Ufaransa: Serikali yazuia Wanafunzi kuvaa mavazi ya Abaya shuleni

Swedi kichaa Yule kachafukwa roho
 
Eti baada wa kutimuliwa na waislam Africa,..! poor mind.
Sasa na huyu unaambiwa ndiye msomi wa juu wa elimu dunia kwenye hiyo dini,jiulize kama huyu anakuwa na akili mgando kiasi hiki wale darasa la saba au form four failure watakuwaje?
 
Huo ndiyo ujinga uliojazwa nao, sikushangai.

Hakuna dini ya amani duniani zaidi ya Uislam. Kumbuka hili.
 
Mwenye picha ya muislamu kavaa abaya atupieπŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›
 
Afghanistan wanawake hawasomi sekondari hivyo wanaishia kuzivaa shule ya msingi tu
Mkiandika kwa kuenzea chuki za kijinga, muandike na sababu zilizopelkea shule hizo kufungwa.

Taliban walitangaza wazi wakisema shule za wanawake hazikuwa na "facilities" za wanawake, mpaka zitapofanyiwa mabadiliko zitafunguliwa tena. Na wameanza kuzifunguwa kidogo kidogo siku nyingi:

Some girls' high schools in eastern Afghanistan open - local officials​

Reuters
September 6, 20227:34 PM GMT+3Updated a year ago




Female primary school students leave school after a class in Kabul, Afghanistan, October 25, 2021. The hardline Islamist Taliban movement, which stormed to power earlier this year after ousting the Western-backed government, has allowed all boys and younger girls back to class, but has not let girls attend secondary school. REUTERS/Zohra Acquire Licensing Rights Read more
 
Tatizo lako wewe bibi unatumia hisia na siyo akili,
 
Kuna watu ni wagonjwa wasiojijua, imagine mtu hadi anacomment safi na vinyundo juu anaoigilia msumali, sasa kweli kama una akili timamu utaogopa abaya??? Bora hata wangesema nikabu kweli abaya yaani gauni refu duuh!

Na Africa magharibi wataondoka tu mafirauni hayo! Period!

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Unaita chuki za kijinga na hapohapo unadai kulikuwa na sababu za shule hizo kufungwa.

Na katazo la kuzuia madaktari wa kiume kutibu wanawake, wakati huo kuna vikwazo vya wanawake kwenda vyuo nalo unatolea utetezi gani. Wakati almost β…“ ya madaktari na wanafunzi wa udaktari wamekimbia nchi tangu Taliban iingie madarakani, yenyewe iko busy kulazimisha wanawake watibiwe na wanawake wakati idadi ya madaktari wa kike ni ndogo.
 
Wewe yako ya hapa Tanzania yanakushinda unataka ya Afghanistan utayaweza? Kashindwa USA na NATO yake, itakuwa wewe?
 
kuvaa hivi sio kitu kizuri. ila nakuhakikishia, enzi za ujana wangu, wananwake wavaa ushungi tena tinted kabisa niliotembea nao ni kibao, wengine niliwatoa bikra kabisa ial akiinama chumamboga unaona hole kwenye toilet. kuvaa manguo hayo haimaanishi ninyi ni watakatifu, utakatifu upo moyoni na katika kila dini kuna waovu na wasafi hata kama wanavaa nguo za staha. hata masista wapo kibao tu wanapelekewa moto pamoja na kushinda na manguo na vilemba, sembuse hawa kina bihawa wanaovaa kininja ukiwaongelesha wananengua sauti? sisimuliwi, hata wewe faiza tungekutana ningekufukunyua pamoja na ushungi wako enzi hizo. hamna lolote nyie hata yule dada wa zanzibar mliyemkamata kwa kuwaambia ukweli kwamba nyote mnadanga pamoja mlimuonea tu.
 
Hata wale wa kanisani wanavaa ushungi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…