Ufaransa: Serikali yazuia Wanafunzi kuvaa mavazi ya Abaya shuleni

Ufaransa: Serikali yazuia Wanafunzi kuvaa mavazi ya Abaya shuleni

Kama wagalatia wasivyojielewa wamebakia kuliwa ndogo tu
Mwenyewe napenda sana ngono. Ukiongelea ngono huwa mpk napagawa.
Hao mabikra 72 wapo akhera nisilimu?
*Quran 2:25, 4:57 imeandika kwamba wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wazuri huko Akhera.

Pia ukisoma Quran 38:52 inaongelea kwamba kuna mabikra tayari wa kutosha huko Ahera wakiwasubiri wanaume.

Zaidi ukisoma Quran 44:54 inataja sifa za mabikra hao kuwa ni wenye macho mazuri, macho meusi mapana na warembo kwelikweli*
 
Tec wote ni gays
Nataka nisilimu. Hao mabikra 72 wapo? Nataka nikawafaidi na mimi. Allah atawapata mabikra 72, nami kwenye mgao na mimi niwemo.

Quran 2:25, 4:57 imeandika kwamba wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wazuri huko Akhera.

Pia ukisoma Quran 38:52 inaongelea kwamba kuna mabikra tayari wa kutosha huko Ahera wakiwasubiri wanaume.

Zaidi ukisoma Quran 44:54 inataja sifa za mabikra hao kuwa ni wenye macho mazuri, macho meusi mapana na warembo kwelikweli.
 
Mmeona kombati za jeshi la gaboni zilivyo na mabaka ya ajabu? Ni ni makubwa mno. Kombati za jeshi la china zina mabaka madogo. Haya mabaka yanatofautiana kwa majeshi ya nchi mbalimbali. Nguo zingine si za kijeshi, hayo mabaka ni urembo tu kama nguo zenye kufanana na rangi za pundamlia, chui na twiga
 
Mliwahi kuziweka nchi kama Hispania, Portuguese etc chini ya utawala wenu au haukumbuki
Hispania haikuwa chini ya utawala WA kiislamu, ile ilikuwa ni dola ya kiislamu lkn baadae wasiokuwa waislamu wakaiangusha na kuweka utawala wao mpaka Sasa.
IMG_20230831_084230.jpg
 
Uislamu hauzuiliwi kwa njia hii jamani.

Haya mambo wangefanya waislamu Dunia nzima muda huu wangekuwa wanabweka.

Wazungu wanaogopa sana watu kubainikiwa na haki na uongofu,, wanaajenda gani na Shetani.

Kwanini Dini nyingine haziwekewi vikwazo kiasi hiki?

Screenshot_20230906_214024_Chrome.jpg
 
Uislamu hauzuiliwi kwa njia hii jamani.
Haya mambo wangefanya waislamu Dunia nzima muda huu wangekuwa wanabweka.
Wazungu wanaogopa sana watu kubainikiwa na haki na uongofu,, wanaajenda gani na Shetani.

Kwanini Dini nyingine haziwekewi vikwazo kiasi hiki??
Ulaya kote kuna misikiti, na watu wanaruhusiwa kuhubiri dini zao, lakini Saudi Arabia huruhusiwi kuhubiri Ukristo au dini nyingine yoyote publicly.

Sasa hapo nani anazuia dini ya mwenzake?
 
Ulaya kote kuna misikiti, na watu wanaruhusiwa kuhubiri dini zao, lakini Saudi Arabia huruhusiwi kuhubiri Ukristo au dini nyingine yoyote publicly.

Sasa hapo nani anazuia dini ya mwenzake?
Umefananisha nchi yenye sheria yake na dola yake,,, na nchi yenye michanganyiko ya watu mkuu (mbingu na ardhi)
 
Ulaya kote kuna misikiti, na watu wanaruhusiwa kuhubiri dini zao, lakini Saudi Arabia huruhusiwi kuhubiri Ukristo au dini nyingine yoyote publicly.

Sasa hapo nani anazuia dini ya mwenzake?
Karibu kwenye dini mkuu🤣
 
Tulishasema haya Masuala ya kiislamu.l pelekeni bakwata au muanzishe JF yenu na faizafoxy hapa siyo mahala pake.

Bora hata ungeweka jukwaa la dini huko. unataka sisi tukusaidie nini na hao wanaojifunga vilipuzi afu wanavaa iqab
umeombwa kuchangia?
 
Pale Pemba, waislamu waliandamana kusijengwe kanisa.
Mkiwa kwenye nchi za watu, heshimuni sheria za nchi hiyo
France imejiumbua Kama taifa huru,linalolinda uhuru wa kuabudu,maoni na kuvaa,wanakataza hijab Ila wanaruhusu graduation kuvaa hizo hijab/joho kwa graduates
 
Uislamu hauzuiliwi kwa njia hii jamani.
Haya mambo wangefanya waislamu Dunia nzima muda huu wangekuwa wanabweka.
Wazungu wanaogopa sana watu kubainikiwa na haki na uongofu,, wanaajenda gani na Shetani.

Kwanini Dini nyingine haziwekewi vikwazo kiasi hiki??View attachment 2741376
Yaani watu wameamua Kwa sovereignty Yao mnaleta mambo ya udini.
 
Umefananisha nchi yenye sheria yake na dola yake,,, na nchi yenye michanganyiko ya watu mkuu (mbingu na ardhi)
Nchi yenye michanganyiko ya watu ina sheria zake.
Hapo zanzibar, waislam wanawachapa viboko watu wanaokula hadharani, hakuna kufungua migahawa au kuuza chakula kipindi cha Ramadhani.
Huko ulaya wanasheria zao pia, kama wameshindwa kuishi ulaya kwa kufuata sheria zao,
waende wakaishi Afghanistan maana huko wanawake hawaruhusiwi kusoma wala kufanya shughuli yoyote zaidi ya kukaa nyumbani lkn huko ulaya wanaasoma. Ujue wamependelewa sana?
 
Naapa mbele ya mnyazi Mungu, ndani ya hii miaka 200 Uislam utatawala Dunia nzima. Amin
 
France imejiumbua Kama taifa huru,linalolinda uhuru wa kuabudu,maoni na kuvaa,wanakataza hijab Ila wanaruhusu graduation kuvaa hizo hijab/joho kwa graduates
Kila nchi ina sheria zake. Wakiona wamebanwa sana, kuna nchi za kiiislamu wakaishi huko.
Mbona zanzibar wanachapa viboko watu kipindi cha ramadhani?
Pemba pale waislamu waliandamana wasijenge kanisa.
Mnapenda sana kuonewa huruma.
 
Back
Top Bottom