Rogers luyangi
JF-Expert Member
- Sep 15, 2014
- 552
- 948
Umeingia mkumbo haujafanya tafiti.kuna kitu huelewi, wanaposema misimu 5 nyuma wanaanza kuhesabu misimu 5 iliyokamilika,.....
kwaio kwa ranking zilizotumika mwaka huu wameanzia msimu wa 22/23 kurudi nyuma , yani 22/23, 21/22, 20/21, 19/20, 18/19.......
point za 23/24 hazitumiki kwa sababu hakuna timu hata moja iliyokusanya point kwa msimu huu...... ofcoz simba yupo juu ya zamalek kwa hio ranking unayotumia ya wikipedia kwa sababu zamalek hashiriki mashindano ya CAF msimu huu na simba yupo makundi so technically kwa ranking ijayo simba atakua juu ya zamaleki (
Msimu wa 18/19 ushafutika ndugu yangu. CAF wanahesabu hivikuna kitu huelewi, wanaposema misimu 5 nyuma wanaanza kuhesabu misimu 5 iliyokamilika,.....
kwaio kwa ranking zilizotumika mwaka huu wameanzia msimu wa 22/23 kurudi nyuma , yani 22/23, 21/22, 20/21, 19/20, 18/19.......
point za 23/24 hazitumiki kwa sababu hakuna timu hata moja iliyokusanya point kwa msimu huu...... ofcoz simba yupo juu ya zamalek kwa hio ranking unayotumia ya wikipedia kwa sababu zamalek hashiriki mashindano ya CAF msimu huu na simba yupo makundi so technically kwa ranking ijayo simba atakua juu ya zamaleki (
Fahamu kuwa hii ni hatua ya makundi. Kule kwenye preliminaries ndio huwa wanakwepeshaHapa umepotosha, kasome kipengele namba 17 cha CAF Championship regulations.
Watatukomoa,timu zetu mbili huwenda zikawekwa kundi mojaNa wao najua wataichengesha tu,Simba na Yanga kuwepo CL ni burudani tosha,vibe mwanzo mwisho na pesa ipo hapa
Najua wataichengesha tu
Tufunge mjadala hapa.Kuna kitu kidogo ambacho tunashindwa kuelewana pale msimu mpya unavyoanza kwakua tupo 2023/2024 huu tuliopo kwakua ndio unaendelea hauhesabiki hadi timu itolewa na msimu kuisha hesabu inakua hivi msimu wa 2019/20
2020/21
2021/22
2022/23
2023/24 haujaisha kwakua unaendelea ukichukua points kuanzia hapo ranks ya simba ndio inapanda kuhesabika toka ya 9 hadi ya 7 ntaweka hapa points zinavyopatikana
Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
Tupo msimu wa 2023/24 ambazo points zake bado,kuhesabu tunaanza kuanzia 2019/2020 tunaishia 2022/23Tufunge mjadala hapa.
Swali la kwanza je saivi tupo msimu wa mwaka gani wa michuano ya CAF?
Je huu msimu wa sasa tuliopo inachukuliwa ranking kwanzia mwaka gani hadi mwaka gani kufanya seeding?
Haya umesema kuwa tunaanzia 2019/2020 na kuishia 2022/2023Tupo msimu wa 2023/24 ambazo points zake bado,kuhesabu tunaanza kuanzia 2019/2020 tunaishia 2022/23
Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
Sasa huoni hapo kwa mazingira yoyote yale Simba lazima angekuwa pot namba 2 tu hata zifuzu zote hizo coz timu 3 za Morroco zinazomzidi Simba haziwez kuingia zote Champions league ni mbili tu zinaweza cheza champions leagueAliyewadanganya Simba wa 7 ni nani? Simba ni wa tisa
1) Al Ahly
2) Wydad
3)Es Tunis
4) Mamelod
5)Raja
6)Zamalek
7)Berkane
8) Belouizdad
9) Simba
Upo sahihiSasa huoni hapo kwa mazingira yoyote yale Simba lazima angekuwa pot namba 2 tu hata zifuzu zote hizo coz timu 3 za Morroco zinazomzidi Simba haziwez kuingia zote Champions league ni mbili tu zinaweza cheza champions league
Na juu nliweka hii tunachanganya kuanzia hapa,huu tunahesabu misimu mi 4 ya nyuma huu tulioanza kila timu ina point 0 hadi msimu uishe ndio znakuja hizi za group stage na kuendelea ztakazovunwaHaya umesema kuwa tunaanzia 2019/2020 na kuishia 2022/2023
Tuje kwenye jibu lako tuhesabu.
