Uchunguzi; Watanzania wengi hujisaidia haja ndogo kwenye makopo usiku

Thread zako nyingi ni za kufuatlia maisha maisha ya watu tu, mara mishahara midogo, mara wanateseka, mara mikojo duh!

Fanya kazi zako mkuu usipoteze muda wako sana kuandika hapa jf hakuna siku utapewa tuzo wala malipo.
 
Huo ni moja ya magonjwa ya akili,mtu aliyetimamu hawezi kukojoa kwenye kopo au ndoo,halafu akae na huo uchafu mpaka asubuhi aende kuumwaga,kuwa na ugonjwa wa akili siyo kuokota vitu jalalani tu au kukimbia ovyo barabarani bila nguo,

La hasha,yapo matatizo mengine yanaweza yakamkuta mtu yanayosababishwa na akili kuwa ngonjwa,moja wapo ni hili la kujisaidia kwenye makopo na ndoo.
 
Thread zako nyingi ni za kufuatlia maisha maisha ya watu tu, mara mishahara midogo, mara wanateseka, mara mikojo duh! Fanya kazi zako mkuu usipoteze muda wako sana kuandika hapa jf hakuna siku utapewa tuzo wala malipo.

Tusipoandika Sisi unataka JF Ife au ndio akili mgando?

Hujui Kwa kuandika kwetu kuna watu wameajiriwa JF na wanatunza familia zao kisa nyuzi zetu?

Wengine kuandika ndio hobby yetu.

Kuhusu kufanya kazi Hilo lisikusumbue Mkuu,

Mwisho, uache kukojoa kwenye ndoo
 


Wanaogopa wachawi, wezi na majini.
 
Kukata gogo ndiyo pekee huwapeleka chooni,kuna jirani enzi hizo mpaka kopo likabadilika rangi aisee.
 
Jf imejaa vihiyo sana![emoji848][emoji848][emoji848]

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Sasa ndo nimepata majibu kwenye hii mada...zamani Kuna mahali nilikua naishi ,nilikua nasikia kila ikifika saa sita au Saba usiku lazima nisikie kelele za michirizi ya kitu Kama maji hivi yakimiminika kwenye ndoo au beseni Tena kwa Kasi Sana hapo chumba Cha jirani,

Kila siku najiuliza hiyo michirizi ya maji kila siku ninayoisikia chumba Cha jirani (mwanamke)ni vitu gani haswa...nimepata jibu Sasa,

Lakini choo kilikua kipo ndani ya fensi kabisa siyo nje...
 
 
Alafu sasa cha ajabu ni kwamba sio kwamba choo kilipo labda ni nje kabisa kwamba mtu anaogopa,, yaan unakuta nyumba imezungushiwa ukuta choo kipo uwani tu mtu anakojoa ndani alafu ni mwanume!!

Hii tabia ni ya kijinga mno
 
Kuna mmoja kwenye nyumba ya udongo, alitoa udongo kidogo kwenye fito akaweka makaratasi. Usiku anayatoa anaweka mrija wake anakojoa.

Sikumoja akiwa anakojoa kuna aliyekua anaukinga ule mkojo kwenye kopo. Jamaa alistuka alitoka ndani mbio, kufika nje ile njemba ikawa inakimbia na kopo lake la mkojo.

Mwenye mkojo alimkimbiza sana mpaka alimkamata akamwaga mkojo wake anarudi nyumbani. Mwizi wa mkojo aliokota kopo akamwambia umebaki kidogo uatanitosha. Mwenye mkojo akaanza tena mbio.
 

🤣🤣🤣🤣
Wewe mama Kwa Stori haujambo
 
Alafu sasa cha ajabu ni kwamba sio kwamba choo kilipo labda ni nje kabisa kwamba mtu anaogopa,, yaan unakuta nyumba imezungushiwa ukuta choo kipo uwani tu mtu anakojoa ndani alafu ni mwanume!!

Hii tabia ni ya kijinga mno


Mbaya zaidi ndio hiyohiyo ndio anaogea na kufulia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…