Uganda imekubali kuwapa raia wa Afghanistani hifadhi ya ukimbizi

Uganda imekubali kuwapa raia wa Afghanistani hifadhi ya ukimbizi

Lazima wafanyiwe assessment unaweza Kuta Taliban ndio walidandia ndege Ili waje kufanya ugaidi Us ,vetting lazima

Marekani n chaguo la kwanza kwa mtu yeyote tajiri au maskini nasio kazi rahisi kuingia marekani na kukubaliwa kuwa mmarekani au hata mkimbizi.

Hao jamaa Wana mchujo mkali Sana wa kukukubali hata Kama unaenda kutembea tuu
 
Afghan are very good people. Ni jamii ya Pashtun ndio watata na ndio Taliban na wako wengi ni asilimia 42 na hao Pashtun hawasafiri kabisa. Ni hizi jamii zingine za afghanistan minority kama Uzbek, Hazara, Tajik, Aimak, Baloch (akina Rostam), Turkmen hao ndio unawaona wanatoroka Afghanistan. Wanaonewa sana na Taliban kwasababu wametofautiana kimafundisho na mila.

Malala ni pashto wa Pakistan sijui imetokea vipi akawa na Mrengo tofauti. Ndo maana Taliban wanammaindi
Kumbe Baloch ni jamii ya Afghan huku Bongo hasa mbarali wanaitwa waburushi
 
Vijana wengi watanzania walijitolea kuwa wakimbizi ndani ya nchi yao na kwenda kigoma kwenye kambi miaka mwishon 1990 na mwanzon 2000 sema uvumilivu unahitajika minimum n 2years ukiwa na bahati Sana 6months sijui sikuhz kumekaaje
Hahahaha sasa kumbe ilikuwa easy kwanini watu walitumia njia ndefu kuingia south Africa sijui
 
Haina maana kwamba USA ndio walikuwa responsible kwa ajili ya kulipa wanajeshi wa Afganstan. Wale walikuwa ni waajiriwa na serikali/nchi ndiyo yenye jukumu la kufanya hivyo.

Marekani walikuwa wanatoa mafunzo na kuwajengea uwezo. Ila sasa corruption ndani ya serikali naamini imeleta watu kutopata walichokuwa wanapaswa kupata.
hapo sawa
 
Pia Idd Amin aliwahi teka ndege ya Israel
Ile ilitekwa na wa Algeria katika kusoma location baada yakusoma Mambo haziendi ndo wakaamua kwenda entebe.

Ile stori n tamu sana ukipata simulizi yake Idd Amin alivamiwa bila kupewa taarifa waisraeli iliwabid watokee upande wa Tz bukoba na kurusha ndegezao kwa chini sana na hatimae wakawaokoa watu wao
 
Yaani wamewabeba wale raia Afghanistan kwa mbwembwe utafkiri wanawapeleka Marekani au Canada mwisho wa siku kwa kuwakomoa wamewamwaga Entebbe na Museveni kakubali kuwapokea aise nahisi hao raia wanatamani hata wangepelekwa Jalalabad Pakistan au warudi Kandahar yaani wanajuta kudandia pipa.
Hapo Museven kashavuta mpunga wake wa maana
 
Hahahaha sasa kumbe ilikuwa easy kwanini watu walitumia njia ndefu kuingia south Africa sijui
Connection ilkua inshu na n watu wa Kanda ya ziwa ambao walikuwa na interest za USA ndo walikuwa wanazamia kigoma.

Pia mkuu kigoma ya enzi zile sio kigoma hii unayoisikia sasa kule ilkua ukienda kule n umejizira kweli kweli ndomana watoto wa Tmk, Magomeni, ilala na kinondoni isingekuwa option rahisi kwao
 
Ile ilitekwa na wa Algeria katika kusoma location baada yakusoma Mambo haziendi ndo wakaamua kwenda entebe.

Ile stori n tamu sana ukipata simulizi yake Idd Amin alivamiwa bila kupewa taarifa waisraeli iliwabid watokee upande wa Tz bukoba na kurusha ndegezao kwa chini sana na hatimae wakawaokoa watu wao
 
Wataleban hawana utani kwenye Sharia Ukizini unapigwa mawe hadi unakufa na ukiiba wanakata mkono. Wanawake wote hakuna kufanya kazi za kuajiriwa wote ni mama wa nyumbani kazi yao moja tu na inajulikana.
nimeshajibiwa kwanini wachache ndio wanakimbia mkuu . asante
 
Afghan are very good people. Ni jamii ya Pashtun ndio watata na ndio Taliban na wako wengi ni asilimia 42 na hao Pashtun hawasafiri kabisa. Ni hizi jamii zingine za afghanistan minority kama Uzbek, Hazara, Tajik, Aimak, Baloch (akina Rostam), Turkmen hao ndio unawaona wanatoroka Afghanistan. Wanaonewa sana na Taliban kwasababu wametofautiana kimafundisho na mila.

Malala ni pashto wa Pakistan sijui imetokea vipi akawa na Mrengo tofauti. Ndo maana Taliban wanammaindi
Mkuu ongeza nyama kuhusu hizi jamii nahitaji kujua zaidi.
 
Basi uganda wako na bahati sana kanda yetu, maana hata israel ya leo kama wasingekataa ungekuta wako uganda kwa sasa.
Hata matukio mengi yamewahi kutokea uwanja wa ndege wa entebe, na hata la sasa litawainua mno!

Ajabu kwangu hao waasi hawaoni aibu kukombiwa na wananchi wao?

Lakini pia ni jinsi gani africa isivyo na thamani mbele ya wenzetu, tunafanywa kama jalala!
Inawezekana huu uwanja wa Entebe simulizi zake zipo kwenye Quran ila hatuzitambua tu
 
Back
Top Bottom