Ugali unaopikwa kwa Unga wa mahindi (dona) hatari kwa afya ya binadamu

Ugali unaopikwa kwa Unga wa mahindi (dona) hatari kwa afya ya binadamu

Mzee ni hyo comment yangu ndo imekutoa povu lote hilo au umekunywa chai na sabuni asubuhi hii...
Nakuelekeza tu mzee, inaonesha uelewa wako mdogo sana. Ni msaada tu ndugu utoke gizani. Wewe utakuwa umekula ugali wewe aflatoxins, Hehehehe!!
 
WADAU TUJIFUNZE KUSOMA NA KUPANUA WELEDI WETU KATIKA KUCHANGANUA BAADHI YA MAMBO, SIYO KUKURUPUKA TU NA MADA KAMA ZA NAMNA HII:

KUHUSU Aflatoxin (Nimecopy na kupaste toka Wikipedia), someni kwa faida ya hii thread.

Aflatoxins are poisonous and cancer-causing chemicals that are produced by certain molds (Aspergillus flavus and Aspergillus parasiticus) which grow in soil, decaying vegetation, hay, and grains. They are regularly found in improperly stored staple commodities such as cassava, chili peppers, corn, cotton seed, millet, peanuts, rice, sorghum, sunflower seeds, tree nuts, wheat, and a variety of spices. When contaminated food is processed, aflatoxins enter the general food supply where they have been found in both pet and human foods, as well as in feedstocks for agricultural animals. Animals fed contaminated food can pass aflatoxin transformation products into eggs, milk products, and meat.

SASA TAHADHARI YA UNGA WA DONA INATOKA WAPI? ilitakiwa uelezee hiyo toxicity inafikaje kwenye unga (siyo dona pekee) na njia za kufanya kujikinga kwa faida ya wana jamvi siyo kupost tu. Kama hujui kitu ni bora kuuliza kuliko kujifanya mjuaji.....
Haya ulipocopy na kupaste na hayo maswali yako ungejaribu kupitia comment za watu utapata majibu...otherwise tutakufanyia ziara ya kushitukiza
 
Watu wengi kwa sasa wamependelea kula ugali uliopikwa kwa unga wa mahindi usiokobilewa, maarufu 'dona'. Pamoja na kwamba mahindi uhifadhiwa kwa madawa ili yasiharibike (athari kwa fedha) kuna tatizo lingine kwa afya zetu yasemekana.

Tahadhali na unga wa dona, ni hatari kwa afya kwa sababu ya sumu inayoitwa 'aflatoxin" ambayo huwa ndani ya kiini cha mbegu ya mhindi. Ukikobolewa kiini uondolewa na kubaki unga mweupe (sembe).

Wengi sasa hawependi kula ugali wa sembe kwa sababu ya kukosa protini (iliyomo kwenye kiini). Lakini hasara ya kukosa hiyo protein ni ndogo sana kulinganisha na madhara ya "aflatoxin" itakayosababisha "cancer" mwilini mwa binadamu.

TAFAKARI CHUKUA HATUA

Somo zuri sana, tusaidie reference ndugu ili tuwanufaishe na wengine
 
Nakuelekeza tu mzee, inaonesha uelewa wako mdogo sana. Ni msaada tu ndugu utoke gizani. Wewe utakuwa umekula ugali wewe aflatoxins, Hehehehe!!
Jaribu kuangalia comments zenye liked nyingi kwenye hii mada ndo utakua unaongea na nani na siyo kukurupuka na kukashifu watu
 
Inatege
Jaribu kuangalia comments zenye liked nyingi kwenye hii mada ndo utakua unaongea na nani na siyo kukurupuka na kukashifu watu
Inategemea na level yako ya understanding. Comments zote nimesoma, ila wewe unahitaji ziara ya kushtukiza.
 
may be ubishi ni jipu ulilonalo na linatakiwa kutumbuliwa otherwise litakucost
Sijaona point uliyoongea hapo nikakubishia zaidi ya kuongelea majipu yanayokuhusu. Utatumbuliwa tu, rudi shule ukasome microbiology ndiyo urudi hapa kucomment.
 
Watu wengi kwa sasa wamependelea kula ugali uliopikwa kwa unga wa mahindi usiokobilewa, maarufu 'dona'. Pamoja na kwamba mahindi uhifadhiwa kwa madawa ili yasiharibike (athari kwa fedha) kuna tatizo lingine kwa afya zetu yasemekana.

Tahadhali na unga wa dona, ni hatari kwa afya kwa sababu ya sumu inayoitwa 'aflatoxin" ambayo huwa ndani ya kiini cha mbegu ya mhindi. Ukikobolewa kiini uondolewa na kubaki unga mweupe (sembe).

Wengi sasa hawependi kula ugali wa sembe kwa sababu ya kukosa protini (iliyomo kwenye kiini). Lakini hasara ya kukosa hiyo protein ni ndogo sana kulinganisha na madhara ya "aflatoxin" itakayosababisha "cancer" mwilini mwa binadamu.