1)2019/2020
2) 2020/2021
3) 2021/2022
4) 2022/2023
Je hapo imefikisha misimu mitano?
Kumbuka nilikuuliza swali gani. CAF hawafanyi seeding kwa rank ya misimu minne bali mitano. Kwahiyo mashindano ya msimu huu wa 2023/2024 CAF wanafanya seeding kwa kutumia 5 year ranking. Haya panga mwenyewe 5 years ranking kwaajili ya kufanya seeding ya msimu huu. Ziweke hapa 5 years ranking yako unahesabu tokea msimu upi mpaka upi?Na juu nliweka hii tunachanganya kuanzia hapa,huu tunahesabu misimu mi 4 ya nyuma huu tulioanza kila timu ina point 0 hadi msimu uishe ndio znakuja hizi za group stage na kuendelea ztakazovunwa
Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
Misimu mi 5 kabla ya msimu unaofuata kuanza kabla hatujaanza msimu wa 2023/2024 nakubaliana nawewe simba ilikua ya 9 na zamalek ya 7 kwakua walianzia 18/19 hadi ule wa mashindano kuisha ambao ni 2022/2023...msimu unapoanza tuu tulivyoanza huu mwezi wa 8 kila kitu kinabadilika na msimu wa 18/19 unaondoka rasmi kwakua tumeanza msimu mpya na huu mpya kila klabu inakua na point 0 baada ya mashindano kuisha timu zitapanda na kushuka kulingana na walichokivuna tutaona msimu huu 2023/24 na kizidio chake kitaku 5Kumbuka nilikuuliza swali gani. CAF hawafanyi seeding kwa rank ya misimu minne bali mitano. Kwahiyo mashindano ya msimu huu wa 2023/2024 CAF wanafanya seeding kwa kutumia 5 year ranking. Haya panga mwenyewe 5 years ranking kwaajili ya kufanya seeding ya msimu huu. Ziweke hapa 5 years ranking yako unahesabu tokea msimu upi mpaka upi?
Msimu wa CAF ulipoisha mwezi wa 5 rank ilikua simba ya 9 zamalek ya 7 imedumu kwa miezi mi 3 ikiwa hivyo kwakua kwa miaka mi 5 walianzia hadi 2018/19 ila pale msimu tuu unapoanza kizidishio kinahama ndomana baada ya calendar tuu kuanza 2018/19 automatic unakua umeisha matumizi na timu zinapangwa kulingana na rank mpya, najua hatuelewani padogo tuu kwa kuweka sawa rank ya misimu mi 5 inadumu kuanzia mwisho wa msimu hadi kabla ya msimu mpya kuanza kwahiyo takribani miezi mi 3 au mi 4Kumbuka nilikuuliza swali gani. CAF hawafanyi seeding kwa rank ya misimu minne bali mitano. Kwahiyo mashindano ya msimu huu wa 2023/2024 CAF wanafanya seeding kwa kutumia 5 year ranking. Haya panga mwenyewe 5 years ranking kwaajili ya kufanya seeding ya msimu huu. Ziweke hapa 5 years ranking yako unahesabu tokea msimu upi mpaka upi?
