Nimekwambia nchi za dunia ya kwanza ikiwamo uingereza zinajali sana maslahi ya raia wao.
Ni ngumu kwao kutochukua hatua maslahi ya raia wao yanapoguswa.
Wewe unanipa mfano wa waarabu na watumwa wao blacks.
Asante na kwaheri!
 
Alifanya vizuri kuwa 🖕🖕 Kwa sababu hamna akili 😁😁
 
Uchunguzi umechelewa sana, yalosemwa yote ni makosa ya jinai na mtuhumiwa ni marehemu. Marehemu hashitakiwi Kwa jinai.
Sababu ziko wazi,waumini wa hayo makanisa Baadhi Yao ni watu wa mamlaka na wenye uswahiba wa karibu na marehemu kimasoaho Yao nk.

Kashfa kama hizo zinafichwa sana na RC licha ya kuripotiwa mara Kwa mara ila hakuna hatua kwa sababu nilizoeleza hapo Juu.

Waafrika turejelee dini zetu.
 
Ninavyo jua BBC inatumika kuichafua Afrika na Watu maarufu wa Africa.

Kama kungekuwa na video wangeshaitoa siku nyingi sana.

BBC ya kipindi hiki ni ni chombo cha hovyo sana.
 
Sahih kbsaa mbumbumbu ndio watashadadia upuuz hu
 
Sawa, lakini ushahidi thabiti uwepo siyo hizi porojo.
Ushahidi tayari. Ni jukumu lao kikanusha kwa vielelezo vilevile walivyosema wasemaji..
Wakanushe...Sio huku jf. Huko kwa TBJ
 
Ninavyo jua BBC inatumika kuichafua Afrika na Watu maarufu wa Africa.

Kama kungekuwa na video wangeshaitoa siku nyingi sana.

BBC ya kipindi hiki ni ni chombo cha hovyo sana.
Imetumikaje.. ??
BBC ni wana habari. Sisi tumezoea wanahabari wa kuunga mkono kila kitu!!!
ANAEPASWA KUKANUSHA NI SCOAN. SIO WADAU WENGINE..
 
Anaepaswa kukanusha hii habari ni kanisa...SCOAN.
WENGINE HUMU NI POROJO TU.
 
Too late. Wakati yupo hai kulikuwa na malalamiko mengi sana hakuna aliyeyatilia maanani.

Walikuwa wanalishwa kitu kidogo wanakaa kimya.
 
Hii scenario haijaingia akilini , for more than 10 years mtu anafanya ukatili wa kibinadamu kama huo asijulikane? Kweli vyombo vya sheria viko wapi mda wote kumchunguza ndani ya miaka 10 usijulikane unafanya sexual harrasments kma hizo , ndio ni binadamu na kuna makosa ila kwa nini kabla hajafa havikuzungumzika? Kuna kitu nyuma ya pazia
 
BBC wamepoteza kabisa credibility .......Huyo aliyetolewa mimba mara Tano yeye yupo tu ana akili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…