TAFAKARI CHUKUA HATUA
mtoa mada unapoint ila wala dona watakubishia sana cha msingi umetimiza wajibu wako wa kutuelimisha
 
Watu wengi kwa sasa wamependelea kula ugali uliopikwa kwa unga wa mahindi usiokobilewa, maarufu 'dona'. Pamoja na kwamba mahindi uhifadhiwa kwa madawa ili yasiharibike (athari kwa fedha) kuna tatizo lingine kwa afya zetu yasemekana.

Tahadhali na unga wa dona, ni hatari kwa afya kwa sababu ya sumu inayoitwa 'aflatoxin" ambayo huwa ndani ya kiini cha mbegu ya mhindi. Ukikobolewa kiini uondolewa na kubaki unga mweupe (sembe).

Wengi sasa hawependi kula ugali wa sembe kwa sababu ya kukosa protini (iliyomo kwenye kiini). Lakini hasara ya kukosa hiyo protein ni ndogo sana kulinganisha na madhara ya "aflatoxin" itakayosababisha "cancer" mwilini mwa binadamu.

TAFAKARI CHUKUA HATUA
Ntakuwa wa Mwisho kuamini hii habari, Kwa Tanzania unga wa Sembe sio wa zamani sana, miaka yote tumekulia dona na mpaka wa leo vijijini bado wanaendelea na hilo dona na sijawahi kuona madharabya hiyo sumu,
Wacheni kuwatisha watu
 
hiii
Watu wengi kwa sasa wamependelea kula ugali uliopikwa kwa unga wa mahindi usiokobilewa, maarufu 'dona'. Pamoja na kwamba mahindi uhifadhiwa kwa madawa ili yasiharibike (athari kwa fedha) kuna tatizo lingine kwa afya zetu yasemekana.

Tahadhali na unga wa dona, ni hatari kwa afya kwa sababu ya sumu inayoitwa 'aflatoxin" ambayo huwa ndani ya kiini cha mbegu ya mhindi. Ukikobolewa kiini uondolewa na kubaki unga mweupe (sembe).

Wengi sasa hawependi kula ugali wa sembe kwa sababu ya kukosa protini (iliyomo kwenye kiini). Lakini hasara ya kukosa hiyo protein ni ndogo sana kulinganisha na madhara ya "aflatoxin" itakayosababisha "cancer" mwilini mwa binadamu.

TAFAKARI CHUKUA HATUA
research umefanya wapi acha kuzua mambo bila data

babu mzaa babu alifariki 1993 akiwa na miaka 103 babu yangu alifariki na miaka 75 bibi bado anaishi ana 90 na anakula dona na hajawahi kupata hiyo kansa mimi baada ya kuja mjini nilikua nakula sembe tangu 2010 nakula dona sina kansa na siwezi kuipata

inaonekana hujui source kubwa ya kansa ninini

kitu amabacho ungesema jamani jitahidini kuosha mahindi ili kuondoa sumu inayotumika kuhifadhia
lakini nijiulize ninani anaesaga sembe na kuosha mahindi zaidi ya gunia 10-20 anazokoboa kila siku ????

tusikurupuke
 
tutakula vitu vya kufisha wala hatutazulika hivyo mm nitaendelea kula dona mpaka basi
maana kila kitu siku ni sumu tule mawe sasa
 
unless uniambie kuna mahindi ya GMO labda unayoyajua wewe yenye viatilifu vya aina hiyo
kitu ambacho sijasikia Labda ndugu zetu wa TFDA NA Kilimo mtujuze.
 
Everything that we eat is poison in nature...! Hapa ni kucheza na mizania utatumia sustainably mchezo kwisha hiyo sumu ya sembe madhara yake yatakuwa kodogo after all ni lazima mahindi yawe na ukungu sana!
 
aisee kwa hili nabisha labda kama mahindi yaliyopandwa kwa wiki moja ...
 
Sio kweli hata kidogo. Dona ni unga salama kwa afya ya mtumiaji. Ni vyema tuwe tunasafisha mahindi kabla ya kuyasaga ili kuondoa dawa za kuhifadhia mahindi hayo.
 
Hila makapi mlo au 'fibre' no muhimu sana kuliko sembe ambayo ukila madhara yake ni makubwa sana.Nafikiri ungeshauri watumiaji wa unga wa dona,wajitahidi kuandaa mahindi wenyewe kwa kuondoa mahindi yaliyooza,kuhakikisha hayana uvundo na kuyasafisha vizuri kuyanika juani mahali pa salama na kuyasaga tayari kwa kutumia.Ni kweli aflatoxin ipo sana kwenye nafaka has a mahindi karanga maharage na ina ina madhara lakini lazima tuifundishe jamii yetu mbinu za kuifadhi nafaka na kizituna.
 
Atakuwa katumwa na wafuga kuku , maana siku izi wanakosa pumba za kuwapa kuku
 
Nimezaliwa kijijini nimekulia kijijini nina miaka zaidi ya thelathini mjomba wangu ana miaka themanini hatujui kansa ninini.Wewe utakuwa mgonjwa bila shaka.
 
Back
Top Bottom