Msimu wa CAF ulipoisha mwezi wa 5 rank ilikua simba ya 9 zamalek ya 7 imedumu kwa miezi mi 3 ikiwa hivyo kwakua kwa miaka mi 5 walianzia hadi 2018/19 ila pale msimu tuu unapoanza kizidishio kinahama ndomana baada ya calendar tuu kuanza 2018/19 automatic unakua umeisha matumizi na timu zinapangwa kulingana na rank mpya, najua hatuelewani padogo tuu kwa kuweka sawa rank ya misimu mi 5 inadumu kuanzia mwisho wa msimu hadi kabla ya msimu mpya kuanza kwahiyo takribani miezi mi 3 au mi 4
Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
Kizidishio kitabadilika kwaajili ya michuano ijao kwasababu coefficient inakuwa imebadilka. Halafu kama ulikuwa hujui zile vizidisho ni miaka ileMsimu wa CAF ulipoisha mwezi wa 5 rank ilikua simba ya 9 zamalek ya 7 imedumu kwa miezi mi 3 ikiwa hivyo kwakua kwa miaka mi 5 walianzia hadi 2018/19 ila pale msimu tuu unapoanza kizidishio kinahama ndomana baada ya calendar tuu kuanza 2018/19 automatic unakua umeisha matumizi na timu zinapangwa kulingana na rank mpya, najua hatuelewani padogo tuu kwa kuweka sawa rank ya misimu mi 5 inadumu kuanzia mwisho wa msimu hadi kabla ya msimu mpya kuanza kwahiyo takribani miezi mi 3 au mi 4
Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
'More than two teams' maana yake ni kuanzia timu tatu na kuendelea. Timu mbili sio 'more than two teams'. By the way maximum teams zinazoingia katika haya mashindano kutoka shirikisho moja huwa ni mbili
Kabla msimu kuanza 5 ranking inakuaNimekwambia niwekee 5 year ranking unavyojua wewe ambayo itatumika kufanya seeding ya mashindano ya msimu huu itaanzia msimu upi hadi upi.
Labda kama hujui seeding inaanza kutumika wapi?
Hatua ya preliminary na second round ni seeding ya 5 years ranking ndio iliyotumika kupanga mechi za playoff, na hata timu kuanzia away na home ni kutokana na kutumia 5 years ranking. Hatua ya makundi zile pots zinawekwa kutokana 5 years ranking na hata upangaji wa mechi za home na away katika hatua ya makundi hupanga kufuata hiyo hiyo ranking hadi ngazi ya fainali ni mwendo wa seeding tu. Ukiona timu inaanzia away dhidi ya timu nyingine kwenye robo, nusu, au fainali basi ujue anayeanzia away ana point nyingi kuliko mwenzie na hapo imetumika 5 years ranking.
Sasa nipangie 5 years ranking yako wewe itakayotoa muongozo wa haya mashindano ya CAF msimu wa 2023/2024 kwanzia ngazi ya awali hadi fainali unatumia rank ya kwanzia msimu upi hadi upi?
Kuanzia pale bingwa anapopatikana mwezi wa 5 hadi wa 9 rank inabadilika,ule msimu wa mashindano kizidishio ni zero inabidi tujue zero nayo ni namba kama namba zengine,cummulative za points ndio zitakazoibeba timu kwenye pot kwwnye mwaka wa mashindano najua ukakasi unakuja kwenye zero(0) ila tujue hii pia ni nambaKizidishio kitabadilika kwaajili ya michuano ijao kwasababu coefficient inakuwa imebadilka. Halafu kama ulikuwa hujui zile vizidisho ni miaka ile
Ile 5 maanake ni mwaka wa 5
Ile 4 maanake mwaka wa 4
Ile 3 maanake ni mwaka wa3
Ile 2 maaneke ni mwaka wa 2
Ile 1 maanake ni mwaka wa 1
.kwahiyo point zinazidishwa mara miaka.
Rank huwa inaishia anapopatikana bingwa mpya wa mashindano ya CAF interclub championship