Uendeshaji wa Bandari: Wabunge Wataka Rais Samia asirudi nyuma

Uendeshaji wa Bandari: Wabunge Wataka Rais Samia asirudi nyuma

Anapima watu akili ,yeye sijui anaunga mkono hiyo katiba kwa namna gani maana wanaounga mkono wote ni mamluki ,chawa wakubwa ,wazandiki,wachumia tumbo,hizi zama zilishapitwa na wakati,tunahitaji mdahalo wakitaifa tuna mengi yakuhoji na kuishauri serikali ,wateule hawezi kufanya hii kazi maana hawako kihalali katika bunge huyu dada hawezi kujua hili
good
 
Hivi huko madrasa huwa mnaondolewa ubongo?

Labda nikuulize wewe,hayo mafuta unayopewa na mwamposa na kuambiwa uyakanyage,yatakusaidia vip kutibu hayo magonjwa ya zinaa ulliyonayo ndug yangu,ushaur wa bure wewe wahi hospital tuu
 
Tofauti ya makubaliano na mkataba inabidi kwanza kabisa ujieleze hayo "makubaliano" au "mkataba" yapo kwa lugha ipi?

Kama ni Kingereza:

Makubaliano = Agreement.

Mkataba = Contract.

Kuhusu "ukomo" wa huo usiouelewa wewe kama ni makubaliano au mkataba, kasome kifungu cha 5:4.

Ni miezi 12 tu, lazima kimojawapo Kieleweke.
Mkataba ni makubaliano ya kisheria
 
Mkataba ni makubaliano ya kisheria
Sawa kabisa. Sisi bado hatuna mkataba tuna makubaliano ambayo mpaka tupitie kwenye michakato iliyowekwa kwenye makubaliano ndiyo kutaandikwa mkataba kwa kila kitakachofanyika. Tutakuwa na mikataba mingi tu, siyo mmoja.

Ujiuwe hivi tunavyopigana porojo hapa JF, wanasheria na mawakili wapo busy kweli kweli kutayarisha mikataba ya kiutendaji. Ndiyo maana wenye kufahamu kinachoendeklea sasa hivi wapo kimya wanatuchora tu, pengine hawana hata muda wakupitia sicial media.

Na Wale amabo wanajuwa hiyo mikataba itakuwa ni vigingi vya kuzuwiya madhambi tao wapo busy kweli kweli kuudanganya umma ili aidha wacheleweshe au wakiweza itokee fujo mikataba isifanyike kabisa.

Uzyri ni kuwa Serikali ya Tanzani inalielewa hilo. N aserikali ya Dubai wanalielewa sana na Dubai ni wafanyabiashara wa na wawekezaji duniani, kwa hiyo haliwapi shida tena ni vizuri samna kibiashara.
 
Sawa kabisa. Sisi bado hatuna mkataba tuna makubaliano ambayo mpaka tupitie kwenye michakato iliyowekwa kwenye makubaliano ndiyo kutaandikwa mkataba kwa kila kitakachofanyika. Tutakuwa na mikataba mingi tu, siyo mmoja.

Ujiuwe hivi tunavyopigana porojo hapa JF, wanasheria na mawakili wapo busy kweli kweli kutayarisha mikataba ya kiutendaji. Ndiyo maana wenye kufahamu kinachoendeklea sasa hivi wapo kimya wanatuchora tu, pengine hawana hata muda wakupitia sicial media.

Na Wale amabo wanajuwa hiyo mikataba itakuwa ni vigingi vya kuzuwiya madhambi tao wapo busy kweli kweli kuudanganya umma ili aidha wacheleweshe au wakiweza itokee fujo mikataba isifanyike kabisa.

Uzyri ni kuwa Serikali ya Tanzani inalielewa hilo. N aserikali ya Dubai wanalielewa sana na Dubai ni wafanyabiashara wa na wawekezaji duniani, kwa hiyo haliwapi shida tena ni vizuri samna kibiashara.
Hongera DP
 
WABUNGE wameishauri serikali kutosikiliza maneno ya watu wa mtandaoni kuhusu ushirikiano wa Serikali za Tanzania na Dubai katika makubaliano ya uwekezaji kwenye bandari zilizopo nchini (IGA) kwa kuwa wanaofanya hivyo hawaitaki nchi mema.

Pia, wameitaka serikali kuharakisha kusaini mikataba inayohusiana na suala hilo, ili bandari iwe sehemu ya kuchangia Pato la Taifa na kuletea maendeleo. Waliyasema hayo jana wakati wanachangia hoja ya Mapendekezo ya Serikali kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka 2023/24.

