Nimeziona hizo documentaries,
Lakini hakuna mahala ambapo ubalozi wa Uingereza ulialifiwa lakini ukashindwa kumchukulia hatua yungali hai!
Nipe ushahidi wa hilo, msilazishe mambo tu!
Mkuu,
Watu wamezuzuliwa wamekuwa brainwashed, wametishwa, wamekuwa totally broken inside a cult, wameshindwa kuwa huru mpaka TB Joshua kafa ulitaka waripoti ubalozi kivipi?
Watu wamedanganywa hata pasi zao wameshindwa kukaa nazo, unategemea wakaseme ubalozini? Unajua mentality ya cults inavyokuwa? Hawa watu huwa wanaambiwa wajiue kama na Kibwetere Uganda, Mackenzie Kenya au Jim Jones, David Koresh na Heavens Gates USA, na wanajiua, wewe unashangaa hawajaenda kushitaki ubalozini?
TB Joshua alikuwa anaongoza cult.
Unaelewa haya mambo yanavyokuwa au unafikiri wale watu wanakuwa na akili sawa na watu wazima?
Kubakwa na abuse huwa haiwi iama unavyotaka iwe. Watu wengi wanaobakwa nankuwa abused, hususan vijana wadogo, huwa wana self hate. Ma Joshua alikuwa na narrative kanisani mwake, watu wakija wakisema wamekuwa raped, yeye alikuwa anawalaumu waliokuwa raped kwamba wao ndio walikuwa na makosa ya kushawishi watu wawabake, kwa kuvaa vibaya, kuwa temptress and Jezebels. Sasa hapo wanandeal nanpowerful figure ambaye hata mtoto wake mwenyewe kamkataa na mtoto kashindwa kusema ukweli kwa kujua hataaminiwa, unafikiri ni kitu rais kumsemea?
Watu huwa hawabakwi na kukimbia kusema polisi kama wameibiwa, kuna saikolojia nzito sana ambayo ni vigumu sana kuielewa.