Part 1Mkuu hii umeiandika mwenyewe au una source? Nataka kuitumia sehemu kuelewesha.
Part 1Mkuu hii umeiandika mwenyewe au una source? Nataka kuitumia sehemu kuelewesha.
Part 1Mkuu hii umeiandika mwenyewe au una source? Nataka kuitumia sehemu kuelewesha.
na hiyo ya alisema nayo ni upigaji tu ili kulinda ugali wa akina naniii
Hakika.na hiyo ya alisema nayo ni upigaji tu ili kulinda ugali wa akina naniii
mi sijawahi fuatilia kifo chake ila namsifu kwa maokoto aliyokusanya hata vitukuu wataishi vizuriHakika.
Hivi huyo mzee alikufaga kisa nini??
Yeah alitumia vizuri kujijenga na kuwekeza!mi sijawahi fuatilia kifo chake ila namsifu kwa maokoto aliyokusanya hata vitukuu wataishi vizuri
Sawasawa..Hawa BBC ndo waliibua yale madudu ya Kenya. Mwanzoni watu waliwadhihaki hivihivi baadaye serikqli ikachukulia issue serious na kugundua mambo mazito. Kama Hawa mashahidi wote wamefanya kazi kwa TB Joshua Tena kama mitume kwenye inner circle yake basi kuna jambo. Ukiangalia zile documentary wote wanaonekana wakihudumu. Huyu mwingira si alishitakiwa kuzaa na mke wa muumini alipotakiwa kwenda kupima DNA ya mtoto si aligoma why?
pepo na jehanam ipo humuhumu duniani ni vile tu utaamua uishi vipi..πYeah alitumia vizuri kujijenga na kuwekeza!
Hakikapepo na jehanam ipo humuhumu duniani ni vile tu utaamua uishi vipi..π
Umesahau ile cc hapa π€π’Hakika.
Hivi huyo mzee alikufaga kisa nini??
BBC wakafukunyue taarifa za Watangazaji wao Mashoga wenye Wake na Wapenzi wa Vijana Wadogo. WaTUACHIE NAbii wetu TB Joshua apumzike Kwa Amani. Wanakosa taarifa za kutafuta??Nini huwa kinawasukuma BBC kutayarisha documentaries nyingine mbalimbali?
Unachopaswa kuelewa ni kwamba chombo chochote cha habari huwa kina vigezo/checklist/threshold ili jambo fulani liwe habari , hii documentary ya TB Joshua ni habari ya kiuchunguzi tu iliyowekwa katika mtindo wa documentary.
Niko kama fisi nafuatilia step by step ikitokea naniliu tena kama ile najiweka π’