Mbunge wa Jimbo la Ukonga (CCM), Jerry Silaa, alishauri serikali isikubali maneno ya watu wasiotaka iendelee kiuchumi ambao wanapinga uamuzi wake wa kushirikisha sekta binafsi kwenye maendeleo, ikiwamo ushirikiano ilioyongia na Serikali ya Dubai kuhusu uwekezaji kwenye bandari nchini.

Alifafanua kuwa IGA siyo mkataba wa utekelezaji bali ni makubaliano baina ya Serikali ya Tanzania na Dubai kuhusu uwekezaji utakaofanyika kwenye bandari zilizopo katika chi hiyo na kwamba mikataba ya kwenda kutekeleza miradi bado haijaingiwa.

Silaa alisema ushirikiano huo utaongeza ufanisi wa bandari na kufikia malengo ya serikali ya kukuza uchumi wa nchi kwa kuongeza forodha na kuboresha sekta za uchumi ikiwamo kilimo.

"Niombe serikali ikubali ushauri, isikilize wananchi, lakini wakati mwingine isikubali kuyumbishwa na watu wenye nia zao za kuitaka nchi yetu isiendelee kiuchumi, ikubaliane na hoja za msingi za kutetea taifa letu, tuwe na uwekezaji na kushirikisha sekta binafsi katika ameneo ambayo wenzetu wamebobea," alisisitiza.

Kadhalika, alisema serikali haiwezi kupiga hatua bila ushirikiano na sekta binafsi huku akitoa mfano wa moja ya mafanikio ya ushirikishwaji wa sekta hiyo kuwa ni Benki ya NMB ambayo hivi karibuni serikali imevuna gawiwo la Sh. bilioni 45.5 na kodi ya Sh. bilioni 453.

Aidha, Mbunge huyo alishukuru serikali kwa kutekeleza miradi mikubwa ya kimkakati ikiwamo ujenzi wa Bwawa la Kufua Umeme la Julius Nyerere, ambalo utekelezaji wake umefikia asilimia 96, ujenzi wa reli za umeme na adaraja la Kigogo Busisi, mradi wa mwezndo kasi awamu ya tatu, Gongo la mboto-Kariakoo.

Mbunge wa Viti maalum Mkoa wa Pwani (CCM), Subira Mgalu, alishauri serikali kuchukua hatua za haraka kuleta mikataba itakayotokana na IGA ili wawekezaii waje na bandari iwe na nafasi ya kuchangia katika pato la ndani la taifa na serikali ipunguze kukopa.

Kahusu hoja ya kuitwa mbunge mmoja mmoja kupigia kura muswada huo iliyotolewa na mbunge mstaafu Prof. Anna Tibaijuka, alisema hauna mashiko kwa kuwa utaratibu huo unafanyika kwenye kupitisha bajeti ya serikali pekee, masuala mengine ni utaratibu wa kuhojiwa na walishafanya hivyo.

"Lakini nataka nimkumbushe Prof. Tibaijuka alipokuwa waziri 2013 aliwasilisha mpango wa kuifanya Kigamboni kuwa mji wa trilioni 11, haukufanikiwa na tulioupitisha kwa kura za kuhojiwa kwa hiyo aiache serikali inayoongozwa na mwanamama menzie (Rais Samia Suluhu Hassan) ifanye kazi yake," alisema.

Hivi karibuni, Prof. Tibaijuka akihojiwa na chombo kimoja cha habari, alikosoa utaratibu wa kura ya pamoja uliotumiwa na Bunge katika kupitisha Azimio la Bunge kuhusu Mapendekezo ya Kuridhia Makubaliano Kati ya Tanzania na serikali ya Dubai kwenye ushirikiano wa kiuchumi na kijami kwa ajili ya uendelezaji na uboreshaji wa utendaji kazi wa bandari Tanzania.

Aidha, aliwatoa hofu wananchi kuwa bandari haiwezi kuuzwa kwa serikali kugawana idadi ya gati na mwekezaji bali mbinu iliyotumika ni kushirikisha sekta binafsi katika kukuza utendaji kazi wa bandari na kukuza uchumi wa nchi.

Vile vile, alisema bajeti kuu imeonyesha dhamira ya serikali ya kureiesha uuzwaji wa bidhaa nje ya nchi kwa kutenga zaidi ya Sh. bilioni 800 wazalishaji wa mazao, ili kuliletea taifa fedha za kigeni na kukuza uchumi.
Pia, katika mapendekezo ya bajeti ya serikali inatarajia kukusanya Sh. trilioni 44, kati ya hizo Sh. trilioni 31 zitakusanywa kutoka mapato ya ndani na kwamba ni lazima seri-kali ishirikishe sekta binafsi katika uwekezaji.

