Kiswahili kimebadilika siku hizi zamani ilikuwa bluu siku hizi ni buluuWanatangaza utalii wa buluuu
Kwa nini isiwe Serengeti au Makongorosi iwe Zanzibar?...au hizo sehemu si sehemu ya Zanzibar?Zanzibar ni sehemu ya Tanzania.
Kuna ubaya gani?
Dah!...huu mfano huu...Duh!...Kuvaa barakoa ni sawa na kuvaa chupi. Haijalishi umevaa chupi ya bendera ya Marekani au Zambia. Ili mradi umejisitiri
Kwa msisitizoKiswahili kimebadilika siku hizi zamani ilikuwa bluu siku hizi ni buluu
Yaani si ndogo kazi yenyewe!🤔🤔🤔🤔😝😝😝😝Kazi ipo!Binadamu akiwa hataki jambo fulani atatafuta vigingi hadi kieleweke.
Zanzibar population approx. 3 million
Tanganyika population approx. 55 Million
Poor thinking.Tanzania=Tanganyika +Zanzibar.Mwigulu hajakosea kitu.Walinzi walibidi wavae barakoa yenye nembo ya Tanzania.bora hivo, Mwigulu li tai lake ni bendera nzima ya Tanzania,ingekosekana ya Zanzibar
Unafikiri mapopoma yanafikiri.Umeona nyumbu wakivuka mto kwenda Masai Mara kutoka Serengeti?Huyo mbona unayemsema hapo sio mlinzi!? Ni waziri wa uwekezaji na uchumi ofisi ya rais visiwani Zanzibar….Mudrick Soraga kagoogle
Wao kuvaa barakoa za Zanzibar kunapunguza nini kwenye maisha yako wewe mleta mada?. Hii ni mada ya kitoto sana.Salaam Wakuu,
Nadhani Walinzi walitakiwa Kuvaa Barakoa zenye bendera ya Tanzania sio Zanzibar kwani, hii ni Ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Siku wakuambatana na Mwinyi ndo wavae hizi Bara K. Au ni Utalii wa Bluu?
Picha zimepigwa akiwa Paris, Ufaransa, wakati huo Rais Samia Suluhu Hassan alikuwa akizungumza na Mkurugenzi wa Kituo cha kuwezesha Wajasiriamali cha Station F Start Up Bi. Roxanne Varza pamoja na Meneja Mawasiliano wa Kituo hicho Bw. Grégoire Martinez kuhusu kazi mbalimbali zinazofanywa Kituoni hapo ikiwemo kutoa fursa kwa wajasiriamali wadogo kupata elimu ya ubunifu wa kibiashara, fursa za mitaji yenye masharti rafiki pamoja na masoko wakati alipotembelea Kituo hicho leo tarehe 12 Februari, 2022, Paris nchini Ufaransa)
View attachment 2117285View attachment 2117286