Hatujawahi kupata nafuu wanakuja wanakufa wanakufa wengine maisha yaleyale mbaya wetu hatujamjua tu tutamsingizia bure mpemba wa watu tatizo ni CCM na vibalaka wao .
 
Back
Top Bottom