Aliwataka wananchi kuendelea kutoa na kudai risiti wanapofanya ununuzi ili kuhakikisha kuwa wanalipa kodi na serikali isiendelee kuleta kodi mpya kwa kuwa inategemea pesa hizo kutekeleza miradi ya maendeleo. Mbunge wam Sengerema, Hamis Tabasamu, alimshauri Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, kutokatishwa tamaa na maneno yanayozunguka mitandaoni na mitaani bali kuwa na imani jambo analolifanya litakwenda kuiletea mafanikio nchi.

"Kuna watu ni majemedari wa kupiga kelele kwenye mitandao na kila maeneo, Mheshimiwa Waziri wa Fedha, maneno haya yangekuwa yanatoboa mwili wako leo ungekuwa umejaa viraka na bandeji mwili mzima, kwa hiyo unachotakiwa sasa hivi ni kuwa na ngozi ngumu tu kujenga imani halafu baadaye unatoboa," alisema.

Alimshauri waziri huyo kuwashirikisha wabunge wakati wa uandaaji wa baieti hizo ili watoe ushauri wa vitu muhimu vya kuwapo na kutokuwapo kwa kuwa wao wanajua matatizo ya wananchi ambao wengi wao kukosa pesa ndiyo kunawafanya waitukane serikali kwenye mitandao.​
Sasa tumegeuka taifa la wajinga tusio na mwelekeo, kila mmoja anajitazama binafsi hajali jirani yake ana shida gani, wabunge wamegeuka walafi licha ya mishahara mikubwa na posho, lakini bado wanadanganyika kwa rushwa, tena mbaya zaidi, rushwa inayozitoa sadaka rasilimali za nchi yetu, hii kwangu ni laana.
 
WABUNGE wameishauri serikali kutosikiliza maneno ya watu wa mtandaoni kuhusu ushirikiano wa Serikali za Tanzania na Dubai katika makubaliano ya uwekezaji kwenye bandari zilizopo nchini (IGA) kwa kuwa wanaofanya hivyo hawaitaki nchi mema.

Pia, wameitaka serikali kuharakisha kusaini mikataba inayohusiana na suala hilo, ili bandari iwe sehemu ya kuchangia Pato la Taifa na kuletea maendeleo. Waliyasema hayo jana wakati wanachangia hoja ya Mapendekezo ya Serikali kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka 2023/24.

Mbunge wa Jimbo la Ukonga (CCM), Jerry Silaa, alishauri serikali isikubali maneno ya watu wasiotaka iendelee kiuchumi ambao wanapinga uamuzi wake wa kushirikisha sekta binafsi kwenye maendeleo, ikiwamo ushirikiano ilioyongia na Serikali ya Dubai kuhusu uwekezaji kwenye bandari nchini.

Alifafanua kuwa IGA siyo mkataba wa utekelezaji bali ni makubaliano baina ya Serikali ya Tanzania na Dubai kuhusu uwekezaji utakaofanyika kwenye bandari zilizopo katika chi hiyo na kwamba mikataba ya kwenda kutekeleza miradi bado haijaingiwa.

Silaa alisema ushirikiano huo utaongeza ufanisi wa bandari na kufikia malengo ya serikali ya kukuza uchumi wa nchi kwa kuongeza forodha na kuboresha sekta za uchumi ikiwamo kilimo.

"Niombe serikali ikubali ushauri, isikilize wananchi, lakini wakati mwingine isikubali kuyumbishwa na watu wenye nia zao za kuitaka nchi yetu isiendelee kiuchumi, ikubaliane na hoja za msingi za kutetea taifa letu, tuwe na uwekezaji na kushirikisha sekta binafsi katika ameneo ambayo wenzetu wamebobea," alisisitiza.

Kadhalika, alisema serikali haiwezi kupiga hatua bila ushirikiano na sekta binafsi huku akitoa mfano wa moja ya mafanikio ya ushirikishwaji wa sekta hiyo kuwa ni Benki ya NMB ambayo hivi karibuni serikali imevuna gawiwo la Sh. bilioni 45.5 na kodi ya Sh. bilioni 453.

