Uchunguzi: TB Joshua aliwanyanyasa na kuwabaka wafuasi wake
Kinachofurahisha kwenye hii story, Wahanga ni waumini wa Kizungu kwenye kanisa la mtu mweusi katika dini waliyoileta wao Wazungu wenyewe. 😅

Hatari ninayoina ni moja; kwa sasa 'neno la mwanamke' linachukuliwa kama ni ushahidi kwenye kesi hizi dhidi ya watu maarufu. Hali hii ikiendelea watu wengi watachafuliwa na kuumizwa. Marekani, kumekuwa na mfululizo wa kesi ambazo Rappers wengi wameshtakiwa kwa unyanyasaji, kwa story tu za wanawake.
 
Fair warning for Boniface Mwamposa, the Tanzanian Kingpin of haywire commercial christianity.
 
Read this book.
Screenshot_20240108-213415.jpg
 

Attachments

Hawa BBC ndo waliibua yale madudu ya Kenya. Mwanzoni watu waliwadhihaki hivihivi baadaye serikqli ikachukulia issue serious na kugundua mambo mazito. Kama Hawa mashahidi wote wamefanya kazi kwa TB Joshua Tena kama mitume kwenye inner circle yake basi kuna jambo. Ukiangalia zile documentary wote wanaonekana wakihudumu. Huyu mwingira si alishitakiwa kuzaa na mke wa muumini alipotakiwa kwenda kupima DNA ya mtoto si aligoma why?
Sawasawa..
 
MTU alifariki 2021. Leo BBC ndio wanaleta Taarifa. BBC Wana Tabia ya kukuCrash Dini za Watu. Ili akamatwe Nani? Marehemu hayupo kujitetea, lolote Juu Yake laweza kusemwa. RIP TBJoshua Mtumishi WA Yesu Kristo.
 
B
Nini huwa kinawasukuma BBC kutayarisha documentaries nyingine mbalimbali?
Unachopaswa kuelewa ni kwamba chombo chochote cha habari huwa kina vigezo/checklist/threshold ili jambo fulani liwe habari , hii documentary ya TB Joshua ni habari ya kiuchunguzi tu iliyowekwa katika mtindo wa documentary.
BBC wakafukunyue taarifa za Watangazaji wao Mashoga wenye Wake na Wapenzi wa Vijana Wadogo. WaTUACHIE NAbii wetu TB Joshua apumzike Kwa Amani. Wanakosa taarifa za kutafuta??
 
Back
Top Bottom