WADAU TUJIFUNZE KUSOMA NA KUPANUA WELEDI WETU KATIKA KUCHANGANUA BAADHI YA MAMBO, SIYO KUKURUPUKA TU NA MADA KAMA ZA NAMNA HII:
KUHUSU Aflatoxin (Nimecopy na kupaste toka Wikipedia), someni kwa faida ya hii thread.
Aflatoxins are
poisonous and
cancer-causing chemicals that are produced by certain
molds (
Aspergillus flavus and
Aspergillus parasiticus) which grow in soil, decaying vegetation, hay, and grains. They are regularly found in improperly stored
staple commodities such as
cassava,
chili peppers,
corn,
cotton seed,
millet,
peanuts,
rice,
sorghum,
sunflower seeds,
tree nuts,
wheat, and a variety of spices. When contaminated food is processed, aflatoxins enter the general food supply where they have been found in both pet and human foods, as well as in feedstocks for agricultural animals. Animals fed contaminated food can pass aflatoxin transformation products into eggs, milk products, and meat.
SASA TAHADHARI YA UNGA WA DONA INATOKA WAPI? ilitakiwa uelezee hiyo toxicity inafikaje kwenye unga (siyo dona pekee) na njia za kufanya kujikinga kwa faida ya wana jamvi siyo kupost tu. Kama hujui kitu ni bora kuuliza kuliko kujifanya mjuaji.....