Uchunguzi: TB Joshua aliwanyanyasa na kuwabaka wafuasi wake
Waulize wafanyakazi wa ndani wanaofanyiwa hivyo uarabuni kama huwa inakuwa ni makubaliano. Human trafficking, na ubakaji uliochanganyika kwenye cults sio jambo rahisi kwa waathirika kutoka kama unavyofikiri.

Wafanyakazi wa bongo tu hapa wengi wanafanyiwa mambo ya ajabu na hawaendi popote wanakuwa kama kuku waliofungwa kamba mguuni.
Kama Wazungu nao wanakuwa kama kuku mbele ya mtu mweusi ni hatua nzuri sana
 
Inawasaidia mbuzi wengine wastuke wasiwe wapumbavu wa kuliwa na hao matapeli.
We nae hebu punguza makasiriko,Kila Mtu anafanya anavyojisikia kama wewe mwerevu endelea kuwa mwerevu waache as long as pesa za sadaka ni zao na hawavunji Sheria ya nchi
 
BBC bhana ni kama magazeti ya udaku tu sasa hivi Jengo lilidondoka miaka hiyo wao walikua mstari wa mbele kumpamba TB leo hii wamegeuka baada ya kuona hawauzi taarifa zake wanakuja kumchafua ili iweje sasa...
 
MTU alifariki 2021. Leo BBC ndio wanaleta Taarifa. BBC Wana Tabia ya kukuCrash Dini za Watu. Ili akamatwe Nani? Marehemu hayupo kujitetea, lolote Juu Yake laweza kusemwa. RIP TBJoshua Mtumishi WA Yesu Kristo.
TB Joshua alikuwa mtumishi wa shetani tu
 
Walishindwa nini kumchunguza kipindi cha uhai wake. Kanisa lilianguka akiwa hai. Leo hii hata kama ni kweli inasaidia nini?

Tatizo linakuja kuwa wanadamu tumewekeza imani kubwa sana kwa Mungu kupitia wanadamu wenzetu. Imekuwa mtu hajiamini kumuomba Mungu moja kwa moja mpaka apitie kwa nabii na mitume, hili linafanya hao manabii wajihisi kuwa na wewe ni miungu pia.

Ifikie wakati watu kwa imani zao wenyewe wavunje hizi cult za manabii na mitume na wajikumbushe na kutambua kuwa Mungu anasikia maombi bila kuhitaji madalali.
 
MY NAME IS 'LEAVE IT FOR GOD' -
Prophet T.B. Joshua

“I am good example of ‘Leave it for God’. Prophet 'Leave it for God'. That is me for you; I know what I am doing. You think I cannot fight? My name is ‘Leave it for God’. Because I will not allow this to affect my future.

The future is very clear - clear and bright. Why should I allow anything to stain that future? The only way they can stain it is to attack and insult you. Your answer to that insult will stain the future. Don’t trade anything with the future. Suffer now and enjoy tomorrow.

Please - be patient for the future. That is the answer. We are not patient for the future; you are too much in a hurry. “I have to defend myself” - no. A time is coming - your future will answer them. Unanswered questions - the future will answer. If you can be patient, that future will answer your critics. Be patient - your future will answer your critics. That is when God will set a table before you and every essential of life will be on the table. The table will answer your critics.

Future is next - an hour to come, a second to come. Your life can change any moment from now! When we say future, people think ten years from now. 'I cannot wait; I am still a student. I am unemployed. I am homeless. How will I arrange my future? What future is this man talking about?' Future belongs to God and future is what we call mystery. How it happens - you don’t know.

The glory - many have lost it. We have to be frank. We got it before and we lost it but God is merciful. Don’t give up. If you have lost it, that is not the end. Be patient for your future. Your future will answer your critics. Your future will answer your enemies. Your future will answer your adversaries."

#TbJoshuaLegacyLivesOn
 
Hii inawasaidia nini wakati the guy is already dead?
Wanasema za kuambiwa changanya na zako,
We nae hebu punguza makasiriko,Kila Mtu anafanya anavyojisikia kama wewe mwerevu endelea kuwa mwerevu waache as long as pesa za sadaka ni zao na hawavunji Sheria ya nchi
Ndio hao kondoo wa TB Joshua wameanza kujitokeza
 
Walishindwa nini kumchunguza kipindi cha uhai wake. Kanisa lilianguka akiwa hai. Leo hii hata kama ni kweli inasaidia nini?

Tatizo linakuja kuwa wanadamu tumewekeza imani kubwa sana kwa Mungu kupitia wanadamu wenzetu. Imekuwa mtu hajiamini kumuomba Mungu moja kwa moja mpaka apitie kwa nabii na mitume, hili linafanya hao manabii wajihisi kuwa na wewe ni miungu pia.

Ifikie wakati watu kwa imani zao wenyewe wavunje hizi cult za manabii na mitume na wajikumbushe na kutambua kuwa Mungu anasikia maombi bila kuhitaji madalali.
Wangemharibia biashara na pia kipindi hicho sio rahisi kupata mashahidi maana wanaweza uwawa.

Taarifa nyeti hutolewaga baada ya mhusika kutokuwepo
 
Na wamesahau kusema pia ni KAFARA.Kuna yule wa kukanyaga mafuta aliua watu kibao pale Moshi,serikali ikamlinda na idadi ya kihuni huni ila uhalisia Watz mnaujua.Halafu BBC Eye wakija na uchunguzi mnasema wanavita na dini.
 
Na wamesahau kusema pia ni KAFARA.Kuna yule wa kukanyaga mafuta aliua watu kibao pale Moshi,serikali ikamlinda na idadi ya kihuni huni ila uhalisia Watz mnaujua.Halafu BBC Eye wakija na uchunguzi mnasema wanavita na dini.
Miafrika ndivyo ilivyo acha itapeliwe
 
Haiondoi ukweli kwamba hamna akili,ndio mumejaa huko Kwa matapeli
Akili ni kutoumia na mambo yasiyokuhusu.sasa Kwa matapeli wanapenda wao,wanatapeliwa wao inakuwaje Tena Mtu na akili timamu unaumia?
 
Akili ni kutoumia na mambo yasiyokuhusu.sasa Kwa matapeli wanapenda wao,wanatapeliwa wao inakuwaje Tena Mtu na akili timamu unaumia?
Mnagaribu kizazi.Kama wewe unakula unga na unaharibika au unaliwa kiboga Ukiwa na akili timamu lazima uumie ila kama wewe ni mbuzi utaona kawaida.
 
Back
Top Bottom