Kima cha Chini_KCC
Member
- Jul 8, 2012
- 21
- 12
Nakuelekeza tu mzee, inaonesha uelewa wako mdogo sana. Ni msaada tu ndugu utoke gizani. Wewe utakuwa umekula ugali wewe aflatoxins, Hehehehe!!Mzee ni hyo comment yangu ndo imekutoa povu lote hilo au umekunywa chai na sabuni asubuhi hii...
Haya ulipocopy na kupaste na hayo maswali yako ungejaribu kupitia comment za watu utapata majibu...otherwise tutakufanyia ziara ya kushitukizaWADAU TUJIFUNZE KUSOMA NA KUPANUA WELEDI WETU KATIKA KUCHANGANUA BAADHI YA MAMBO, SIYO KUKURUPUKA TU NA MADA KAMA ZA NAMNA HII:
KUHUSU Aflatoxin (Nimecopy na kupaste toka Wikipedia), someni kwa faida ya hii thread.
Aflatoxins are poisonous and cancer-causing chemicals that are produced by certain molds (Aspergillus flavus and Aspergillus parasiticus) which grow in soil, decaying vegetation, hay, and grains. They are regularly found in improperly stored staple commodities such as cassava, chili peppers, corn, cotton seed, millet, peanuts, rice, sorghum, sunflower seeds, tree nuts, wheat, and a variety of spices. When contaminated food is processed, aflatoxins enter the general food supply where they have been found in both pet and human foods, as well as in feedstocks for agricultural animals. Animals fed contaminated food can pass aflatoxin transformation products into eggs, milk products, and meat.
SASA TAHADHARI YA UNGA WA DONA INATOKA WAPI? ilitakiwa uelezee hiyo toxicity inafikaje kwenye unga (siyo dona pekee) na njia za kufanya kujikinga kwa faida ya wana jamvi siyo kupost tu. Kama hujui kitu ni bora kuuliza kuliko kujifanya mjuaji.....
Watu wengi kwa sasa wamependelea kula ugali uliopikwa kwa unga wa mahindi usiokobilewa, maarufu 'dona'. Pamoja na kwamba mahindi uhifadhiwa kwa madawa ili yasiharibike (athari kwa fedha) kuna tatizo lingine kwa afya zetu yasemekana.
Tahadhali na unga wa dona, ni hatari kwa afya kwa sababu ya sumu inayoitwa 'aflatoxin" ambayo huwa ndani ya kiini cha mbegu ya mhindi. Ukikobolewa kiini uondolewa na kubaki unga mweupe (sembe).
Wengi sasa hawependi kula ugali wa sembe kwa sababu ya kukosa protini (iliyomo kwenye kiini). Lakini hasara ya kukosa hiyo protein ni ndogo sana kulinganisha na madhara ya "aflatoxin" itakayosababisha "cancer" mwilini mwa binadamu.
TAFAKARI CHUKUA HATUA
Jaribu kuangalia comments zenye liked nyingi kwenye hii mada ndo utakua unaongea na nani na siyo kukurupuka na kukashifu watuNakuelekeza tu mzee, inaonesha uelewa wako mdogo sana. Ni msaada tu ndugu utoke gizani. Wewe utakuwa umekula ugali wewe aflatoxins, Hehehehe!!
Inategemea na level yako ya understanding. Comments zote nimesoma, ila wewe unahitaji ziara ya kushtukiza.Jaribu kuangalia comments zenye liked nyingi kwenye hii mada ndo utakua unaongea na nani na siyo kukurupuka na kukashifu watu
may be ubishi ni jipu ulilonalo na linatakiwa kutumbuliwa otherwise litakucostInatege
Inategemea na level yako ya understanding. Comments zote nimesoma, ila wewe unahitaji ziara ya kushtukiza.
Sijaona point uliyoongea hapo nikakubishia zaidi ya kuongelea majipu yanayokuhusu. Utatumbuliwa tu, rudi shule ukasome microbiology ndiyo urudi hapa kucomment.may be ubishi ni jipu ulilonalo na linatakiwa kutumbuliwa otherwise litakucost
mtoa mada unapoint ila wala dona watakubishia sana cha msingi umetimiza wajibu wako wa kutuelimishaWatu wengi kwa sasa wamependelea kula ugali uliopikwa kwa unga wa mahindi usiokobilewa, maarufu 'dona'. Pamoja na kwamba mahindi uhifadhiwa kwa madawa ili yasiharibike (athari kwa fedha) kuna tatizo lingine kwa afya zetu yasemekana.
Tahadhali na unga wa dona, ni hatari kwa afya kwa sababu ya sumu inayoitwa 'aflatoxin" ambayo huwa ndani ya kiini cha mbegu ya mhindi. Ukikobolewa kiini uondolewa na kubaki unga mweupe (sembe).
Wengi sasa hawependi kula ugali wa sembe kwa sababu ya kukosa protini (iliyomo kwenye kiini). Lakini hasara ya kukosa hiyo protein ni ndogo sana kulinganisha na madhara ya "aflatoxin" itakayosababisha "cancer" mwilini mwa binadamu.
TAFAKARI CHUKUA HATUA
Ntakuwa wa Mwisho kuamini hii habari, Kwa Tanzania unga wa Sembe sio wa zamani sana, miaka yote tumekulia dona na mpaka wa leo vijijini bado wanaendelea na hilo dona na sijawahi kuona madharabya hiyo sumu,Watu wengi kwa sasa wamependelea kula ugali uliopikwa kwa unga wa mahindi usiokobilewa, maarufu 'dona'. Pamoja na kwamba mahindi uhifadhiwa kwa madawa ili yasiharibike (athari kwa fedha) kuna tatizo lingine kwa afya zetu yasemekana.
Tahadhali na unga wa dona, ni hatari kwa afya kwa sababu ya sumu inayoitwa 'aflatoxin" ambayo huwa ndani ya kiini cha mbegu ya mhindi. Ukikobolewa kiini uondolewa na kubaki unga mweupe (sembe).
Wengi sasa hawependi kula ugali wa sembe kwa sababu ya kukosa protini (iliyomo kwenye kiini). Lakini hasara ya kukosa hiyo protein ni ndogo sana kulinganisha na madhara ya "aflatoxin" itakayosababisha "cancer" mwilini mwa binadamu.
TAFAKARI CHUKUA HATUA
research umefanya wapi acha kuzua mambo bila dataWatu wengi kwa sasa wamependelea kula ugali uliopikwa kwa unga wa mahindi usiokobilewa, maarufu 'dona'. Pamoja na kwamba mahindi uhifadhiwa kwa madawa ili yasiharibike (athari kwa fedha) kuna tatizo lingine kwa afya zetu yasemekana.
Tahadhali na unga wa dona, ni hatari kwa afya kwa sababu ya sumu inayoitwa 'aflatoxin" ambayo huwa ndani ya kiini cha mbegu ya mhindi. Ukikobolewa kiini uondolewa na kubaki unga mweupe (sembe).
Wengi sasa hawependi kula ugali wa sembe kwa sababu ya kukosa protini (iliyomo kwenye kiini). Lakini hasara ya kukosa hiyo protein ni ndogo sana kulinganisha na madhara ya "aflatoxin" itakayosababisha "cancer" mwilini mwa binadamu.
TAFAKARI CHUKUA HATUA