Uchunguzi; Watanzania wengi hujisaidia haja ndogo kwenye makopo usiku

Hii tabia ipo sana mikoani kutokana na watu kuhofia wanyama wakali usiku.
 

Alafu ndoo hiyohiyo au beseni hilohilo lifulie nguo zako au ulitumie kuogeaπŸ˜€πŸ˜€

Kuna watu hawanielewi hapa
 
Tabia za Buza usizilete hapa.

Siku hizi nyumba zote Kimara ni self contained unategemea Nani atakojolea kopo?
 
Tabia za Buza usizilete hapa.
Siku hizi nyumba zote Kimara ni self contained unategemea Nani atakojolea kopo?


Ukiona Jambo ninaouzungumzia ujue ni Kwa watu wengi.

Sizungumzii ubinafsi au kuumiza kundi Fulani isipokuwa kuifanya jamii ibadilike.
 
hahahaha mkuu umetisha sana
 
Na kwanini uamke usiku kukojoa katika hali ya kawaida ukitoa watoto, wajawazito na wale wenye tezi dume au kisukari, wagonjwa wa Pressure wanaotumia diuretics, au waliokunywa pombe, binadamu wa kawaida akisha kojoa kabla ya kulala huwa ana uwezo wa kulala mpaka kunakucha bila kuhitaji kukojoa!

Km wewe unalala kuanzia saa 4 usiku unaweza kuhimili mkojo mpk kufikia saa 12 Asubuhi.
 
Kidogo nipaliwe na Konyagi.
JamaniπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hii nchi uhuru umezidi.

Yani mtu akikojoa ndani usiku nayo ni kesi? Mbona self contained houses ni saw na kukojoa kwenye kopo?
Wabongo utawaweza hasa wa JF mambo Safi,. Maisha yenyewe haya ya kuviziana utoke nje vibaka wakulalue yote hiyo ya nini wakati visado vipo unajinafasi bila wasiwasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…