Uchunguzi: Ngono zembe inaharibu bahati na future

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
nakubali kwa 100% Taikoni wa fasihi, sema namalizia kazi ya mwisho tu halafu sirudii tena...NB : Nilianza nayo mda mrefu ikanisumbua sana nikaipotezea miaka kama mi4 hivi saizi iimerudi kwa speed ya 8G pia ipo vizuri zaidi ya jana na inaonesha kabisha inataka kunipa kitu, tutaonana kwenye uzi pendwa wa rikiboy mambo yakikwiva..na baada ya hapo RASMI NAACHA TABIA.
 
Does this only apply to africans? Mbona wazungu wanazini sana na uasherati kuoitiliza na bado wao ndio wenye mihela hapa duniani? Mwengine juzi juzi tuu hapa kawa mfalme pamoja na roho mbaya ya mama yake lakini wapi, jamaa kaula.
Exceptional zipo ila ni kwa wateule wachache sana na kunakuwa na sababu zake Mungu mwenyewe sasa wewe fanya sema mbona Daudi pamoja na kuua na kuchukua mke wa mtu bado alikuwa na nguvu ya Mungu uone kitakachokupata.
 
Kama Mungu angetaka mwanaume awe na wake wengi kwa nini alimpa Adamu mke mmoja tu?

Ukiweza kujibu hilo swali utapata jibu la hili swali
 
Exceptional zipo ila ni kwa wateule wachache sana na kunakuwa na sababu zake Mungu mwenyewe sasa wewe fanya sema mbona Daudi pamoja na kuua na kuchukua mke wa mtu bado alikuwa na nguvu ya Mungu uone kitakachokupata.
Hamna lolote yule mzee wa playboy alikuwa anajigegedea tuu warembo na mambo yanaenda tuu.
Hii bwwana kila mtu anaweza toa mfano wa hasi na chanya. Sio wapenda ngono zembe uishi kulata mikosi.
Tule mbususu jameni tusitegeeane
 

Kwa hiyo unataka kusema nishapiga kina Cherokee d’Ass, Ayana Angel, Jada Fire,Mia Khalifa, Asa Akira, Kira Noir daah!..
 
Mimi ninakuunga Mkono maneno yako kwa Asilimia 1000%1000 Ni kweli kabisa Uzinzi ndio chanzo cha umasikini Mkubwa hata dini zetu 2 dini ya kiislam na dini ya kikristo zinakataza Kufanya zinaa aka uzinzi. Uzinifu unaleta ufukara katika mwili wako ukiwa wewe unadumu kuzini basi utakufa masikini tujiepusheni jamani na mambo ya Uzinzi Hongera Mkuu kwa kuzungumza maneno yako ya Point kubwa.
 
Mkuu ROBERT HERIEL, kichwani mwako una kitu cha ziada!! Sio akili tu, maana akili wote tunazo.. aidha uwezo wako uko juu sana.
 
Mbona waigiza picha za kumi kwa kirumi wana mijihela au mijifweza???kuleni mbususu wakuu kwa raha zenu
 

Ufu 21:8 SUV​

Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.
 
Waambie pia waache kufira.."kusukuma tope" watoto wa watu..
 
kuna dhambi moja tu isiyosameheka,nayo ni'kumkashif roho mtakatifi"
 
Nakuunga mkono 100% ngono zembe huleta nuksi na mikosi isiyokwisha, ukwamisha mambo mengi hata ukiwa mkulima au mvuvi hupaswi kwenda kuvua au shambani ukiwa mchafu, andiko lako linafikirisha katika namna chanya

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Habarini wanajamvi, Naomba mtu anitumie Uzi fulani wa siku za nyuma Mwezi huu wa kwanza 2023, Ulikua unaelezea mtu anapokutana kimwili na watu tofauti tofauti anaweza kubeba mabalaa na mikosi. Ahsante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…