Aidha, Mbunge huyo alishukuru serikali kwa kutekeleza miradi mikubwa ya kimkakati ikiwamo ujenzi wa Bwawa la Kufua Umeme la Julius Nyerere, ambalo utekelezaji wake umefikia asilimia 96, ujenzi wa reli za umeme na adaraja la Kigogo Busisi, mradi wa mwezndo kasi awamu ya tatu, Gongo la mboto-Kariakoo.

Mbunge wa Viti maalum Mkoa wa Pwani (CCM), Subira Mgalu, alishauri serikali kuchukua hatua za haraka kuleta mikataba itakayotokana na IGA ili wawekezaii waje na bandari iwe na nafasi ya kuchangia katika pato la ndani la taifa na serikali ipunguze kukopa.

Kahusu hoja ya kuitwa mbunge mmoja mmoja kupigia kura muswada huo iliyotolewa na mbunge mstaafu Prof. Anna Tibaijuka, alisema hauna mashiko kwa kuwa utaratibu huo unafanyika kwenye kupitisha bajeti ya serikali pekee, masuala mengine ni utaratibu wa kuhojiwa na walishafanya hivyo.

"Lakini nataka nimkumbushe Prof. Tibaijuka alipokuwa waziri 2013 aliwasilisha mpango wa kuifanya Kigamboni kuwa mji wa trilioni 11, haukufanikiwa na tulioupitisha kwa kura za kuhojiwa kwa hiyo aiache serikali inayoongozwa na mwanamama menzie (Rais Samia Suluhu Hassan) ifanye kazi yake," alisema.

Hivi karibuni, Prof. Tibaijuka akihojiwa na chombo kimoja cha habari, alikosoa utaratibu wa kura ya pamoja uliotumiwa na Bunge katika kupitisha Azimio la Bunge kuhusu Mapendekezo ya Kuridhia Makubaliano Kati ya Tanzania na serikali ya Dubai kwenye ushirikiano wa kiuchumi na kijami kwa ajili ya uendelezaji na uboreshaji wa utendaji kazi wa bandari Tanzania.

Aidha, aliwatoa hofu wananchi kuwa bandari haiwezi kuuzwa kwa serikali kugawana idadi ya gati na mwekezaji bali mbinu iliyotumika ni kushirikisha sekta binafsi katika kukuza utendaji kazi wa bandari na kukuza uchumi wa nchi.

Vile vile, alisema bajeti kuu imeonyesha dhamira ya serikali ya kureiesha uuzwaji wa bidhaa nje ya nchi kwa kutenga zaidi ya Sh. bilioni 800 wazalishaji wa mazao, ili kuliletea taifa fedha za kigeni na kukuza uchumi.
Pia, katika mapendekezo ya bajeti ya serikali inatarajia kukusanya Sh. trilioni 44, kati ya hizo Sh. trilioni 31 zitakusanywa kutoka mapato ya ndani na kwamba ni lazima seri-kali ishirikishe sekta binafsi katika uwekezaji.

Aliwataka wananchi kuendelea kutoa na kudai risiti wanapofanya ununuzi ili kuhakikisha kuwa wanalipa kodi na serikali isiendelee kuleta kodi mpya kwa kuwa inategemea pesa hizo kutekeleza miradi ya maendeleo. Mbunge wam Sengerema, Hamis Tabasamu, alimshauri Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, kutokatishwa tamaa na maneno yanayozunguka mitandaoni na mitaani bali kuwa na imani jambo analolifanya litakwenda kuiletea mafanikio nchi.

"Kuna watu ni majemedari wa kupiga kelele kwenye mitandao na kila maeneo, Mheshimiwa Waziri wa Fedha, maneno haya yangekuwa yanatoboa mwili wako leo ungekuwa umejaa viraka na bandeji mwili mzima, kwa hiyo unachotakiwa sasa hivi ni kuwa na ngozi ngumu tu kujenga imani halafu baadaye unatoboa," alisema.

Alimshauri waziri huyo kuwashirikisha wabunge wakati wa uandaaji wa baieti hizo ili watoe ushauri wa vitu muhimu vya kuwapo na kutokuwapo kwa kuwa wao wanajua matatizo ya wananchi ambao wengi wao kukosa pesa ndiyo kunawafanya waitukane serikali kwenye mitandao.​
Huyu Mbunge nazani hajielewi??! Hakuna mtu anyepinga Iwekezaji ila watu hawataki mikataba ya kinyonyaji kama huu wa DpW
 
Mmepata taarifa kwamba wabunge waliokuwa wanasafiri wamepata ajali, naomba maoni yenu
 
Back
Top Bottom