Escrowseal1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2014
- 4,618
- 4,605
Why can't we campaign 2025 walau dr Mwinyi wabadirishane na mama maana bara ni kubwa haiwezi mama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe kibwagizo mambo mengine unajitia aibu. Institution yoyote pamoja na nchi kiongozi mkuu huwa ana impact jinsi onavyobehave kiongozi mkuu ukibehave kiupigaji upigaji within no time watakuunga mkono .mama hawezi simama hata akakemea wizi yeye ni ku kuwapa moyo tu wezi na kujaza wezi ndani ya system .we are a failed state periodSio kila kitu ni Raisi tuu, hiyo ngazi ya halmashauri madiwani wenu wanaweza kuwapigania maana kazi mojawapo ya madiwani kusimamia pesa za halmashauri na kuhakikisha zinatumika ilivyokusudiwa, watu tuanze kuwajibishana hapo hapo mitaani kwetu ndio maendeleo ya kweli yatakuja, madiwani wana nguvu sana lakini sijui kama wanajua hilo zaidi ya kujiona wanyonge na kusubiri posho tuu
Lazima urukwe akili mwaka huu! Samia ndo Rais wa JMT hadi 2030. Endelea kusafisha kabuli hapo chatoSasa hivi halimashuri nyingi hapa nchini hazishikiki tena . Pesa za wananchi zinatafunwa kama njugu zilizokaangwa.
Labda ile Slogan ya kula kwa urefu wa kamba yako ndio inatekerezwa.
Maana sasa hii ni kufuru. Awamu ya tano watumishi walipata uoga baada ya hayati JPM kudhibiti wapigaji. Lakini sasa hali ni mbaya sana. Naona kila mtu ajipimie kadri ya kamba yake.
Hali ndio hii kila kona
Bara ipi? Bujumbura au chato?Why can't we campaign 2025 walau dr Mwinyi wabadirishane na mama maana bara ni kubwa haiwezi mama
huyu ni sukum gang aliyefikia hatua ya kuchanganyikiwana kuwa mwehu! halali ni kuwaza kutunga ngonjera tu dhidi ya Samia na Awamu ya 6kama huna ushahidi vinginevyo ni umbea
Wewe ni mpuuzihuyu ni sukum gang aliyefikia hatua ya kuchanganyikiwana kuwa mwehu! halali ni kuwaza kutunga ngonjera tu dhidi ya Samia na Awamu ya 6
We jamaa umemkomalia Samia hata hakohoi wala hahemi.Sasa hivi halimashuri nyingi hapa nchini hazishikiki tena . Pesa za wananchi zinatafunwa kama njugu zilizokaangwa.
Labda ile Slogan ya kula kwa urefu wa kamba yako ndio inatekerezwa.
Maana sasa hii ni kufuru. Awamu ya tano watumishi walipata uoga baada ya hayati JPM kudhibiti wapigaji. Lakini sasa hali ni mbaya sana. Naona kila mtu ajipimie kadri ya kamba yake.
Hali ndio hii kila kona
Wewe ni mjingaLazima urukwe akili mwaka huu! Samia ndo Rais wa JMT hadi 2030. Endelea kusafisha kabuli hapo chato
Huna akiliWe jamaa umemkomalia Samia hata hakohoi wala hahemi.
Nyuzi za bandika bandua.
Hii ID ni ya shirika sii ya mtu mmoja
Lord Denning ,kwa jina hilo ulilojitwisha naamini wewe ni mwanasheria , kama kweli umejimwambafy na hilo jina kubeba legacy ya huyu mwamba naomba nikuheshimu nisikujibu unless umepambana nalo ukapenda linavyosound bila kujuaBara ipi? Bujumbura au chato?
Unatumia mavi kufikiriLazima urukwe akili mwaka huu! Samia ndo Rais wa JMT hadi 2030. Endelea kusafisha kabuli hapo chato
madiwani na wabunge waliopachikwa kwa wizi?Kila kitu mnataka Raisi ndio asafishe? inawezekana kweli? naamini madiwani na mbunge wa hiyo sehemu kama wana akili wana uwezo kusafisha halmashauri zao bila matatizo
Hili ni jinga moja lisilojitambua.Lord Denning ,kwa jina hilo ulilojitwisha naamini wewe ni mwanasheria , kama kweli umejimwambafy na hilo jina kubeba legacy ya huyu mwamba naomba nikuheshimu nisikujibu.
Tuliwambia Katiba Mpya mkapinga sasa pamabeneni kivyenuHuna akili
😂😂😂 japo lichutame lina aibisha jinaHili ni jinga moja lisilojitambua.
Waache wapige, ni zamu kwa zamu. Acha kulialia hapa. Hiyo awamu ya 5 kulikuwa Magufuli na kikundi chake kidogo ndiyo wanapiga hela ya nchi, na walikuwa wanapiga ndefu tu. Au unajifanya hujasikia ripoti ya CAG Kicheere?Sasa hivi halimashuri nyingi hapa nchini hazishikiki tena . Pesa za wananchi zinatafunwa kama njugu zilizokaangwa.
Labda ile Slogan ya kula kwa urefu wa kamba yako ndio inatekerezwa.
Maana sasa hii ni kufuru. Awamu ya tano watumishi walipata uoga baada ya hayati JPM kudhibiti wapigaji. Lakini sasa hali ni mbaya sana. Naona kila mtu ajipimie kadri ya kamba yake.
Hali ndio hii kila kona
Huyu Nyankurungu2020 ana kazi moja tu, kumponda Rais SamiaJamaa una kazi moja tu duniani sasa hivi, kumkandia mama na kudumisha legacy.
Halmashauri ya wapi zimeliwa pesa? Zimeliwa bei gani?
Ndio, wanaweza mkataa kupitia Full Council kwani hilo ndilo linasimamia Halmashauri. Pia Mkurugenzi yupo chini ya Mwenyekiti wa Halmashauri ambaye ndiye mwenyekiti wa Baraza. Madiwani na wabunge wanaweza muwajibisha DED.Hao wabunge na madiwani wanao uwezo wa kuwawajibisha wakuregenzi?
Kueleza ukweli halisi ndio kuponda? Tumia common sense.Huyu Nyankurungu2020 ana kazi Mija tu, kumponda Rais Samia